Zuhura Yunus kudai uteuzi wake ulikuwa wa kushtukiza, hakuwa na taarifa ni kweli? Kwanini hakujuzwa?

Utakufa nacho kijiba cha roho au munatakufa nacho ww ni katika wale watu wenye roho mbaya duniani jihasabu hivyo ,sasa wewe itakusaidia nini fanya kazi zako wacheni husda zenu roho mbaya tu.

Uwezo, uelewa wako wa mambo ni mdogo sana. Sio lazima kuchangia kila mada, wakati huna mchango wowote wa maana.

Nimeomba ufafanuzi, uwazi, itasaidia ikulu yenyewe.

Sipingi hata kama she is an expert, muhimu tuambiwe ukweli.
 
Uteuzi umefanyika halafu unakuja uthibitisho kuwa Mteuliwa si Raia, pia unampa mtu nafasi wakati haitaki na anaingiwa na hofu kumkatalia Rais?…

Unafahamu kuwa Kanali Mstaafu Kinana alikataa kuwa Mbunge na Waziri wakati wa Mkapa kwa kuwa alijulishwa Mapema?
 
Coincidence,inawezekana...
 
Ni Asili Yetu Wa-Tanzania Kujifanya Hatuelewi Panapotokea Jambo La Kutugusa Moja Kwa Moja. Kwa Zama Hizi Kuna Mambo Ni Ngumu Sana Kuficha. Ni Ngumu Kuacha Kazi Mahali Tena Shirika Kubwa Kama BBC na Kutokujua Hatima Yako Itakuwa Wapi..
 
Nchi nyingi duniani masikini na tajiri, kubwa na ndogo zinatoa uraia pacha ! Tanzania tunakwama wapi ?? Ni roho mbaya au nini ?
Tanzania imeharibiwa na mambo ya UJAMAA UJAMAA angalia NCHI nyingi zilizo fata FALSAFA ya UJAMAA ni NCHI zenye maendeleo hafifu sn na watu wake wapo wapo hawana wanacho jua zaidi ya UNAFIKI NA HUSDA zimejaa kwenye Jamii kuanzia ngazi ya familia hadi Taifa.

Mfano nakupa mmoja mwezi huu wa FEBRUARY kuna MAONYESHO makubwa ya KIBIASHARA DUBAI EXPO 2020 dunia nzima ipo huko lkn TANZANIA sijui hata kama wana eneo huko sijui..... lkn KENYA wamelishangamkia hasa sisi tupo kwenye TANZANITE BRIDGE ndio tuna ona mafanikio huu ni uwenda wazimu.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
 
Kwa nchi yetu, hizi teuzi huwa ni mandatory, japo nafasi ya negotiations na mamlaka za uteuzi huwa pia ipo. Tatizo letu ni kwa vile tu huwa tunachukulia teuzi kama ULAJI, wakati ki-uhalisia ni MZIGO MZITO mno unaobebeshwa kwa baadhi ya wachache wetu tu kati watu takribani million 60.

Chukulia kwa mfano nyumbani kwenu, Baba akikupangia kazi ya kwenda shamba au dukani, huwa siyo optional japo negotiations zinaweza kuwepo na ukamfanya aamue otherswie
TEUZI HUWA SIYO OPTIONAL, NI MANDATORY. Wewe kwa mfano hutaki kwenda shamba; unataka nani aende?
 
Ameanza
Ashakuwa ccm sasa mambo yake ni ya ki-ccm ccm., kwanini hajaeleza aliacha kazi bbc ghalfa, na kwa umri wake kuna masuali mengi kwanini aache kazi hasa ulaya shirika la kimataifa la utangazaji, lakini haikuchukua muda na kuteuliwa, lakini jengine na baya zaid profile yake hajaiweka wazi ata uki google, dini yake inasoma christian, passport yake ni ya uingereza na mambo mengine ni N/A. She is not true.
 
Kiboko ni Jk kuwa alipata habari ya msiba wa JPM kwenye Tv ahaaaaa
Hahaha so kwenye TV banaa alienda mbali zaidi na kusema kwanza alianza kuona tetes kwenye mitandao ya kijamii lakini akasema pengine ni uzushi tu wa kimitandao sasa akaona huko kwa Televisheni
 
Hahaha so kwenye TV banaa alienda mbali zaidi na kusema kwanza alianza kuona tetes kwenye mitandao ya kijamii lakini akasema pengine ni uzushi tu wa kimitandao sasa akaona huko kwa Televisheni
Ule ni uongo alitudanganya mchana kweupe
 
Duh ! Inafikirisha sana !!
 
Kazi zozote za uteuzi kabla hujateuliwa kwenye nafasi flani anayekutaka ufanye naye kazi hukutumia watu au barua ili kuthibitisha kama upo tayari unajibu kukubali au kukataa uteuzi huo.
Hivyo sio kirahisi kihivo kwamba ameshtukizwa
Wengi huwa wanatuambia wameshtkizwa kumbe kutulaghai.
Siku akistaafu atasema ukweli au kabla hajastaafu atasema ukweli.
 
Hapana, mbona Jery Muro alikuwa anaosha gari yake tu pale Sinza hana hili wala lile akawa anapokea simu za pongezi asijue kilichokuwa kinaendelea?
 
Yaani hata aibu huoni unapouhusisha uteuzi na dini yake?!
Una tatizo kubwa la akili iwapo unadhani mavazi ndiyo dini. Huyu mama mmisri anyemsindikiza Rais Samia hapo ni mwislamu lakini yeye hajavaa ushungi, na unadhani yeye hana dini?

Mama mwenyewe alishasema wakati anapokea kombe la Ubingwa kutoka Twiga Stars kuwa alikuwa anamwangalia zaid yule mchezaji ayelikuwa amevaa hijab.
 
Ameanza kudanganya mapema sana.
Aliaga vipi BBC muda kabla ya kutangazwa uteuzi wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…