Zuhura Yunus kudai uteuzi wake ulikuwa wa kushtukiza, hakuwa na taarifa ni kweli? Kwanini hakujuzwa?

Hiyo
" kutifautisha....
Ndio kiswahili chako sahihi?
Nangaaaaaa
 
 
Kumbe hata kazi mpya bado hajaanza!!
 
Hapana, mbona Jery Muro alikuwa anaosha gari yake tu pale Sinza hana hili wala lile akawa anapokea simu za pongezi asijue kilichokuwa kinaendelea?
Si kweli jerry muro amekuwa karibu na makonda sababu ya kutafuta huo uteuzi. Yaani kiufupi alimuomba makonda aongee na jiwe amteue. Na makonda alikuwa na nguvu sana watu wengi wamebebwa na makonda kupata teuzi toka kwa jiwe.
Including Le chief himself. Yaani katika hilo group aliyekosa teuzi ni Le mutuz tuu na nadhani hakutaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…