Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama 20 gb sawa, kwa mimi nilikuwa natumia kule masaki wana system yao ya kuonganisha nyumba mpaka nyumba kupitia waya, kitaalam sjui wanaitaje, na ukijiunga bundle zao huwa zina channel za TV, so ni ww tu na kujidai, na speed yao iko poa sana kwa kule sijaona tatizo.It was typo error, I meant 20GB
Nashukuru kwa msaada wako, ofisi zao zipo wapi?Kama 20 gb sawa, kwa mimi nilikuwa natumia kule masaki wana system yao ya kuonganisha nyumba mpaka nyumba kupitia waya, kitaalam sjui wanaitaje, na ukijiunga bundle zao huwa zina channel za TV, so ni ww tu na kujidai, na speed yao iko poa sana kwa kule sijaona tatizo.
Zipo pale Opposite na Hotel ya Best Western Oyster bay, Jengo la Oasis floor ya 3Nashukuru kwa msaada wako, ofisi zao zipo wapi?