Zungu atoa ufafanuzi kuhusu kodi ya mtandao

Eti mkuu wakatwe..wao
Si kweli. Simu iwepo isiwepo ni watu wachache wana uwezo wa kutembeiea ndugu zao kwa sababu hiyo hiyo ya ukosefu wa pesa. Wenzetu hamna shida kwani kwa siku mnaingiza si chini ya sh. 300,000 hivyo sh. 1,000 ni kama tone moja tu la maji baharini.
Mkuu
 
You are absolutely right. They can't come up with new ideas. This same idea was presented during the Budget speech 7 years back. Both the service providers and wananchi joined hands to fight against it. The Muzungu was there, unfortunately as he grows old some of the memory seem to be rubbed off. Jamani pumzikeni mlee wajukuu ili na vijana wenu wapate walau huo Ubunge.
 
Inabidi tumchunguze uraia wake huyu babu!
 
...Yeah, Comrade. You can't Teach an Old Dog new Tricks....Wenye Kiingereza Chao husema!![emoji848][emoji848]
 
Mi5 tena.
Wana ilala wamelala kweli
 
dalili ya kupotea kisiasa
 
Uzalendo wao wapunguziwe mishahara na ma allowance basi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…