lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Eti mkuu wakatwe..wao
MkuuSi kweli. Simu iwepo isiwepo ni watu wachache wana uwezo wa kutembeiea ndugu zao kwa sababu hiyo hiyo ya ukosefu wa pesa. Wenzetu hamna shida kwani kwa siku mnaingiza si chini ya sh. 300,000 hivyo sh. 1,000 ni kama tone moja tu la maji baharini.