Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nadhani wana Jf wenzangu mnamkumbuka El Sahaf, Yule waziri wa propaganda wa the then Iraq, Alikuwa akisema ati! Wanajeshi wa Iraq wanawazunguka NATO wakati nyuma yake kuna vifaru vya NATO na...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani huyu dogo kama ameishiwa mistari aseme tumkabidhi kwa aliye juuu
0 Reactions
21 Replies
5K Views
...huyu jamaa anakipaji cha kuchekesha...hatumii nguvu nyingi...ana maneno yasiyokwisha...."bata hata awe mchafu vip, atataga yai jeupeee" moja ya maneno yake jana kwenye KILI MUSIC AWARDS...
6 Reactions
164 Replies
17K Views
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo...
1 Reactions
172 Replies
19K Views
MAAJABU! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, kaburi la aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great' limeanza kuweka nyufa na kutitia ikiwa ni siku 5 tu...
2 Reactions
55 Replies
15K Views
Jamani leo si ndo tarehe kama aliyozaliwa 'mchumba wa kanumba'? Sio mbaya kama tukimpa pongezi zake za kutimiza miaka 17<18 ya 'mafanikio' sijui huko 'fox river' alipo kuna jf!
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Jamani nimesoma hii leo from UK's newspaper, Suge Knight akiongelea kuhusu Tupac baada ya 'kuonekana' akiperfom na Snoop pamoja na Dr Dre majuzi huko USA. Tupac could still be alive, according to...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Baada ya kurudi Bongo akitokea Sudan Kusini alikokwenda kupiga show kwa mara ya kwanza japo wamekua wakimwalika toka zamani, AY ameamplfy kwamba hakua na hofu yoyote kwenda kwenye hiyo nchi ambayo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa...
9 Reactions
172 Replies
14K Views
Msanii na mkali wa wimbo wa hakunaga Sumalee Amefiwa na Mama ake mzazi: pole sana suma & R.I.P Bi.Hindu source: Ukurasa wa Facebook wa EATV
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Siku za karibuni nilisikia kuwa anaumwa sana, ana uvimbe tumboni ambao unakua kwa haraka. Pia wasanii wenzie walifanya harambee ktk ukumbi wa Amana, Ilala ili wachangishe hela apelekwe India kwa...
0 Reactions
51 Replies
61K Views
Jana wakati ommy dimplez anapokea tunzo yake,diamond alitoa ushuhuda kwamba mungu mkubwa,yeye ndio aliyevumbua kipaji cha ommy lkn alivyoenda kwa producer kumu-introduce huyo producer(Bob Jr)...
0 Reactions
48 Replies
12K Views
Wana jf kuna habari mpya sinazoendelea huku arusha ambazo mm nimezihakikisha. Kwa mujib wa msichana ambae anaishi maeneo ya bomang'ome wilaya ya hai....inasemekana msanii wa muziki wa bongofleva...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
huuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
....huenda mie cjui ki inglish vizuri...lakini najiuliza huyu DIVA kwa hyo sentence alikua anamsifia Barnaba au ana mtusi....kaongea like 45 mins past... Au ndo ulimbukeni wa kuchukua expression...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Kamati ya mazishi imemtaja m1 wa shemeji aliyemuoa dada yake kanumba ndiye aliyekwapua sh 2.5m na kutokomea nazo huku akitumia gari la kifahari la kanumba Lexus V8 yenye thamani ya sh...
0 Reactions
40 Replies
8K Views
US Billionaire Warren Buffett Diagnosed With stage 1 prostate Cancer. Source:Aljazeera Newz.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Madeni ya Mo’Hits utayalipa mwenyewe! – Don Jazzy Utarudisha ile Bentley niliyokununulia?—D’Banj Waanzilishi wa lebo ya Mo’Hits ya nchini Nigeria, Don Jazzy na D’banj, wanarushiana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mazishi ya Tanzania top most celeb, Stephen Kanumba, yamegharimu Shilingi za Kitanzania, Milioni 60 kasoro 2!. Kwa mujibu wa taarifa ya M/Kiti wa kamati ya mazishi, Mtitu, gharama halisi za...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba...
1 Reactions
151 Replies
26K Views
Back
Top Bottom