Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Za muda mrefu bwana mambo yanasemaje?Maisha yanasonga mbele vipi JB anaweza akakusumbua kwenye soko.Au utakomaa naye tehe tehe.Oh pole sana kwa msiba bwana nasikia mmefiwa.Ni hayo tu kaka wape...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kutokana na ambayo nimekua nikiyasoma humu kuna wakati nilianza kuhisi labda JK Si kipenzi cha watanzania wengi tena,hii ni kutokana na watu walio wengi humu kumuongelea vibaya,leo nimejiridhisha...
2 Reactions
85 Replies
8K Views
Sorry guys mnaofatilia video za kibongo kile kitito ambacho kipo kwenye video ya Dullayo ya Twende na mimi na mama bishanga ndio isabela mvuaji au ni kingine na kinaitwa nani?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Na Mwandishi Wetu STAA anayemiliki mkwanja mrefu katika tasnia ya filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray', amemvaa ngwiji mwenzake Steven Charles Kanumba na kumchana kwa kitendo cha...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Baada ya kifo cha Kanumba..wasanii wa bongo movies wakiongozwa na Ray,cloud na steve nyerere,wameanza kupita kwenye vyombo vya habari kuchangisha fedha bila kusema zitatumikaje izo fedha...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Baada ya Miss Tanzania 2006 ambae pia ni bongo movie star Wema Sepetu kuzungumza kwenye XXL ya CLOUDS FM jana kwamba alichokifanya Diamond kukataa kuchukua pesa yake ni uswahili, Diamond nae...
0 Reactions
61 Replies
11K Views
Hebu tufikirie kwa undani kuhusu sababu zinazoelezwa na madaktari kuhusu kilichosababisha kifo cha Kanumba,"Brain concusion", nijuavyo mimi Concusion ina madhara ambayo ni minor kama kupoteza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
MSANII ‘sidanganyiki' wa filamu nchini, Elizabert Michael ‘Lulu' ameamua kukiri maovu yake yote ambayo amekuwa akiyatenda huku akijua kwamba yeye ni kioo cha jamii. Akiongea na Amani...
0 Reactions
22 Replies
18K Views
Si vibaya tukaweka wazi. Ndugu zangu mnaokuja kwenye msiba wetu wa kijana wetu mpendwa, lazima mjue na muwe makini sana sana hali ni mbaya dunia imebadilka, ndugu zanguni naomba niweke wazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna wimbo aliuimba steve kabla hajatutoka ni zab. 121
0 Reactions
36 Replies
62K Views
Tupeane pole kwa msiba huu wa mpendwa mwenzetu aliyetutoka,wakati huo sisi kama vijana tukiwa na maswali vichwani mwetu ambayo yanapaswa kujibiwa na sisi wenyewe mojawapo likiwa je mwenendo huu...
0 Reactions
81 Replies
8K Views
Whitney Houston's body 'burnt by scalding hot bath and riddled with scars and bruises Sad end: Whitney Houston's body was riddled with bruises and cuts according to her autopsy report The...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Rais JakayaKikwete aliahirisha safari ya ughaibuni si kwa kuogopa kuwaongezea mzigowatanzania kutokana na tabia yake ya kupenda kusafiri bali kumlilia Kanumba,nilishangaa na kuanza kujiuliza huyu...
1 Reactions
19 Replies
57K Views
Habari za msiba wa mpendwa wetu Kanumba zimeenea sana Afrika Magharibi, kuna wachache wanaoamini kuwa marehemu kagongwa na gari. Kanumba alikuwepo nchini Ghana mwanzoni mwa mwezi Machi. Fuatilia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Betty amewambia akina mama wa kijiji cha Tinai Tarafa ya Mundemu Bahi kuwa wanatakiwa kuwanyima unyumba waume zao kama njia moja wapo ya uzazi wa mpango . Hata hivyo njia hiyo inapingwa...
1 Reactions
43 Replies
7K Views
maranyingi huwa najiuliza sipati jibu hivi mtu kuwa celebrity haswa akina dada ni lazima awe anavaa nguo zinazomuacha uchi? nguo fupi za kuiga mambo ya west hebu tuwaangalie hawa dada zetu waliopo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nampenda sana huyu binti anaonekana ni jembe sana, hasa nyakati za uchaguzi
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Barnaba Msanii Kamuita mwanae Steven kwa kumuenzi Steven Kanumba aliyefariki leo,amempata mtoto jioni ya leo. Source:Times Fm interview ya Barnaba
1 Reactions
7 Replies
2K Views
akihojiwa na salama ndani eatv amesema hivyo wakuu hii inawezekana.
0 Reactions
71 Replies
9K Views
HII NILIISOMA KULE GLOBAL NA HUWA KILA MARA NILIKUWA NIKIMWONA KANUMBA NAKUMBUKA HII NA MWISHO NILIPOSIKIA HABARI YA KIFO CHAKE NA CHANZO CHAKE STORY HII ILI- CLIK KWENYE KICHWA CHANGU kanumba...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom