Ndugu zangu leo nimepita kwenye FaceBook wall ya Nnape Nnauye nimekuta amejipachika jina la Nape Nnauye (Mtoto wa Kuli). Kwa kuwa mimi nilipata kumjua vizuri Baba yake, Mzee Moses Nnauye na kazi...
By Kat Giantis
Ouch. This one truly hurts. TMZ claims that Heidi Klum is about to file for divorce from Seal after nearly seven years of seemingly head-over-heels togetherness. Word is, she could...
Chiku keto aondoka la familia na amesema wazi kuwa chidi ndio chanzo kwenye mpango mzima wa yeye kuondoka., kwamba chidi hajui management na pia si muwazi., sasa hivi la familia ina watu wawili...
Ni binti mdogo wa Snoop aliyezaliwa miaka ya 2000,ameanza vizuri na ngoma yake aliyeiachia mwanzoni mwa october mwaka jana 2011 "Do My Thang",Je atakuja kumdhibiti Willow Smith?
Kipindi cha miaka ya 90 alitokea msanii nguli wa hip hop nchini kutoka kundi la hard blasters alikua akifundisha na kuelimisha kwa wakati 1 kumbuka nyimbo kama,chemsha bongo,zali la mentali,ndiyo...
Kush rolled, glass full; I prefer the better things, tweeted Rihanna as she sat perched on a boulder in Hawaii. The Talk That Talk singer was quoting a common lyric from friend, Drakewho was...
Katika harakati zao za kuukomboa huu muziki na uzinduz wao wa Arusha, kund la VINEGA limeingia katika beef na VATOLOCO kundi linaloundwa na kina Ibra D Hustler.. haijafahamika clearly chanzo cha...
Mwaka jana 2011 Staa wetu Joseph Shamba (Vengu) alikuwa anaumwa amelazwa hospitali ya MUHI2 na habari hizo nilizipata humu kwenye Jukwaa letu la Jamii Forum. tulimhurumia sana na kumwombea juu ya...
Leo nilikuwa naangalia East Africa tv nikakuta kuna nyimbo ya Dull Sykes nadhani ni mpya, ina shairi moja linalosema " iba, kaba ilimladi usikose party.." Nijuavyo mimi vijana wa kitanzania...
Yesterday Jennifer Lopez and Marc SHOCKED EVERYONE...by attending the premier of their new REALITY SHOW together...holding hands and both luking and ACTING like couple.The pair arrived...
MWIMBAJI wa zamani wa bendi ya African Stars maarufu kwa mtindo wa Twanga Pepeta, Chalz Baba inasemekana tayari amesaini mkataba wa miaka miwili na bendi ya Mashujaa kwa kupata donge nono...
Eti kwasababu yeye na B wana mtoto wa kike waliyempata hivi majuzi, sasa anadai hataitumia tena a "B" word.
Huu si ubinafsi huu na hypocrisy?
Habari zaidi hapa...
Jay-Z Vows To Drop 'Bitch'...
"nimeanza kuimba mtoto wa miaka 10,sikufundishwa na mtu,nimejifundisha kwenye majahazi..uimbaji unatokea humu(kichwani)...Mpaka Marekani kote nshafika...mpaka kwa marikia Mtukufu elizabeeth...!!!!"
Jmani wadau nimemfia na kumdondokea huyu mtoto balaa.....yaani kwenye movie tu mi hoiiii kuna mwenye contact zake wadau? au anapatikana mitaa gani.....nimshughulikie..
WEMA MTUMWA WA MAPENZI?
Nahisi nimekuwa mtumwa wa mapenzi, utadhani nililetwa duniani kuteswa na mapenzi.
Hebu fikiria leo ni siku ya nne Diamond hapokei simu wala hajibu sms, najua sina la...
Mods: Naomba msiihamishe thread hii; nimepata tabu sana kuipata. Kumbukeni wana JF wana haki ya kujua matokeo ya kura zilizopigwa.
Katika Mchakato wa Kumtafuta JF Woman of the Year 2010...
..Baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kuisha na CCM kufanikiwa kuchakachua kura za jimbo la ifakara lakini bado akapata nafasi ya mbunge wa viti maalum kupitia CDM,japo ni mlemavu lakini kwa hakika...