Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Verse I Baada ya kumaliza primary la saba mamu mjini dar Akapata mchumba mtu wa mwanza mamu akampenda kwa kua mamu alimpenda sana hivyo akaona vyema nyumbani kusema Akamwambia mama kwamba mama...
0 Reactions
0 Replies
15K Views
WanaJF nakumbuka nikiwa shule ya msingi watangazaji hawa walikuwa mojawapo kati ya watangazaji maarufu kwenye radio Tanzania. Ezekieli malongo alikuwa akisoma habari za michezo saa mbili kasoro...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Wakuu nyota yetu ya kikapu inahitaji maombezi.......tangu ajiunge na houston rockets kacheza mechi 4 tu kwa dakika 38 tu......statistics yake kiukweli hairidhishi.....anahitaji akaze buti kisawa...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Katika hali ya kushangaza mh duly sykes ametangazwa anasumbuliwa sana sana na anajuta kwa nini amezaliwa handsome kwa kuwa ajaamini kinachoendelea...duly sykes amesema amekuwa akisumbuliwa sana...
0 Reactions
75 Replies
9K Views
Angelina Jolie and Brad Pitt to have baby number seven, reports in the US claim By Naomi McElroy 19/01/2012 Decrease font size Increase font size...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Msanii na producer al-maarufu kama benja wa mambo jambo kuna tetesi amepata ajali Sos:EA Radio lakin bado haijathibitishwa NB:kama amepata ajali leo,hii itakua ya pili ndani ya wiki hii,mara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Please join me in celebrating a milestone for this legend of the boxing legend....
0 Reactions
4 Replies
1K Views
amefunguka leo ndani ya supermix ya e.africa radio amedai ameoteshwa na mungu na ameambiwa ataanza kutenda muujiza mpya soon, tena utakua wenye nguvu kuliko kile kikombe maarufu kama kikombe cha...
0 Reactions
72 Replies
7K Views
WanaJF, ninaomba mnipe jina halisi la Bi Kidude na kwa nini alipewa jina hili la Bi Kidude?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
anapiga show kwa macheni nakulipwa mia tano na huyu jamaa alikuwa na hela katesasana kwenye game maisha bwana
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara nyingi bila kupata majibu. Hivi unaposema fulani ni star au super star ktk eneo fulani kama ni film industry au ktk soccer...what does this means? Katika...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ma superstar wetu fake wa bongo kila siku wapo kwenye ma bar na kuomba beer
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Januari 29, 2012, Sugu atawaongoza wanaharakati kibao katika shoo babkubwa itakayofanyika kwenye Klabu ya New Maisha, Oysterbay, Dar es Salaam. Sugu ameandika kwenye ukurasa wake wa Facebook...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Huyu mtangazaji wa muda mrefu tena mwenye haiba kubwa katika fani hii. Jana nilimwona kwa mechi ya Twiga Starz, akiwa amenyoa KIDUKU a.k.a 'bwenzi' Huyu bwana, kulingana na uzoefu wake na umri...
0 Reactions
79 Replies
10K Views
nakumbuka huko nyuma mch. rwakatale wa mikocheni B assemblies of God aliwahi kutumia mtindo wa kununua vitambaa (leso) vyeupe na kuviombea kisha anawapa watu ati wakivitumia kama kuviwekwa kwenye...
1 Reactions
108 Replies
14K Views
Nimesoma maandishi ya Mohamed Said na nimegundua kama kila mtu angekuwa kama yeye nchi hii isingefika hapa ilipofika. Mohamed Said ni shujaa anayethubutu kusema yale ambayo wengi wetu wanayaogopa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
nimefurahi kuona kituo cha matangazo cha DTV kikiwapa airtime VINEGA sio tu kupiga nyimbo zao hata kuwafanyia interview na kupata kuwaelewesha wananchi madhumuni ya vinega. safi sana. ova
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika hali isiyo ya kawaida msichana 1 kutoka mkoani Kirimanjaro aliyejitambukisha kwa jina la Yusra Bakari amejitokeza hadharani kuwa anampenda Diamond kupita kiasi, na yuko radhi kuoldwa nae...
1 Reactions
50 Replies
7K Views
Nilisikia wakiwa morogoro walileteana zengwe na 20 akamtukana sana Walter cjui ndo alikua nyasi au alikua tungi..? Embu niupdate jaman wats goin on naw btn the 2?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimesikiliza wimbo wake radio one NIKO MAKINI NA FANI,umenikumbusha mbali. Huyu jamaa alikuwa mzuri kwenye mashairi aisee!
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom