Kuna tetesi kuwa Saed Kubenea, mhariri mkuu na mmiliki wa gazeti pendwa la MwanaHALISI naye ni miongoni mwa waandishi wa habari walionunuliwa na Rostam Aziz, Edward Lowassa na Andrew Chenge kwenye...
Hii imeniacha hoi sanaa, it one of the illest quotes i have heard..
"To the Libyans, I am holiest than the emperor to the Japanese!
and which of his quotes made you crack?
Nyumbani mama umemuachia bukuuuuuuuu..........
Kishtobe ba umemnunulia kukuuuuuuuuu.......
Kurudi kwako ni usikuuuuu........
Naenda kusema kwa mamaaaaaa...
Kila kitu kina taaluma yake sasa jana nilikua nasikiliza kipindi cha michezo 100.5 times fm.Kuna dada mmoja anaita Zainabu Kilwale ana sauti mbaya kama teja la kike vile.
Mimi naona hizi sauti...
Kwenu Jf,
Watanzania wengi hususani vijana wanahitaji mabadiliko, ni matumaini ya watanzania walio wengi kuwa nchi yetu imeiva kwa mageuzi, na pasipo ubishi wowote waandishi wa habari kama alivyo...
Jana jioni kulukuwa na uvumi ulioenea ktk mitandao mbalimbali kuwa Bibi Kidude amefariki dunia jana.
Akiongea na kipindi cha Super Mix kupitia simu ya msanii wa bongo flava, AT amesema ni kweli...
Sekedia ni mpiga kinanda wa siku nyingi wa bendi ya akudo impakti,victor mkambi ni mpiga kinanda wa siku nyingi wa twanga pepeta...kwa pamoja ni wapiga vinanda hodari sana nchini,je wewe unadhani...
Jamani naomba contacts za watu wa power breakfast hasa Bonge kuna jambo muhimu la kujenga nchi nataka liruke hewani maana siku hizi kazi haziendi bila uozo kurushwa hewani , na najua mtindo...
ILIKUWA LEO ASUBUHI MUDA WA SAA NNE HIVI KWENYE KIPINDI CHAO CHA SUPER MIX. MARA WAKAWEKA BONGO FLAVA YA MSANII ALIYEIMBA MUHOGO WAKO MTAMU NA ANDAZI WEEE KWA HAMIRA. WIMBO ULIPOISHA WAKAANZA...
amesha tengeneza nyimbo nyingi na wimbo mmoja ameshatoa video yake ya kwanza yenye mashairi tunajua kupendana hatujui kuachana na hata kinyonga ana wakwake.anasema aliyemvutia kuingia kwenye game...
Ripota Netchi Lyimo mjukuu wa Mchungaji jamaa alikuwa mbali sana kwenye fani yake sijui nini kimemrudisha nyuma hivi.
Namwona hapa Moshi aka mji wa wagumu anavyopigika na maisha.
Aijalishi utafukuzwa ama umestaafu zi mbaya kuendeleza kipaji chako ukiwa uzeeni
mh kibonde nimesikia sauti na unavyoimba taarabu leo kwa kweli una kipaji cha taarabu
si mbaya ukimaliza kazi kwa...
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, imemkamata mfanyabiashara Jack Pemba kutokana na madai ya kujipatia pesa kwa udanganyifu.
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa Jack anashikiliwa...
Kupitia kwenye kipindi cha Amplifier cha Clouds FM cha leo, Nakaaya Sumari amesema ameachana na siasa kabisa na anaamini ulikuwa ni uamuzi wa pupa kwa yeye kujiingiza kwenye siasa.
Anasema...
Yule msanii wa filamu nchini mwenye sifa ya kuanza mapenzi kwenye umri mdogo ametangaza rasmi kusafiri kwenda majuu kumfuata Justin Bieber.
Lulu ametangaza nia yake hiyo leo wakati akihojiwa...
​Mkali katika Tasnia ya Filamu Tanzania (Bongo Movie) Lulu Michael a.k.a hot Lulu amevunja ukimya na kutoa yake ya moyoni kuhusu Justin Beiber Katika interview na zamaradi mketema Lulu...