Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

You gotta love Kelly Rowland, not only is she the hottest member of Destiny's Child (she beat Beyoncé in Vs, so it's not just me), but she has now admitted to having a fuk buddy.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JLO wa Bongo afunguka kuhusu bifu lake na Nature anataka kufanya kuwa dili la kutoa nae movie!!
0 Reactions
42 Replies
13K Views
Habari wakuu,kuna jamaa alikuwa anatangaza CH10 long time sana nafikiri miaka ya 98 hivi alikuwa na kipindi kinaitwa MOBITEL MOST WANTED yuko wapi,sijamsoma siku nyingi anaitwa Ruff B sijaona.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Inaniuma sana juma nature inaniuma sana - YouTube
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani mi namhurumia sana aunty ezekiel alipopigwa marufuku kushiriki movie za kibongo na wenye mamlaka hiyo...jamani sasa huko ndio mtu anakotegemea kula na kuishi,,sasa wanadhani ataishi vipi na...
0 Reactions
47 Replies
11K Views
Kijana wetu JF akifunguka kwenye interview na XXL. Kweli mbunge noma kakaa kulia halafu kapiga overtake cheki link hii hapo chini Jaffarai Shyrose Bhanji Amenisaliti Na Mbunge Wa Mby Mjini Mr II
0 Reactions
1 Replies
971 Views
Najua kama binadamu una mapungufu yako ya kibinadamu. Lakini kwenye kazi yako unafanya vizuri sana na unaweza kufanya vizuri zaidi iwapo tu utaenda shule ya kitaaluma. Hii itasaidia sana kwako...
1 Reactions
50 Replies
6K Views
EAST AFRICA HERALD: Chinua Achebe Vs 50 Cent
0 Reactions
12 Replies
2K Views
http://youtu.be/JQzBVzvUpEo Msikilize alivyo wapakipaumbele wanawake!!lakini kwa ujumla wake alikuwa boya!!! http://youtu.be/MgUe7OI0a7w Tanzania ya sasa anatakiwa maamuzi kama ya amini.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana Jf jana ktk ukumbi wa kiss club mwanza tulikuwa na mastaa kibao waliopata kutamba uko nyuma,kilichonishangaza mimi ni kuona jinsi gani walivochoka yani hadi konyagi wanagongea kwa watu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Huyu celebrate anahitaji msaada; kwa wale waliojaliwa na MUNGU msaaidieni huyu kaka.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hivi hii wiki ya nenda kwa usalama barabarani ina maana gani wakati hata hizo stika za kuonesha magar yanakidhi viwango vya kuwa barabarani zinatolewa bila gari kukaguliwa au ndo wanakagua mifuko...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
combination ya Michael Baruti na Zembwela kwenye kipindi cha SUPAMIX kinachoruka hewani kila siku ya jumatatu mpaka ijumaa, kupitia East africa Radio ni nzuri saaaaana.... wawili hawa wanaupeo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Shocking: Photo apparently showing Michael Jackson's dead body on a gurney on the opening day of the trial of Dr Conrad Murray Click hapo chini kwenye maneno mekundu Audio Recording of...
0 Reactions
16 Replies
20K Views
kwa kweli hawa vijana nawakubali sana.naona kama wana upeo mpana sana wa masuala mbalimbali ya kijamii,kisiasa na kiuchumi pia...nimfano w akuigwa kwa watangazaji wengine kwenye tasnia hii ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Amefariki akiwa na miaka 71, kansa imemuua
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, nina idea ya kutunga singo ya kumpelekea ujumbe Ngeleja, nilipenda nitumie strategy ya kama "naongea na riz 1" pia naomba wadau waniongezee mistari katika wimbo huo! Asanteni
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Hapa kwetu kama kesi iko mahakamani ni mwiko kuiongelea na hasa kwenye vyombo vya habari. Hapa Kuna mama ambaye alikuwa rafiki ya Michael Jackson anaitwa Hilton anaongea na CNN kama anatoa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika hali isiyo ya kawaida mkuu wa wilaya moja mkoani Ruvuma amefumaniwa akimmega {akivunja amri ya 6 na} paparazi jina la mkuu wa wilaya ni Juma Madaha mkuu wa wilaya ya Tunduru. Hii imetokea...
0 Reactions
129 Replies
17K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…