Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Awali iltangazwa kuwa Juma Nature Kiroboto a.k.a Kibra atakuwepo pale Nangwanda Sijaona kwa ajili ya show ya Wasafi Festival iliyofanyika tarehe 2 mwezi huu. Sasa show ikafanyika Nature...
32 Reactions
367 Replies
23K Views
Dah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini Lakini Kama kuna pesa...
16 Reactions
123 Replies
12K Views
Mwamba tuvushe...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Hivi hii story 3 ya Jay Moe ilitoka mwaka gani?
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Endeleeni kufake maisha baadae ooooh "watanzania hawana utu,wameshindwa kumchangia msanii mwenzetu pesa za matibabu mpaka kapoteza maisha".
3 Reactions
8 Replies
835 Views
Mtangazaji Zamaradi Mketema ametrend sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kukodi Bango na kuweka ujumbe wa mahaba kwa mume wake kama zawadi ya siku ya valentines. Bango hilo liko maeneo ya...
41 Reactions
554 Replies
41K Views
Sina mengi.. Hii ngoma nadhan jamaa alizindika sana kabla ya kutunga na kuitoa, ngoma haipotezi radha, sio kama miziki baadhi ukishasikiliza miaka miwili mitatu ile excitement inatoka, lakini...
11 Reactions
55 Replies
4K Views
Mtangazaji Salim Kikeke amechukuliwa rasmi na Kituo cha Radio na TV cha E FM na TVE ikiwa ni miezi 5 tangu alipoachana na BBC ya Uingereza. Vipi huu usajili huu Majizzo katisha au Kikeke kachemka?
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Killy ameamua kufunguka baadhi ya ujinga uliokuwa unaendelea kwenye lebo iliyokufa ya jembe ni jembe iitwayo konde gang. Aliongea akijibu shutuma nzito alizotoa msanii mfupi machachari anaetumia...
6 Reactions
37 Replies
3K Views
Kiroboto sihitaji andika sana, hebu kaa na wadau mjini usisubirie upepo wa sugu na lile tamasha lake kaa na wadau itisha tamasha HESHIMA YA JUMA NATURE siku moja tu usiku mmoja tu. Hiyo siku tuje...
7 Reactions
45 Replies
3K Views
Wakuu habari. Miaka ya 2000 kulikua na mwanadada machachali sana katika Bongo Fleva anaitwa Zay to tha B mwanadada GaiDI. Mwanadada alikua anajitahidi sana kwa nyakati zake kwenye game na...
3 Reactions
88 Replies
17K Views
Wanu Hafidh Ameir akifurahia jambo na mwenza wake Mh. Mohamed Mchengerwa katika moja ya mitoko yao.
10 Reactions
72 Replies
9K Views
Pendekezo la kumlipa Trevor Noah Randi Milioni 33 sawa na takriban Tsh. Bilioni 4.2 kwa Video ya Dakika 5 ili kuitangaza South Africa kama Kivutio cha Kitalii, limesababisha mpasuko baada ya...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki mkubwa. Hivi ndivyo walivyofanya Paula na Kajala wakitoa misaada kwa watu wasiojiweza huko Arusha ambapo mpango huo...
5 Reactions
46 Replies
2K Views
Kama ushapata bahati ya kuusikiliza huu wimbo mpya wa Meja Kunta utakubaliana na mimi jamaa anajua sana tofauti na waimba singeli ambao badala ya kuimba wanapiga piga kelele tu. Wimbo ni mzuri...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
1. Ally Kamwe na Privaldinho 2. Beka Flava na Mayele Ongeza na wako.
22 Reactions
121 Replies
15K Views
Uzi mzuri sana kwa ajili ya kupeana updates za kazi kutoka kwenye kundi la Abdallah Nzuda na mwenzie Amini Samofi Hapa tutajadili michezo yao iliyotuvutia zaidi, matukio pamoja na wasifu wa...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Zama za Haji Manara zinaelekea mwishoni. Kwa sasa awepo au asiwepo kwenye jambo hakuna kinachoongezeka wala kinachopungua. Sasa ameamua kupambana na wakati hataki kuonekna yeye ni ziada...
11 Reactions
34 Replies
3K Views
01) Kwa Jina halisi hufahamika kama "AGBEPA MUMBA Antoine, Christophe. Yeye ni Mwimbaji,Mpiga Gita,Mtunzi wa Nyimbo, Mpangaji, Mtayarishaji, Mzalisaji, Promota wa Muziki, Mmiliki wa Lebo...
7 Reactions
13 Replies
6K Views
Mtayarishaji wa muziki namba 1 kwa sasa Nchini Tanzania, S2Kizzy ametangaza kupandisha bei ya kurecord wimbo mmoja kwake ambapo bei hiyo itaanza kutumika baada ya mfungo wa Ramadhan. S2Kizzy...
11 Reactions
86 Replies
9K Views
Back
Top Bottom