Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Salam wakuu, As today it's the beginning of second phase of the year, unahisi ni ngoma gani kali ya hip-hop (Tanzania) iliyofanya vizuri kupita ngoma zote kuanzia January mpaka June?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
SIku chache baada ya Msanii Chino Kidd7 ambaye ni Dancer wa Nyota wa Bongo Flava, Mario kumuomba Collbo mkali wa Hip Hop, Fid-Q, leo Julai 4, 2023 mastaa hao wamekutana Studio. Swali ni je, Fid...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rapper Jay-Z's mother, Gloria Carter, has tied the knot with her long time partner, Roxanne Wilshire, in a star-studded wedding in New York. Jay-Z and his celebrity wife Beyonce were among those...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Wana JF Ukisikia mtu kushuka kunaanzaga kwa visingizio. Diamond hana hit song na zilizopo za kawaida sana. Utajiri tu ndio unambeba. Ona vijana wanavyomjibu
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Nimeangalia kipindi cha Ujenzi EATV nikamuona dada mdogo kiumri akiwa tayari kashajenga nyumba tatu Kubwa jijini Dar. Anadai yeye huwa hapendi sana starehe ila starehe yake ni kujenga nyumba...
19 Reactions
277 Replies
32K Views
Msaniii bora kavurugwa insta..
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Kwa mujibu wa Mtandao wa TMZ, Mahakama ya Rufaa ya California itaruhusu mashtaka ya Wade Robson anayedai kuwa MJ alimdhalilisha kingono katika Ranchi yake ya Neverland kuanzia akiwa na umri wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nikifatilia muziki hasa Hip Hop Bongo sasa naona kuna utofauti mkubwa, yaani kama pengo vile hawa wasanii wasasa wanashindwa kufikia swhemu ya walotangulia. Hamna maudhui ya maana kwa muziki wa...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Kwenye kiwanda cha Hiphop Tumekuwa tukishuhudia vipaji vingi na uandishi mzuri wa mashairi. Kuanzia kizazi Cha kina Tupac, rakims, jada, Jay z, eminem, Wayne na hata N.big. 👉Ambao wamekuwa...
1 Reactions
284 Replies
7K Views
Habari wakuu Naomba niweke wazi hili , Mimi nafatilia sana music wa Bongo kwa ujumla tangu mwaka 2001 mpaka sasa Napendelea zaidi Music wa Hiphop hvyo basi wasanii wengi wa hiphop bongo nimekua...
11 Reactions
41 Replies
3K Views
Pamoja na kudhihakiwa sana mitandaoni huyu dogo anazidi kung'ara duniani. Apewe support na vyombo husika. Watanzania wanahitaji hv vipaji kuondoa stress
9 Reactions
49 Replies
7K Views
NI KISASI AU CHUKI...? "Tulisikia yowe kisha kishindo kikubwa, duuuuf. Baada ya hapo ilisikika sauti ya mwanaume ikipayuka." Ndivyo mashahidi walivyolielezea tukio la kifo cha Anele 'Nelli'...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Ngoma ya Msanii Roma Inayoitwa Mimi ni Nani haijafanya vizuri kama ilivyotarajiwa au ilivyotanguliwa na ile ya Nipeni Maua yangu Je shida ni nini? Amekosa content au style ya ngoma yake hii ya...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Kama ushawahi usikia huu wimbo Wa zali la mentali Wa prof Jay utakuwa na ww unatamani kujua ni nani yupo nyuma ya ile sauti ya kike katika ule wimbo. Ukiangalia video yake utamuona mwanadada...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Nimesukumwa kutaka kuwajua vema hawa watu baada ya kufuatilia mijadala wanayoiendesha katika vipindi. Juzi nilimsikia Kitenge akisoma Magazeti kwa bashasha lakini nikashangaa kuna neno la...
23 Reactions
89 Replies
8K Views
Kupima ukubwa wa mtu ni lazma kujua ana nyimbo ngapi ametoa Toka ameanza Kuimba muziki, msaniii harmonize amerelease nyimbo 127 Toka ameanza Kuimba, na hii idadi amemuacha diamond mbali sana...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Baada ya Konde kulia mbele ya media ku justify ubaya wa mondi, kumbe nae alimfanyia Angella [emoji23][emoji23] "Sikuwahi kuwa na mimba ya Harmonize wala hatukuwahi kuwa kwenye mahusiano na...
7 Reactions
50 Replies
5K Views
Madonna ameahirisha ziara yake baada ya kuwa mgonjwa na kukaa katika chumba cha wagonjwa mahututi kwa siku kadhaa. Taarifa iliyotumwa kwenye Instagram na meneja wa mwanamuziki huyo wa Marekani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakazi wa Iringa hivi huyu mwamba wa Iringa aliyewahi kumiliki vibasi vyanavyokwenda Ilula na Zahanati yupo? Anaendeleaje na maisha yake ambayo ni hadithi tosha yenye mafunzo kwa watu?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…