Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Naona wanatupia picha zenye makalio yao,sasa sijui ndio kututamanisha tuvunje amri ya Mungu inayotuasa tusitamani mwanamke asiye mke wetu au vipi? Mimi kama kijana wa kilokole sijapenda hii tabia...
8 Reactions
254 Replies
32K Views
Chukua hata uraia wa Marekani kwa muda ukane huu wa bongo. Ukifika kule anzia chini kabisa, jishushe fanya remix ya nyimbo zako hasa zile za zamani ukiimba kiingereza kwa wingi kiswahili kidogo...
7 Reactions
103 Replies
6K Views
Sometimes inabidi tukubali kuna watu mapengo yao hayana replacement kutokana na uwezo extra walionao. Radio Free Africa ilipoteza mvuto baada ya kuachana na waandishi wao ambao hata leo hii ni...
11 Reactions
63 Replies
6K Views
#BURUDANI Msanii wa HipHop @roma_zimbabwe amefunguka kuwa tafiti zake zimeonesha kuwa marehemu Albert Mangwea alikuwa anapendwa na wasanii wenzake wote hasa wa kizazi cha sasa. "Tafiti yangu...
2 Reactions
3 Replies
821 Views
Jana ndio ilikuwa Mara yangu ya kwanza nasikia ngoma ya lavalava nilikuwa sijawahi kuitafuta kuisikiliza ila wakati nipo kwenye daladala ndipo ngoma nikaisikia ya Tajiri jamaa latisha Sana kuanzia...
1 Reactions
6 Replies
964 Views
Leo 27-04-2020 Mwana FA Atakua Clouds FM Kwenye kipindi Cha XXL Kuanzia 13:00 - 16:00 Zimetimia jumla ya siku 39 tangu ‘Shabaan Robert wa Kizazi Hiki’ MwanaFA ajitangaze kuwa mmoja wa waathirika...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Ni vibe la hela yote, ni shangwe za volume yote, ni cheers za glasi zote kwa Mashabiki, Wafuasi na Wa-Cloudsnia wote ndani na nje ya Tanzania leo baada ya Mfalme wa show za mchana Mtangazaji...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Natokea kumkubali sana huyu dada, ni mcheshi halafu ni anapenda comedy fulani. Kwakweli huwa nampenda na nahisi li moyo limemudondokea. Je, kaolewa?
11 Reactions
32 Replies
5K Views
tia saini hati ya talaka umpe uhuru mkeo amechoka na umalaya wako, mkia wako unachovya kila shimo atakuvumiliaje?
15 Reactions
103 Replies
8K Views
Habari za weekend wadau wa burudani.?. Katika anga ya muziki hasa wa hapa nchini kwetu ukizungumzia bongo fleva, hip hop na miondoko miongine mbalimbali kumekuwa na wasanii amabo mara nyingi...
0 Reactions
0 Replies
406 Views
Matajiri wawili Duniani, Bwana Elon Musk na Mark Zuckerberg wamekubali kuzichapa kavu kavu kwenye ulingo uliofungwa, caged match siku zijazo mjini Nevada. Binafsi natabiri Elon Musk kumfumua Mark...
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Hebu tuongee kidogo ndugu zangu wa Hip Hop hasa wale Old is gold. Na wengine. Hivi mwaka 2005 wakati A.k.a Mimi Album ya Albert Mangwair ikichukua Album bora, Ilishindana na Album zipi? Rest...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Ningependa kufahamu anaye mwandikia Ali mashairi siku hizi. Kwani Toka Ngoma ya UTU to the latest songs ie mahaba and on fire it seems mwandishi ni mmoja kabisa. Kusema kweli mashairi ya kwenye...
7 Reactions
15 Replies
3K Views
Mapungufu ndio haya; Kwanza hajatambulisha vyoo vilipo. Hadi sasa saa sita kasoro dakika 13 hatujala. Muziki mbovu balaa, baadhi ya spika hazipigi, hamna sound balancing, sauti yako hatuisikii...
18 Reactions
51 Replies
4K Views
Msanii Cheedy hivi karibuni Konde Kang walivunja mkataba nae ikalazimika imlipe million 10 kama sehemu ya kuvunja mkataba. Wakati akihojiwa na East Africa Radio, Cheedy amefunguka kuwa; "Mkataba...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Mrembo maarufu mtandaoni Sanchword amebadili dini na kuwa muislam rasmi na kuitwa Surraiya Evarist Rimoy. Sanchi binti wa kichaga mwenye shepu matata amekuwa akifunga ramadhani wakati bado...
32 Reactions
279 Replies
39K Views
Kijana mmoja aliyejitambulisha kwa majina ya Ahmad Yusuph Mzee, amejitokeza hadharani katika studio za Wasafi Media akidai kwamba yeye ni mtoto wa mzee Yusuph wa damu kabisa ambapo anasema kwamba...
12 Reactions
97 Replies
9K Views
Dar iwe na Tolerance zones bila police interference kama hizo bars zikusanye kodi kwa niaba ya dada poa itapiga hela sana. Mfano kuanzia Bamaga hadi Shekilango pawe tu red light district na TRA...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama ningepata nafasi ya kuongeya na Diamond ningemshauri amshike mkono huyu sister Rosa Ree. Mimi sio shabiki saana wa huyu dada na wala sio shabiki saana wa nyimbo zake. Lakini Mara nyingi...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu, Alikiba huyu ni mkongwe kama tujuavyo. Kadri muda ulivyosogea watu walitabiri kifo chake cha kimziki, ingawaje wale alioanza nao kuimba wengi wamepotea. Nimesikiliza hizi nyimbo mbili...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
Back
Top Bottom