Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wakuu kwema, Nawaomba hapa mnaefahamu Hip hop kwa undani kidogo. Naomba kujua tofauti ya Rappers na Mcee ni ipi? Napenda Hip Hop lakini hadi leo hichi kipengele kwangu sikielewi.. Emcee na...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Mwimbaji Temilade Openiyi a.k.a #Tems kutoka Nigeria, ameweka historia ya kuwa msanii mwenye muda mfupi kwenye muziki na kufanikiwa kutajwa kuwania Tuzo maarufu ya #Oscar kupitia wimbo wa Lift Me...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadada wengi ndio maana mnashindwa kupata real love kwa mambo mafupi sana. Kuna kipindi fulani nilimsikia baba levo kuachana na mke wake ni kwa sababu ya dini ila walizaa. Sasa baba levo Mpunga...
4 Reactions
51 Replies
5K Views
Hii punch ya Dizasta Vina ni kama ngumi Sugunyo ya Mandonga iliyotoka katikati ya milipuko ya mabomu ya Ukraine.
8 Reactions
92 Replies
5K Views
Aisee yule mmakonde alikuwa hatari bwana. Leo na hii mvua ya tangu jana usiku nikaona ngoja nijisikilizie nyimbo zetu za utuvu ndipo nikakutana na hii kitu 'Sanura' kutoka kwa huyu Tongolanga...
3 Reactions
10 Replies
672 Views
Habari. Taarifa zisizo Rasmi inasemekana mtangazaji wa clouds na chawa promax wa wasanii mbalimbali nchini maarufu kama Mwijaku. Amesimamishwa kazi na menejimenti yake baada ya utovu wa nidhamu...
9 Reactions
116 Replies
11K Views
Baada ya kununua helicopter yake ya kifahari, Diamond Platnumz ndio anakuwa mtanzania wa kwanza kumiliki helicopter ya kifahari. Wapo matajiri wengine waliwahi miliki helicopter za kuungaunga ila...
13 Reactions
38 Replies
6K Views
Asee hiki kipind ni km kapewa baba Levo awe anatoa stori za safari zake na maisha yake,yan almost 65% ya kipind anasikika baba Levo Wazo;Baba Levo apewe kipind chake maalumu afanye kushare stori...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Nimekuwa mpenzi wa muziki wa hip hop kwa muda mrefu sasa, pia nimewasikiliza ma Rapa wengi sana wa hapa nyumbani na Afrika Mashariki kwa ujumla. The Real FID Q ndio Rapa nilie tokea kumwelewa...
11 Reactions
65 Replies
5K Views
Mondi akiwa anaimba nyimbo za aina hii ya bongofleva anatisha sana.Nimependa Sana hii ngoma kuanzia uandishi mpaka melody yake ni Kali.Ujumbe wa hii ngoma unagusa watu wengi
3 Reactions
41 Replies
5K Views
. Hivi imekuaje? Huyu jamaa anajiita Director Jowzeey kumharibia Malkia wa Muziki wa Injili Afrika Mashariki Rose Muhando na kumtolea video mbaya yenye giza na isiyo na mvuto. Kuna sauti ya Rose...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Msanii Diamond Platnumz akiongea katika uzinduzi wa album ya Barnaba classic iitwayo Love Sounds Different, amesema wasanii wengi wanakwama Kwa kukosa usimamizi na uwekezaji wa pesa. Diamond...
10 Reactions
71 Replies
7K Views
Huko usafini nadhani hadi muda huu watakuwa wamechanganyikiwa baada ya muda mrefu kumkosa Nandy African Princess. Sasa Msanii mkubwa wa kike wa bongo fleva amemsajili msanii aitwaye Yammy tz...
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Nimepata taarfa bondia namba moja Afrika Mashariki, Karim Mandonga anajipanga kunyakua jimbo la Morogoro Mjini Ni kweli anaushawishi wa kushinda Ubunge kwasababu vijana wengi Tanzania wanampenda...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
Tapeli Jack Pemba, alipowasili nchini Uingerereza mwanzoni mwa miaka ya 2000, alibahatika kukutana na Binti kigoli aitwaye Victoria Chaplin, binti Victoria alimtambulisha nyumbani kwao na...
8 Reactions
24 Replies
2K Views
😳 Mapya yaibuka!! Licha ya Pele(82) kumkana mwanae huyo pichani wa nje ya ndoa maisha yake yote hadi alipofariki miaka 17 iliyopita, lakini kwa mujibu wa taarifa mpya kwenye mirathi aliyoiacha...
9 Reactions
22 Replies
3K Views
Hawavumi lakini wamo Kwanza video ambazo unakuta msanii anamsifia quality ndogo lakni utasikia kula chuma icho
19 Reactions
36 Replies
3K Views
Huyu ex best friend Wa wema sepetu pamoja na ex girlfriend Wa diamond siku hiz simsikii kabisa,hivi kapotelea wapi?? ========================= Hivi yule mwanadada aliyekuwa anatoka kimapenzi na...
2 Reactions
42 Replies
11K Views
Huu Ndio Utajiri wa Msanii Diamond Platnumz by Frumence M Kyauke. Nasibu Abdul Juma Issack, almaarufu Diamond Platnumz, ni msanii Afrika mwenye kipaji kikubwa cha uimbaji vilevile ni msanii...
0 Reactions
46 Replies
10K Views
Nasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha. Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha. Am so Disappointed . Why why why...
3 Reactions
139 Replies
16K Views
Back
Top Bottom