Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mimi ni mpenzi mkubwq wa wasani wa kiafrika hasa watanzania. Ila kunakitu kinanikwanza sana ninapo angaria movie au video za miziki ya Tanzania. Unakuta mtu anaubo zuri na mwonekano wa...
5 Reactions
13 Replies
642 Views
Watangazaji wa kipindi cha Transformer cha E FM wamekosoa mtindo mpya wa nywele wa Harmonize, wakifananisha muonekano wake na ule wa msanii Harmo Rapa.
1 Reactions
12 Replies
605 Views
Njaa haina Baunsa na shida zisikie tu. Mzee wa Upako Antony Lusekelo ajisalimisha kwa kiboko ya wachawi Buza kupata huduma. Nani anamloga huyo mzee wa Upako? Laa dunia hii isikie kwenye radio.
11 Reactions
39 Replies
10K Views
Angalia pia https://youtu.be/53MhmoFZAN4?si=xlqIQQBbe9T22_kH
0 Reactions
0 Replies
280 Views
Baada ya vurugu na purukushani za EFM na Wasafi Media ambapo zimepelekea kwa watangazaji mbali mbali kuhama katika vituo hivyo vya burudani, msanii Harmonize ameujulisha umma kupitia ukurasa wake...
12 Reactions
29 Replies
3K Views
Wale madada warembo watatu waliotamba Bongo flavor miaka ya 2000 mabinti wa Kipozi Unique Sisters/ Dadaz wako wapi siku hizi na wanafanya nini? Walikuwa wanaongea kijapani kilichonyooka...
9 Reactions
140 Replies
13K Views
Zikiwa zimepita siku 44 (wiki sita na siku 2) tangu aliyekuwa mnenguaji bei mbaya nchini, Monica Vincent ‘Diana Aston Villa' afariki dunia, kauli nzito aliyoitoa mwaka jana alipokuwa...
7 Reactions
212 Replies
67K Views
Wakuu Kamati ya wana apolo imekaa na kujizatiti kumfundisha adabu mc pili pili kwa kufanya makosa yafuatayo 1.kutangaza mahari ya mchumba wake kua ni milioni nane ambazo anaona ni nyingi na tena...
12 Reactions
67 Replies
10K Views
Uyu mdada anaitwa nani? Kiukweli anajua sana. Mdada hachoki kumsikiliza.
1 Reactions
2 Replies
439 Views
#1 Taylor Swift #2 Rihanna #3 Beyoncé #4 Adele #5 Katy Perry #6 Lady Gaga #7 P!nk #8 Ariana Grande #9 Miley Cyrus #10 Alicia Keys #11 Kelly Clarkson #12 Mariah Carey #13 Carrie Underwood #14...
1 Reactions
27 Replies
676 Views
Hili jambo la mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete mchumba naona linazidi kukomaa,si utamaduni wetu japo sio mbaya sana kwani ni effects za globalization kwenye muingiliano wa...
30 Reactions
857 Replies
70K Views
Baada ya say b, sister p na rah P kustaafu mziki sasa kuna ingizo jipya naomba sikiliza utojutia 😋😋😋
7 Reactions
43 Replies
2K Views
Aggrey TZ kwa sasa anachukua sana mambo aliyokuwa akiyafanya huko nyuma. Ilifika kipindi nusu awehuke, hapa kati maskini ya Mungu kaumwa sana na ilifika muda ukimsogelea anakufukuza anasema hataki...
11 Reactions
113 Replies
10K Views
Ndoa ndoano! Mambo sio mambo! Muigizaji aliyegeukia biashara, mwanadada Jackline Wolper Massawe ‘Wolper’ inaripotiwa kupata bwana mpya baada ya ndoa yake kukumbwa na sintofahamu nyingi...
23 Reactions
284 Replies
28K Views
Sallam SK aka Mendez ambaye ni international manager wa Msanii namba moja Africa yani Diamond Platnumz ametoa pongezi jinsi Yanga inavyofanya vizuri kwenye kuwaongezea thamani kwenye chapa zao...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Baada ya Michael Jackson kuachia albamu yake ya tano iliyoitwa Off The Wall mnamo 1979, alikatishwa tamaa na mwenendo wake. Licha ya kusifiwa kuwa albamu hiyo ilifanya vizuri hasa kwa kuuza...
2 Reactions
6 Replies
448 Views
Wakuu, Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz, amezua utani wa aina yake leo Januari 7, 2025, wakati wa ufunguzi wa hoteli mpya katika Kisiwa cha Bawe, Zanzibar...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Wako wap hawa wakali wa michano enz hizo ?Wako kimy sanaaa tumewamis san mashabik
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Askari wakamatwa kwa kuuza risasi Anna Makange, Tanga Daily News; Tuesday,October 28, 2008 @00:02 Polisi mkoani hapa inawashikilia askari wawili wa Gereza Kuu la Mkoa wa Tanga, Maweni...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
From attending Holloway Comprehensive in north London to roaming around Monaco with a son of a brutal dictator, who was carrying suitcases of money, Jay Bothroyd wondered how his life had taken...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…