Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wakuu, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Joyce Mbaga maarufu kwa jina la Nicole Joyberry kwa tuhuma za kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu na kufanya biashara ya...
19 Reactions
159 Replies
9K Views
Sexy Mama kutoka kwenye kiwanda cha bongo movie , Irene uwoya, amerudi rasmi kwenye page yake ya Instagram , baada ya kuwa kimya kwa takriban Mwaka mzima huku akidai account yake kudukuliwa na...
3 Reactions
52 Replies
8K Views
Wakuu kuna muda nilishawahi kujinasibisha kama Nabii. Sasa leo nawaletea huyu msanii wa mwaka huu anaitwa Midas the Jagaban Natabiri kwa mwakani atakuwa kwenye conversation moja na kina Rema na...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Duh! Ila kweli Diamond ni simba, habari za chini ya carpet inasadikika kuwa Diamond alimla Poshy Queen. Aise! Kama hizi habari ni kweli basi Diamond kanishinda tabia. Huyu Diamond, yaani wadada...
11 Reactions
193 Replies
22K Views
Wasalaam, Meneja wa Diamond Platinumz ambaye amefiwa siku tatu zilizopita ,kuanzia leo ameanza mchakato na kuendelea na mchakato wa kugombea ubunge wa Morogoro vijijini tiketi ya CCM. Pamoja na...
20 Reactions
420 Replies
37K Views
Msanii maarufu wa rap music Curtis Jackson ama 50 Cent mzee wa just little bit, 21 questions, amusement park amesema watu wachague Donald Trump. 50 Cent ameendelea kudai kua watu wanaosema Trump...
5 Reactions
31 Replies
39K Views
DIAMOND PLATNUMZ Ashinda Tunzo Msanii Bora Wa Mwaka Africa | Afrimma Awards 2017
6 Reactions
82 Replies
26K Views
Hizi tuzo mwanzo zilikuwa na ushawishi sana kipindi hicho. Kiasi kwamba ukichukua tuzo ya AFRIMMA ni heshima kubwa lakini kwa sasa baada ya wanaija kuona watu wamezipuuzia wakaanza kuvuta...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Moja ya habari kubwa inayogonga vichwa vya habari hivi sasa ni hii ambapo katika hali ya kushangaza, Ukurasa rasmi wa #Instagram wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis...
14 Reactions
109 Replies
13K Views
Mimi namuona kwenye mitandao ya kijanii kutwa ni kujimwambafai tu kuwa anamiliki pisi kali,mara wako wanafuturu kwenye mahotel makubwa. Lakini kiukweli huyu jamaa sijui anafanya shughuli gani ya...
4 Reactions
63 Replies
2K Views
Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya...
15 Reactions
791 Replies
119K Views
Wakuu nadhani kwa wenye kumbukumbu za huyu dogo anaitwa Mayunga aliwahi kushinda shindano la Africa nadhani ilikuwa Project fulan hivi siikumbuki vizuri, ila alivyoshinda alibahatika kufanya Ngoma...
6 Reactions
40 Replies
5K Views
Matarajio ya straika Mnijeria Victor Boniphace kufunga ndoa na mchumba wake mrembo wa Norway Rikke Ermine yamezikwa rasmi baada ya kutokea mtafaruku wa kimakubaliano.Mrembo Rikke Ermine akiweka...
9 Reactions
24 Replies
846 Views
Ndugu wawili vijana waliojipatia umaarufu mtandaoni Tiktok kwa kuishi maisha ya kibilionea na wakitoa motisha kwa vijana wengine kupambana wakamatwa Dubai na Cocaine.
7 Reactions
64 Replies
3K Views
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii Eti Diamond ajengewe...
37 Reactions
182 Replies
40K Views
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na comment ya Fatma Karume akijibu maneno ya mdau kuwa "Shangazi huna ndoa, tulia". Inaonekana Shangazi aliumizwa sana na matukio ya mume wake ndio...
25 Reactions
220 Replies
36K Views
vijana shtukeni kilimo kinalipa balaa, ebu ona dada yetu anavyopiga mamilioni kwnye kilimo huko Iringa. Nini maoni yako mkuu Hapa akiandaa shamba kwa ajili ya kupanda hapa akibadlishana mawazo na...
26 Reactions
138 Replies
24K Views
Kanye West na Bianca Censori Wakaribia Talaka Siku Chache Baada ya Grammys Kanye West na Bianca Censori wanakaribia kuachana, zikiwa ni siku kumi na moja tu tangu Censori aonekane karibu uchi...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Star muziki kutoka kenya Bien aliouwa vibaya kwenye tamasha la tracemusic award huko zanzibar. https://youtu.be/HNGUzeFNfNQ?si=LJRX1bjiWJqWwAlu
1 Reactions
5 Replies
226 Views
Hivi kati ya Diamond Platnumz na Samatta nani anaweza kuwa na pesa nyingi kumzidi mwenzie? Mimi naona Samatta, kuishi Ulaya zaidi ya miaka nane halafu kucheza Aston villa huku unalipwa milion Mia...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Back
Top Bottom