Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kwa upande wangu skendo iliyonishangaza na kunichekesha ilitokea mwaka 2016. Wema sepetu na İdris Sultan walipofeki ujauzito ili kuwanyamazisha timu zari na timu diamond 😂 unaambiwa walinunua...
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Mwigizaji nguli Gene Hackman na mkewe Betsy Arakawa wamepatikana wakiwa wamefariki dunia nyumbani kwao huko Santa Fe, New Mexico. Polisi wamesema kuwa hakuna dalili za uhalifu, lakini sababu...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Kuna watu wanajiulizaga zile nguo za ajabu ajabu za wasanii katika majukwaa na safari za kimataifa wanazitoaga wapi au wanaiga wapi? Ukweli ni kwamba fani ya mitindo kidunia ni kati ya fani...
12 Reactions
102 Replies
4K Views
  • Redirect
Mwanamuziki Harmonize ameweka wazi kumalizia Msikiti ulionzishwa kujengwa na Diamond Platnumz kijijini kwao Mtwara. . Harmonize anasema kuwa alipewa pesa na DiamondPlatnumz aka Simba ili kujenga...
0 Reactions
Replies
Views
Sema ee bwana Yesu mikononi mwako naiweka roho yangu. Lazima tupeane toba kwanza. Hii trace awards nimeisikia wasafi leo imenihuzunisha sana sana. Alikiba kuwekwa hotel ya kawaida, Alikiba...
7 Reactions
41 Replies
2K Views
Tangu kumeibuka wimbi la wachekeshaji kibiashara nchini sijawahi kusikia comedian Mzanzibar aliye maarufu. Huko Zanzibar wao hawafanyi comedy au wapo ila hawajawa maarufu tu?!
7 Reactions
51 Replies
1K Views
ONYO kama huu Usimba na Uyanga tumeanza Kuuingiza na katika Mambo mengine tusije Kulaumiana hiyo Oktoba Oky?
0 Reactions
4 Replies
586 Views
Jioni ya leo February 26 kutakuwa na kilele cha msimu wa pili wa tuzo za muziki zinazojulikana kama Trace Awards huko visiwani Zanzibar. Tukio hilo litakalofanyika viunga vya hadhi ya juu...
13 Reactions
209 Replies
7K Views
Wakuu, Kama mnavyojua usiku wa leo ndio zinafanyika hizo tuzo za Trace huko Zanzibar. Wakati napitia pitia nominations nimekutana na majina ya wasanii 2 ambao hawakustahili kabisa kuwepo kwenye...
13 Reactions
36 Replies
2K Views
Msanii Nguli na Mfanyabiashara mkubwa duniani wa vyakula. Shishi beibi amekamilisha usajili mpya kuelekea mwisho wa mwaka. NB: Vijana! Uvumilivu ndio silaha kuelekea kufaidi matunda. Usikate...
21 Reactions
131 Replies
6K Views
Wakuu, Hawa ndio washindi wa tuzo za Trace Awards zilizofanyika jana huko Zanzibar. Kutoka Tanzania ni wasanii wawili tu ndio wamepata tuzo. Diamond Platnumz ameondoka na kipengele cha Best...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi huwa niko na kawaida ya kutengeneza playlist tofauti tofauti na kuzisikiliza wakati naendelea na kazi zangu (huwa napata utulivu wa kubaki kwenye jambo moja kwa wakati huo, kwasababu kichwa...
20 Reactions
157 Replies
4K Views
Yuko wapi Lulu Ibrahim, Miss Kinondoni 2009 na aligombea Miss Tanzania 2009?
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Mwanadada mrembo, mwanamuziki, mwigizaji, mjasiriamali na mwanamitindo Hamisa Mobetto 29, yuko mapenzini na Kigogo kutoka klabu ya soka ya Yanga. Mwanadada huyo na Kigogo wapo katika penzi la...
69 Reactions
562 Replies
29K Views
Amesikika katika Mtandao mmoja akilalamika sana hivyo ninaomba mnaokumbatiwa na mnaokumbatia mtueleweshe.
1 Reactions
5 Replies
636 Views
Anaitwa Kylian Mbappé Lottin, alizaliwa tarehe 20 Desemba 1998 huko Paris, Ufaransa. Yeye ni mchezaji wa soka wa Kifaransa anayecheza kama mshambuliaji katika klabu ya Ligue 1, Paris Saint-Germain...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amejivunia kumiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT W12 ya mwaka 2019. Gari hilo lilionekana kwenye msafara wa Diamond alipokuwa...
12 Reactions
114 Replies
5K Views
Wasaniii wa Bongofleva Madee, AY na Chege (Samia Kings) wameshiriki kwenye shangwe za mapokezi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Mkata Mkoani Tanga ambako anaanza ziara ya kikazi leo. Soma...
2 Reactions
19 Replies
918 Views
Voletta Wallace, mamake marehemu nyota wa hip-hop Notorious B.I.G., amefariki dunia. Alikuwa na umri wa miaka 72. TMZ inaripoti Wallace alikufa kwa sababu za asili Ijumaa asubuhi huko Stroudsburg...
8 Reactions
28 Replies
1K Views
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amesafirisha magari yake ya kifahari aina ya Rolls-Royce na Cadillac Escalade hadi Zanzibar. Magari hayo yanatarajiwa kutumika katika msimu huu wa...
7 Reactions
28 Replies
1K Views
Back
Top Bottom