Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Aman iwe kwenu akina mama na akina Baba wote wa jamiiforum Huko kwa wakuitwa TIWA SAVAGE kimeumana Baada ya mchepuko kumpiga sound naye akajaa leo ndo kaanza kulia Lia na kumkumbuka mume wake wa...
17 Reactions
105 Replies
4K Views
Nyota wa Klabu ya Yanga, Stephane Aziz Ki amekamilisha utaratibu wa mahari kwa ajili ya kumuoa Hamisa Mobetto, Aziz Ki ametoa jumla ya Ngo'mbe 30 ikiwa kama sehemu tu ya mahitaji mengine ambayo...
11 Reactions
110 Replies
5K Views
Hayawi hayawi sasa yatakuwa kwa yule mrembo wa Tanzania Wema Sepetu. Yale ambayo yatafurahisha wapenzi wa mlimbwende huyu yanakwenda kuwa. Ni yapi hayo! Ni Yale ya kuvaa shela jeupe tena na ndoa...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
I am so proud of you Hamisa. This girl need to be studied. Kasoma Kayumba kuanzia chekechea hadi form four ( Kaishia Form 4 mwaka 2010 Tandika Secondary School) Lakini anafanya mambo makubwa...
19 Reactions
156 Replies
3K Views
Hii mitandao ya kijamii pamoja na manufaa mengi lakini pia imefanya kundi kubwa la watu duniani kuwa wajinga na kuenenda kama mazombi.
0 Reactions
2 Replies
311 Views
Amewahi kunukuliwa na vyombo vya habari akiisagia kunguni ndoa hii. Lakini leo amegeuka mshauri!
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Huyu comedian ana wazazi kweli,cimedy zake ni matusi na stori za kuzagamuana tu. Kubwa kuliko amedai ana undugu na gwajima
0 Reactions
1 Replies
155 Views
MTANGAZAJI maarufu Bongo, Ben Kinyaiya amefunguka kuwa anatarajia rasmi kuvuta jiko. Kinyaiya aliiambia Full Shangwe kuwa, Mungu akijalia hivi karibuni atauaga ukapera rasmi kwa kufunga ndoa na...
2 Reactions
86 Replies
29K Views
Mliwaza nini. Mbona wewo
12 Reactions
64 Replies
2K Views
Kuna methali ya kimombo inasema "A happy man marries the girl he loves; a happier man loves the girl he married" sasa ndugu yetu kaingia cha kike tayari. Tumetulia pembeni tukisubiri yamkute ya...
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Wasalaam wana jamvi. Yule mtangazaji mzuri kuliko watangazaji wote nchini na ambaye hivi karibuni aliweka wazi kuwa yeye mahari yale haipungui million 200am ezidi kuongeza vigezo vya mwanaume...
6 Reactions
111 Replies
13K Views
JOHN PARTRIDGE The Globe and Mail (Breaking News) As the price of gold soared last year, Barrick Gold Corp. chief executive officer Gregory Wilkins was paid a total of more than...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Binafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya 1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize, Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe. Au alikutana na...
45 Reactions
242 Replies
8K Views
Katika miaka ya 1980, Pablo Escobar alikuwa mmoja wa wahalifu matajiri zaidi duniani, akiongoza Cartel de Medellín, mojawapo ya mitandao mikubwa ya dawa za kulevya katika historia. Utajiri wa...
4 Reactions
6 Replies
449 Views
Mchezaji wa soka maarufu, Aziz Ki, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu mapenzi yake na mpenzi wake, Hamisa Mobetto. Akitumia mtandao wa kijamii wa Instagram, Aziz Ki ameandika ujumbe wa kipekee...
8 Reactions
134 Replies
4K Views
HUSENI MACHOZI Hussein Rashid a.k.a Hussein Machozi . Alizaliwa mwaka 1986 katika wilaya ya Manyoni mkoani Singida. HUSENI MACHOZI ni moja Kati ya wasanii ama list ya wasanii ambao walipita...
5 Reactions
6 Replies
3K Views
Mungu ni mwema kila wakati. Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito. Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada...
45 Reactions
154 Replies
7K Views
Wachezaji wa klabu ya Yanga wakiwa wameambatana na Afisa Habari wao Ali Kamwe kwenye harusi ya Mchezaji Aziz Ki na Hamisa Mobetto. Soma, Pia: VIDEO: Aziz Ki tayari amefunga ndoa, ala kiapo cha...
1 Reactions
0 Replies
362 Views
Back
Top Bottom