Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mama wa Mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki "Sanata Ki" amemvaa rais wa Yanga Eng Hersi Said kwa kusimama kama mwakilishi wa familia kwenye maandalizi ya harusi ya mtoto wake bila yeye...
11 Reactions
60 Replies
4K Views
Nabii huyu Ni Nani ?pesa anazipataje yey ni kweli ni tapeli Kama wanavyosema watu kuwa tapeli au Ni kijan mchapa Kaz Basi tusema wivu tu kwa kuwa pia anaonekana na pisi Kali na kula Bata hapa jiji...
7 Reactions
37 Replies
7K Views
Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika kristo Mimi kama msukuma napingana mambo kaza wa kaza juu ya Ngoma ya oten ya nicheki, cha kwanza Ngoma ni kali sana huo ndo ukweli, sema mtani wangu huyu...
7 Reactions
17 Replies
731 Views
Nimetoa tu huko Twitter kwa wananzengo Lakini Kuna wananchi watoa comment kama huyu👇🤣
4 Reactions
4 Replies
664 Views
Huyu jamaa Leo kaenda clouds fm kipindi cha LEO TENA na wake zake wawili, wa pili na wa tatu. Wa kwanza hakuwepo. Wameongea mengi kuwa wake zake wanapendana. Ila kaulizwa swali na Geah Kuhusu...
18 Reactions
180 Replies
28K Views
Hatimaye! Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’...
29 Reactions
352 Replies
10K Views
Mzee Yusufu Kaimu mchekeshaji mkongwe maarufu kama Pembe afariki dunia alasiri ya leo jijini Dar es Salaam. Taarifa zimethibitishwa na Msanii wa Filamu, Vincent Kigosi “Ray” na taratibu za mazishi...
21 Reactions
102 Replies
13K Views
Mwigizaji Mkongwe na Maarufu nchini Tanzania, Grace Mapunda amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu. Taarifa za...
17 Reactions
120 Replies
11K Views
Kijana Frank Patrick (Mchekeshaji wa Mtandaoni) maarufu Kama Molingo (17) Mkazi wa Wilaya ya Chato Mkoani Geita amefariki dunia usiku wa kuamkia leo December 10,2024 akiwa nyumbani kwao Chato...
5 Reactions
49 Replies
3K Views
Baadhi wanaweza wakawa wameanza kukufahamu ulipokuwa muhariri wa Bongo5, ila umeanza safari yako pale Victoria fm Musoma kabla ya kuhamia RFA Mwanza na baadae ukashift TONE Radio. Kipindi uko...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Inadaiwa kuwa Le Mutuz alimdanganya Davis Mosha kuwa yeye ni mtaalamu sana wa mambo ya media. Na yeye kichwa kichwa akaingia kuagizia vifaa vya radio na TV kumbe jamaa hamna kitu. Matokeo yake...
32 Reactions
577 Replies
72K Views
Nash Mc ni miongoni mwa wasanii top 3 ya Hiphop bongo ninao wakubali nakufuatilia kazi zao zote wanazozifanya. Nash Mc, hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa, mfano nyimbo zake anauza whasap...
5 Reactions
84 Replies
7K Views
Huyu jamaa naweza sema ni mwanahip hop bora Tanzania ambaye hajawahi kubadilika,wako malegends kama Sugu au Jay ila huyu jamaa ukisikiliza nyimbo zake utagundua ni msomi,na pia anatumia kiswahili...
19 Reactions
153 Replies
20K Views
Mwanamitindo Hamisa Mobetto amefichua siri kuwa wakati Diamond akiwa na Zari walikuwa wanakutana na kwa siri na akafanikiwa kutundikwa mimba tatu na Diamond ambapo mbili zilitoka na moja...
14 Reactions
242 Replies
25K Views
Naona hoja ya Steve ni ya kweli, ukifuatalia wasanii wa Bongo Movies wanajitokeza sana kwenye kila msiba kuliko wasanii wa Bongo fleva ambao wengi wao wanajitokeza kwenye misiba inayowahusu...
3 Reactions
18 Replies
889 Views
Hivi wakuu afya ya akili ya diva mnaiona ipo sawa kweli? Ana utoto mwingi sana ,juzi kati watu wamemzodoa aliyekuwa mume wake kapata chombo kipya na ni mrembo haswa, eti Diva naye kaona wivu aka...
23 Reactions
112 Replies
4K Views
Uzi mfupi tu kuhusu soko la sanaa Tanzania. Wasanii wetu wa muziki ni muda wa kutoka usingizini sasa na kufanya kazi zinazoenda Duniani kama Wanaija. Nimeandika huu uzi baada ya kuona kazi mpya...
2 Reactions
20 Replies
553 Views
  • Redirect
Diamond kafa kaoza kwa Zuchu, huu hapa ujumbe wake kwa mpenzi wake katika siku hii ya Wapendanao
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Wakati napiga round mbili tatu huko mtandaoni nimekutana na clip ya video vixen aliyefanya video ya Nitafanyaje ya Diamond. Akiwa kwenye interview, huyu Vixen anasema kuwa sasa hivi...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Ni Mmoja wa wanahabari waliowai kunivutia sana kipindi anaripoti ITV, alikuwa na mbwembwe sana hasa kipindi cha uchaguzi. Ningependa kujua alipo kwa sasa maana amepotea kabisa kwenye medani za...
13 Reactions
81 Replies
20K Views
Back
Top Bottom