Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Sijui ni kwanini Wanaume wengi wa Afrika Magharibi ni Washamba mno wa Mbunye na sishangai ndiyo maana Wanaume wa Afrika Mashariki tunawazidi Ujanja na Akili. Kwa Hamisa Mobeto ninayemjua Mimi...
37 Reactions
96 Replies
4K Views
Katika level of consciousness viwango vya ufahamu vipo katika degree . Mfano Jay z Ana degree 33, huyu hauwezi kumuingiza Katika trap kirahisi, maana yeye ndo mmiliki wa hizo trap. Katika degree...
9 Reactions
37 Replies
1K Views
Janet Jackson married a Qatar billionaire in 2012. There were two clauses in the prenuptial agreement: 1) she would get 100 million dollars if the marriage lasted at least 5 years. 2) she would...
5 Reactions
10 Replies
813 Views
Vanessa alitumia akili ya kuzaliwa kujiondoa kwenye uswahili. Akajiweka sehemu inayoeleweka. Fikiria mpaka leo angekua bado anatembelea IST na kubebeshwa unga ingekuaje?
17 Reactions
108 Replies
7K Views
Asheri Mwaipopo ni mtangazaji wa TBC na amefunga Ndoa takatifu na Godliver David Yanga kwenye Kanisa la Baptist Kolosai huko Wilayani Tunduma Mkoani Songwe
3 Reactions
39 Replies
5K Views
  • Redirect
Namtakia la kheri n a shuhuli yake BIla kusahau kukujuza dada dini yetu hio saaaayoyote mnaagana Usijisahau sana kwa kijana nàe ana moyo Else nawatakia heri wote
1 Reactions
Replies
Views
Mrembo wa dunia na mwenza wake kuelekea Maldives kwa ajili ya fungate Mwezi mmoja gharama ya fungate inakaribia TZS 300m. Pole Chibu
7 Reactions
82 Replies
3K Views
Kwa kizazi cha nyuma kidogo na kizazi cha hip hop nadhan washasikia sana habari za wanamuziki hawa wawili Tupac Na Biggie au B.I.G kuanzia Urafiki wao na baadaye Uhasama uliopelekea Vifo vyao...
17 Reactions
101 Replies
24K Views
Mtoto maarufu na asiyekaukiwa na matukio mjini, wa mastaa wawili wa Bongo industry, kajala masanja na P Funk Majani, aitwae Paula ameamua kuonesha wazi mapenzi yake kwa msanii pendwa na mwenye hit...
14 Reactions
91 Replies
11K Views
Mwigizaji, Hamisa Mobetto, amtambulisha mpenzi wake Stephane Aziz Ki, mchezaji wa soka wa klabu ya Yanga SC. Mobetto ameachia picha na video akiwa pamoja na MVP wa Ligi ya NBC msimu wa 2023/24...
14 Reactions
153 Replies
6K Views
Mwanamuziki kutoka lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platinum ,Rayvann hatimaye afanikiwa kuibuka kidedea kwenye tuzo ya BET kipengele cha Best New international act Hongera sana kijana...
32 Reactions
141 Replies
19K Views
msomi wa Phd anaandika kujizibiti na hajashtuka zaidi ya masaa 8,na hii sio typing error, anazidiwa kabisa na mtoto wa shule ya msingi
2 Reactions
71 Replies
16K Views
DOGO JANJA Awajibu Wanaomsema Yeye Na IRENE UWOYA Awaambia "SUNNA YA MTUME"
1 Reactions
90 Replies
18K Views
MAKALA hii imeandaliwa na Kaka MWAFRIKA Alizaliwa kwa majina ya Amri Athuman mnamo 1948 Mkoani Tanga, TANZANIA. Alisoma shule ya Msambweni iliyoko,mkoani TANGA Alianza kuigiza akiwa na umri...
2 Reactions
4 Replies
302 Views
Muigizaji Hamisa na mchezaji wa soka Aziz Ki kufunga ndoa mwaka huu, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili ya video wakila bata Dubai, wakitumia hashtag #MissaKi2025. Hili linakuja wiki...
10 Reactions
111 Replies
5K Views
Wakuu, Kwa ujumbe tutegemee kuwa na harusi ya taifa hivi karibuni. Diamond kafa kaoza kwa Zuchu, huu hapa ujumbe wake kwa mpenzi wake katika siku hii ya Wapendanao
7 Reactions
36 Replies
1K Views
Kajala alipoanza mahusiano na Pfunk Majani, Pfunk aliyumba sana akapigwa bao na kina masterJ, Mikamwamba na wengine wengi, wakongwe wenzangu mnawakumbuka. Kajala akafunga ndoa, mume akafungwa...
44 Reactions
192 Replies
15K Views
Mtandao umemfananishwa Elon Musk na Nick Cannon baada ya kufichuka kuwa amepata mtoto na mwanaharakati wa mrengo wa kulia mwenye umri wa miaka 27, na kufanya idadi ya watoto wake kufikia 13 kutoka...
2 Reactions
6 Replies
418 Views
Ushauri tu kwa mwanamuziki Marioo awe anaacha kuvaa miwani meusi kwenye video zake kwa sehemu kubwa. Diamond tulimjua haraka huku vijijini mwanzoni aliimba kavukavu. Zuchu pia hata watoto wa miaka...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Redirect
Watu wanauliza Hamisa kapiga pigaje hapo? Anafanikiwa kwenye Kila jambo analofanya. Biashara zake zinaingiza mamilioni. Ana invest kwenye projects za mamilioni. Hadi Rais anamfahamu...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom