Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kinje kama kinje kaongea Akiongea na Radio moja pale SA Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya...
30 Reactions
210 Replies
6K Views
Nimeamini mwanamke anaumia sana kuachwa na mwana anayempenda 😄 Kama mnavyojua Drake ni muhuni afu mwana, Serena Williams alimtongoza mwana akamwaga tui la nazi kisha akapiga chini ilimuuma sana...
8 Reactions
72 Replies
3K Views
Wajuvu na wataalamu wa DNA kwa kutumia macho mnakubaliana na hawa wahuni?? Mwenye picha ya Jux atuwekee tufanye comparison Uzi tayari
3 Reactions
18 Replies
923 Views
Wakati wa kutoa pole kwa wafiwa mwanahabari mkongwe, Maulid Kitenge ametoa salamu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wasafi Media bwana Diamond Platnumz ambaye yupo Zimbabwe ambaye msiba umemkuta akiwa...
21 Reactions
111 Replies
8K Views
Ee bhana eeh huu mwaka umeanza na mbio sana. Huu mwaka utaisha haraka maana si kwa raha hizi!! Ukiangalia mbele raha nyuma raha pembeni raha!! Ni raha juu ya raha!! Baada ya jux kufunga ndoa, na...
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Kwa mnao fuatilia bongo fleva toka kitambo nadhani mtakuwa mnamkumbuka sana huyu jamaa. Haroun Rashid Juma Kahena.Almaarufu kama Inspector Haroun aliteka sana soko la muziki wa Bongo fleva miaka...
7 Reactions
229 Replies
34K Views
Masterplan ya Tanga kuitawala Bongo Flava, ilianza kwa kutambulisha silaha yao ya maangamizi "Matonya", ambaye kinyonge, alilia “Uaminifu” akimshirikisha Bwana Misosi. Jamhuri yote ya Bongo Flava...
8 Reactions
41 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Karibu kwenye kipengele hiki kizito cha upi wimbo ulio bora na umefanya vizuri kwa wasanii wetu wa kurap Tanzania. Piga kura ili tumpate mshindi. Tuzo za Tanzania huwa zinalalamikkiwa kwa kukosa...
2 Reactions
15 Replies
666 Views
Huyu kijana ambaye amekuwa maarufu kwa kipaji chake cha uimbaji nilifurahi kumwona BSS kama mmoja wa washiriki. Hata hivyo nilistuka kupata taarifa kuwa hayupo tena BSS na sikujua sababu ni nini...
3 Reactions
17 Replies
986 Views
Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa...
32 Reactions
416 Replies
11K Views
Juzi nilikuwa live kufuatilia utoaji wa tuzo za grammy uko kwa beberu trump Matukio mengi yalienda sawa kabla ya bwana Ye kuingia na demu wake redcarpet akiwa uchi ad wakatimuliwa Ila tukio la...
6 Reactions
9 Replies
561 Views
Wakuu, Kiongozi wa Mabachelor Tanzania, Juma Jux nae rasmi ameingia ndoani. Kataa ndoa mmepoteza moja ya makamanda wenu watiifu katika kambi yenu. Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio...
18 Reactions
74 Replies
3K Views
Rapa kutoka New York Marekani 50 Cent ameendelea kuwashushia zigo la lawama familia ya Jay Z kwa kile anachodai haiwatendei haki wasanii wengine kutokana na nafasi ambayo familia hio inayo kwenye...
7 Reactions
22 Replies
819 Views
ninayoandika hapa simsingizii mtu bali natoa habari zangu kwenye vyanzo vya uhakika. sasa hivi mc pilipili ana trend baada ya kutangaza kuachana na mwanamke wake na kwenda mbali zaidi kusema ana...
23 Reactions
211 Replies
7K Views
Tujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani. Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya...
31 Reactions
810 Replies
131K Views
Ben Kiko kuna kipindi alinifanya nisipende kumiss kipindi cha MAJIRA cha RTD enzi hizo hasa akiwa stesheni ya Dodoma na kisha akahamia Tabora. Taarifa zake zilikuwa na misisimko sana hata watu...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Mkurugenzi wa vipindi Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amefariki dunia usiku huu Februari, 26 akipatiwa matibabu nchini Afrika Kusini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe...
113 Reactions
4K Replies
619K Views
Celebrities matajiri kwa ngazi za mikoa. Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani. Wahindi na...
24 Reactions
284 Replies
28K Views
Wakuu, Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini? Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho...
16 Reactions
97 Replies
3K Views
Unakubaliana na Kanye West ? You know who hates black people the most black people you know who kills the most black people black people
1 Reactions
12 Replies
500 Views
Back
Top Bottom