Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mchekeshaji na mtengeneza maudhui wa mitandaoni Mtanzania Zero Brainer ameshinda tuzo ya "Sports Creator of the Year TikTok Awards 2024" katika tuzo zilizofanyika usiku wa kuamkia leo Februari 9...
0 Reactions
0 Replies
360 Views
Hii ni Convoy ya Super Megarstar, Diamond Platnumz na Zuchu akitua Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam, wakati wakielekea kwenye show kwa mashemeji zetu nchini Kenya.
5 Reactions
119 Replies
6K Views
Wengi ni baada ya kuvutiwa na Sugu Prof jay Na sasa Mwana FA Ay - isimani Fid Q - Nyamagana Madee - ubungo Japhet zabron - kahama
10 Reactions
76 Replies
3K Views
Sina tabia ya kujadili ishu za mahusiano hapa jukwaani lakini nimeona niongee kidogo na Zuchu. Zuchu unatakiwa kufahamu ukiingia kwenye mahusiano na Diamond tayari upo vitani. Najua sasa hivi...
7 Reactions
35 Replies
2K Views
tanzaniiiiiia hakuna mrembo kama wewe.... ni moja ya vibao vyake mwororrrro kabisa. yuko wapi siku hizi.
0 Reactions
106 Replies
30K Views
Wanazengo ngoja na Mimi Leo ni jaribu kuwapa umbea wa code sijui ntaweza mbea Mimi🤣🤣 , haya twende Sasa Yule boss mfupi mwenye kumiliki redio flani hivi inayokuja kwa kasi, inasemekana yupo...
48 Reactions
2K Replies
333K Views
Dogo Diamond Platinumz ametisha sana kwenye Sikukuu ya Kuzaliwa CCM Atafutiwe Cheo hapo CCM au Kwa ufupi tu awe Mkuu wa Mkoa wa DSM Au mnasemaje ndugu zangu? 😂
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Umofia Kwenu wana JF,kwanza nawapenda kuwatakia heri ya mwaka mpya wa 2014 Kuna jamaa mtajwa hapo juu alitikisa sana miaka ya 2007-2008 kwa utajiri wa hajabu,lakini nikaja kusikia kama alikamatwa...
0 Reactions
44 Replies
17K Views
Milard Ayo amekuja vizuri sana kwenye tasnia ya habari amekua kioo kwa baadhi ya vijana wanaotaka kuanzisha chombo kama cha kwake. Huyu dogo amekuwa kero sana hasa kwa mambo yasio na faida kwa...
14 Reactions
82 Replies
10K Views
Mkitoka kuswali ndugu zangu mje mtueleze Mola gani anayemuomba kijana wenu
2 Reactions
2 Replies
310 Views
Baada ya kuachana na Diamond Platnumz, Peniel Mwingila aka Vj Penny ameendelea mbele na maisha yake, lakini amekanusha kuwa na mpenzi mpya kama ambavyo wengi wamekuwa wakidhani hasa wanapomuona...
0 Reactions
67 Replies
18K Views
They both own Fashion Lables.....Mange akiwa na BONGOLICIOUS brand na Kisa akitusua na KIKI's FASHION brand... Swali kwa Fashionistaz.......Nani Mkali Wa Designs....?? And who is more...
1 Reactions
94 Replies
32K Views
Mwigizaji Li Lianjie 'Jet Li' amewaacha mashabiki wake midomo wazi baada ya kufunguka kuwa amemkabidhi mke wake Nina Li Chi utajiri na fedha zake zote. Mwigizaji huyo mwenye utajiri unaokadiliwa...
8 Reactions
101 Replies
2K Views
Producer maarufu duniani Irv Gotti amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 54. Chanzo cha kifo chake bado hakijatajwa huku ripoti za awali zikisema mwaka jana alipata tatizo la kupooza kwa muda...
2 Reactions
18 Replies
694 Views
Wakuu Chawa kazini kama kawaida yao tazama Baba Levo alivyomshikisha Alikiba bango la Rais Samia, na kumgeuza Mashine ya kumpamba Samia.
2 Reactions
8 Replies
629 Views
Mwanamuziki wa kizazi kipya, Harmonize afunguka kuhusu mkataba alioingia na WCB amesema alikuwa akipewa 40% ya mapato yoyote anayoingiza na WCB kuchukua 60% ameamua kuelezea hayo yote kutokana na...
46 Reactions
1K Replies
119K Views
Mwamba amezoa tuzo Tano (5) kwa nyimbo Moja tu "Not like us" najiuliza je angekua katoa album kabisa ingekuaje? Ndipo napata jibu kuwa "Kendrick Lamar angewahi kutoa album ya GNX miezi ya mapema...
0 Reactions
10 Replies
355 Views
Nimefatilia kwa undani mikiki anayopitia Konde Boy toka ajiengue WCB. Kiukweli hajashuka Kama tunavyolazimishwa tuamini. Kwanza official songs katoa UNO na KUSHOTO KULIA na zote zimefanya vyema...
27 Reactions
154 Replies
21K Views
Binafsi naona kijana nyimbo zake ndio ni nzuri ila tu kwa sasa zimekua na uzuri wa levo za kawaida tu, sio kama za yule harmonize tuliemjua wa kwangaru, firewaist, matatizo, n.k Kwa sasa kwanza...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari. Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa...
29 Reactions
99 Replies
4K Views
Back
Top Bottom