Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

5 Reactions
44 Replies
2K Views
Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
27 Reactions
420 Replies
25K Views
Hello. Nini kimetokea kwa msanii wa nyimbo za Gospel Good luck Gozbert amekuwa na ukimya mkubwa sana uliopitiliza na haieleweki umesababishwa na nini. Hakuna hits song Tena Wala kuvuma na nyimbo...
5 Reactions
54 Replies
3K Views
Mwamba huyu apa Bambo ni muigizaji mkongwe sana nchini Tanzania na hajawai kupoteza ubora kwenye kazi yake huyu mwamba achia msemo wake mmoja hapo ♥️🌺🍀
10 Reactions
48 Replies
2K Views
Wana JF, Mjue Mr. Daudi Kanyau mfanyabiashara ambaye alimtajirisha Shigongo na magazeti yake ya udaku. Awali ya yote, Kanyau alikuwa rafiki sana na mtoto wa Mwinyi (Abass). Basi kwenye biashara...
3 Reactions
56 Replies
17K Views
Mtume kanisani kwa nabii mkuu GeorDavie afichua ukweli ishu ya nyota na gari aliyochoma Goodluck Gozbert, kinachomtesa msanii huyo wa nyimbo za injili Pia, Soma: Masanja Mkandamizaji aililia...
6 Reactions
59 Replies
5K Views
Kisu kikali ni tafsida tu nikimanisha kisu kikali ni chochote alichonacho mwanaume kitakachomchanganya mwanamke either pesa, mahaba, six packs, dushe kubwa, kibamia, good sex, rough sex, etc etc...
1 Reactions
92 Replies
16K Views
Habari wanajamvi, kwa wale wahenga na wafuatiliaji wa habari za showbiz za miaka hiyo leo tukumbushie kidogo story zilizokua 'hot' kipindi hicho, magazeti ya udaku kama Kiu, Uwazi, Ijumaa na...
1 Reactions
30 Replies
714 Views
Hii ni thread maalum ya simulizi mbalimbali pamoja na visa, mikasa na vitimbi vya wasanii wa zamani wa bongo fleva. Stay tuned....
8 Reactions
45 Replies
2K Views
Hivi Huyo kijana wa Mwanza amechoma mercedes benz Kwann asingepeka kwa watumishi wakiliombea au akawapa msaada watumishi wa Mungu wa Huko vijijini angepata dhawabu Kitendo hicho kitakuwa na...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Bishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu..... "Nimeona story ya Kuchomoa gari!! ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!" Ameendelea kusema.... "Ombi langu kwa...
16 Reactions
113 Replies
5K Views
Zlatan Ibrahimovic ameonekana mitaa ya Jiji la Milan akiwa kwenye gari lake aina ya Ferrari SF90 Stradale, ambalo thamani yake inatajwa kuwa ni £400,000. Kiwango hicho cha fedha kwa thamani ya...
11 Reactions
76 Replies
5K Views
Habari. Nje na mahubiri na kujihusisha na injili je mchungaji Tonny kapola ana kitu gani kingine cha ziada maishani mwake. Lifestyle,muonekano wake na maisha yake mfano Gari lake Lile...
9 Reactions
51 Replies
4K Views
Huu wimbo ulikuwa una vibe kali sana enzi hizo lakini tuliishia kupenda tu namna wanavyo flow, mashairi yalitupa mtihani kuyaelewa. Verse 1: (Luteni Karama) Hili daruga Kichugachuga Ung'eng'e...
20 Reactions
38 Replies
2K Views
Leo katika pita pita zangu nimekutana na hii post ya Harmonize akiongelea mtu kutumia madawa ya kulevya na mtu huyu direct ni Dimond. Je kuna ukweli wowote au ni hasira za Harmonize kuambiwa...
16 Reactions
558 Replies
66K Views
Kimbal Musk ni mfanyabiashara, mwekezaji, na mfadhili maarufu wa Afrika Kusini-Marekani. Alizaliwa tarehe 20 Septemba 1972, huko Pretoria, Afrika Kusini. Ni mdogo wa Elon Musk, mwanzilishi wa...
6 Reactions
8 Replies
879 Views
1. Gara B achana na events za kujazana ujinga. Nyoosha kiingereza chako ingia dimba za kimataifa (level za Energy Summit). 2. Jifunze kwa moderators wa sessions za huu Mkutano. Kama kichwa si...
5 Reactions
13 Replies
843 Views
Copy and Pest from lemutuz PART 1 Safari yangu ya USA ulikua ni uamuzi wangu mgumu wa kuacha Ubaharia nikiwa Melini "MV. Luxemburg"ICMB Belgian Shipping Line tukiwa South China Sea tunatokea...
66 Reactions
2K Replies
514K Views
Vuguvugu la kujaribu kuisafisha Tanzania kutokana na kushamiri kwa madawa ya kulevya limefikia hatua nzuri na yakipee. Mh Mwakyembe amejitoa haswa kupambana na hawa watu wauza unga, moja kati ya...
5 Reactions
167 Replies
33K Views
Staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa mwezi ujao kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhan anamuoa Zuchu. Soma: Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na...
5 Reactions
50 Replies
2K Views
Back
Top Bottom