Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nasikia director mpya wa FBI ana asili ya Tanzania. Ndugu yetu kabisa🙂. Ni watu gani wengine maarufu wana asili ya Tanzania. 1. Freddie Mercury. Alikuwa muimbaji wa bendi ya muziki ya Queen...
7 Reactions
69 Replies
2K Views
Awali ya yote nitangulize angalizo kwa vijana ambao maturity stage imewakuta miaka hii ya mitandao ya kijamii. Itabidi msome kimyakimya huku mkiwa mmeshika peni na karatasi kuchukua notes. Huu...
158 Reactions
2K Replies
209K Views
Mwimbaji wa R&B Roberta Flack, anayejulikana zaidi kwa nyimbo "The First Time Ever I Saw Your Face" na "Killing Me Softly With His Song," ameafariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. "Tuna huzuni...
2 Reactions
7 Replies
563 Views
Wakuu, Hivi ndio kusema kwamba amezidiwa na mapenzi au ndo muziki unaanza kumtupa mkono? Simba aliachia Komasava Mei 2024 na tangu hapo hakuna project ya maana aliyoitoa. Ametoa ngoma 4 ambazo...
2 Reactions
20 Replies
528 Views
Wakuu Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025) Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe...
17 Reactions
364 Replies
9K Views
Huyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa. Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake...
38 Reactions
310 Replies
8K Views
Kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki wa Rhumba hasa kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, bila shaka utakuwa umewahi kumsikia sana ‘pedeshee’ Eric Mandala. Lakini je, unamjua huyo Mandala...
6 Reactions
79 Replies
4K Views
Mwimbaji wa Bongofleva na mwanachama wa JamiiForums, Haitham Kim amefariki dunia hospitali ya Temeke alipokuwa anapatiwa matibabu. Meneja wake amethibitisha. Hivi karibuni Wasanii na Wadau...
25 Reactions
287 Replies
40K Views
Bi Khadija ndio msanii wangu pendwa wa muda wote, toka enzi za TOT tunavimba nae. Mwananyamala bi Khadija hana shida na mtu yeye ni mpole si chakaramu kama umuonavyo jukwaani alikuwa vizuri na...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Mke wa Ashraf Hakimi amempeleka mahakamani ili kupata talaka na alitaka Mahakama iwagawanyishe mali. Baada ya Talaka kufanikiwa na kukubaliana kugawana mali, ikagundulika kuwa Ashraf Hakimi...
126 Reactions
767 Replies
57K Views
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje? Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu...
9 Reactions
66 Replies
3K Views
Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong...
50 Reactions
362 Replies
10K Views
Mtoto wa kiume wa Vanesa Mdee (Vee Money). Shikamoo wee jamaa wewe mlamba lips
10 Reactions
82 Replies
5K Views
Wakuu Chawa wa Rais Samia, maarufu Mwijaku ameungana na baadhi ya Wananchi wa Muheza kupiga deki barabara akidai ni ishara ya upendo kwa Rais Soma, Pia: DC wa Ilala na Mwijaku wasema kampeni ya...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Unaacha wanawake kariba ya Zari unaenda kudeti na kuku wa kienyeji asiyemudu hata kulipa kodi ya chumba sebule Tabata. Mwanamke mjinga asiyejua kalenda zake,mwanamke unatoka nae bongo mpaka South...
8 Reactions
27 Replies
1K Views
1. Alpha Blondy alizaliwa Seydou Koné mnamo Januari 1, 1953 huko Dimbokro, Ivory Coast. 2. Anajulikana kama mmoja wa waanzilishi wa muziki wa reggae wa Kiafrika na amekuwa akifanya kazi katika...
19 Reactions
71 Replies
1K Views
Mbaya zaidi kashona had sale na Lokole
9 Reactions
100 Replies
3K Views
8.2.2025 pale kwa Tata Madiba, Zero Brainer alishinda TUZO ya mtengeneza maudhui bora ya michezo wa mwaka kutoka TIKTOK. Tuzo hii ililipa TAIFA la Tanzania heshima kubwa sana, alikuwa anashindana...
11 Reactions
49 Replies
897 Views
Wakuu Fundi wa ball ashavuta jiko Aziz Ki amekamilisha kiapo cha ndoa msikitini na rasmi ni mume wa Hamisa Mobetto. Soma, Pia Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30...
14 Reactions
131 Replies
4K Views
Wakuu, Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok. Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini...
8 Reactions
46 Replies
2K Views
Back
Top Bottom