Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habarini Wakuu, WCB is a really music classic group currently, ni kundi ambalo linafanya vizuri mpaka mtu unaogopa hata kuwadis wanamuziki wake kama si kuona aibu kuwaongelea...
10 Reactions
89 Replies
29K Views
Waimbaji wa nyimbo za Injili waendelea kuchafua tasnia ya nyimbo za Injili kwa kuharibikiwa kila kukicha hasa katika maswala ya ngono Tata Hivi karibuni tumesikia mwimbaji wa Injili Martha...
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Nawaambia walokole na watu wote mnaopata Sana mikosi Hakuna kitu kinarudisha nyuma Kama uzinzi . Dhambi ya uzinzi inaondoa kibali na unabaki kuwa mtu wa kawaida ambaye hauna impact yoyote...
16 Reactions
43 Replies
2K Views
Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake Tazama Video hizi...
18 Reactions
286 Replies
13K Views
Yes! No one saw it coming ..wafia dini wanasema eti ni bongo flavor. Hawasikilizi message. Hii hapa... Kaka Joel mimi binafsi nlikua sikujui, ila kuna siku nlikuta wimboo huu unapigwa mahali...
5 Reactions
63 Replies
3K Views
Moja ya shuhuda nzito za kufunga mwaka,ni shuhuda za msaanii wa muziki wa injili Beatrice Mwaipaja akionesha vita vikali alivyokabiliana navyo na huenda ataendelea kukabiliana navyo dhidi ya...
5 Reactions
61 Replies
3K Views
Wakurugenzi wa Wasafi Media, Joseph Kusaga na Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ wanaripotiwa kukosa maelewano kati yao juu ya uendeshaji wa media hiyo inayomilikiwa na wawili hao. Chanzo ni TRA...
92 Reactions
474 Replies
33K Views
Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikisoma nyuzi nyingi za huyu kijana mzalendo na kupata moyo kwamba nchi bado ina vijana wazalendo. Komredi Lucas mwashambwa bila kuchoka amekuwa akishusha...
13 Reactions
81 Replies
5K Views
Msanii wa kimataifa Diamond Platnumz akifanyiwa mahojiano na kituo Cha habari cha DW Swahili nchini Germany amejibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na mwanahabari Moja Kati ya swali ni kuhusu tuhuma...
86 Reactions
204 Replies
16K Views
Baada ya kupewa talaka kufuatia madai ya kuvunjika kwa ndoa yake na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Khamis...
8 Reactions
135 Replies
26K Views
Habari wakuu . Kwanza pole Sana Beatrice Mwaipaja na pole Sana Martha Mwaipaja . Naanza hivi Martha Mwaipaja , she was no body hakuwa chochote na ameishi maisha ya kawaida Sana muda mrefu ...
3 Reactions
11 Replies
958 Views
Katika pitapita huko mtaa wa pili nimekutana na hawa wapendanao tena mmmh kweli mapenzi yana nguvu kuliko breakdown. Wastara aliwahi kuwa na uhusiano na huyu Bond kabla hajamkimbia na kwenda...
3 Reactions
83 Replies
13K Views
Wadogo zangu Vera na Hamisa (wote wana miaka 20 ni wadogo zangu), hongereni kwa kujaribu kuimba, sio kwa ubaya ila hamjui kuimba dears, mziki mnaupenda ila wenyewe hauwapendi. Sauti zenu...
54 Reactions
156 Replies
13K Views
"Sijafanya Birthdays Parties zangu kwa miaka Mitano sasa ila hii ya mwaka huu nimeifanya ili Kusheherekea Kwangu kuacha kabisa Kunywa Pombe kwa miezi Tisa tokea Mwezi January 2023" amesema...
8 Reactions
37 Replies
3K Views
Katika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi.... Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi...
30 Reactions
220 Replies
12K Views
Huwa nawashangaa hadi nimechoka kuwashangaa, nawashwa washwa kuwauliza...UNAPOINGIA CELEBRITIES FORUM UNAJUA NI NINI UNAKUJA KUSOMA? au huwa hamuelewi maana yake?kuna mtu huwa anawatag mje kusoma...
15 Reactions
63 Replies
6K Views
Huyu kaka atajuta!!! Usiombe viumbe wa Instagram wakakufungia mtaa ashukuru tu kinge kinawapiga chenga wanamchamba kiswahili, siku nyingine sijui kama atakubali kufanya kazi na wabongo... Kiki...
0 Reactions
51 Replies
10K Views
Woooiiiiii Erick nawe umekua kama mwanaume wa kinondoni, miaka minne na nusu unapiga tuuu unasuuza rungu tuuu, huyo dem wako hata cheo hapandi utadhani ni mtumishi wa umma kwenye hii serikali...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Na huwa anajua kumwaga chozi kweli kweli, shilawadu wanasema sio chozi la nchi hii..... Kama hiyo tetesi ni ya kweli itabidi tu arudi migombani akalishe ng'ombe vijana wa mjini wana kazi ya...
3 Reactions
140 Replies
20K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…