Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Pole wema itabidi tu urudi nyumbani kwa mama,make nyumbani ni nyumbani
5 Reactions
201 Replies
40K Views
Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa...
1 Reactions
41 Replies
13K Views
Ikiwa ni siku chache toka, Nuh Mziwanda aachie video ya wimbo ‘Jike Shupa’ ambayo inaelezea jinsi alivyoishi na ex wake Shilole, Shishi hajapendezwa nayo hasa kwakuwa imemlenga moja kwa moja...
6 Reactions
61 Replies
8K Views
Wakati bado tupo kwenye shamra shamra ile couple ya wendawazimu flani hivi amazing imeibuka kusikojulikana na kuanza kumwaga mchele kwenye kuku, koh koh koh majogoo na matetea wakaanza kudonoa...
2 Reactions
171 Replies
29K Views
"sometimes privacy has more blessings"
13 Reactions
144 Replies
30K Views
Msanii nyota wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, anatarajiwa kutumbuiza katika hafla ya ugawaji tuzo za Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) itakayofanyika Desemba 16 kama Headliner Pia, Soma...
2 Reactions
18 Replies
833 Views
Huwa sishangai wala kustushwa kabisa hata chembe ninaposikia msanii mmaekani mweusi kakutwa na kesi fulani. Maishani unapopanda kitu fulani tegemea kukivuna. Wamarekani weusi wengi sana...
3 Reactions
29 Replies
983 Views
"Hivi karibuni nimeumwa nusu nife, nimemshuhudia Mungu kwa macho yangu akinirejeshea uhai, hili ni funzo hata kupona kwangu bado nashangaa sijui imekuwaje. Kuanzia leo nafuta kila kitu kibaya...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Wadau,hii picha nimeingalia mara tano nakujikuta kana macho yangu yananiambia huyu ni gwiji la Fashiooonnn(kwa sauti ya Deo Kitama) Ali Remtulla...nimejikuta nashangazwa na hilo pozi lake mbaya...
10 Reactions
238 Replies
38K Views
https://www.instagram.com/reel/DDik26boAQ2/?igsh=aTVva3FldHozbmRw Najua wengine mnashangaa Rayvanny na Mwamposa wapi na wapi. Rayvanny ametoa album na kuna wimbo yupo na Mwamposa. Usiku alikuwa...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Jioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha...
6 Reactions
150 Replies
4K Views
Aisee sijajua kwanini harmonize hajaifanyia promo hii Collabo yake na huyu mganda ila kwangu naona ndio nyimbo yake Bora aliyoshirikishwa mwaka huu
0 Reactions
6 Replies
445 Views
Msanii wa muziki na Mtunzi wa wimbo wa 'Jambo Bwana' maarufu kama 'Hakuna Matata' kutoka Kenya Ted Kalanda Harrison amefariki Dunia Septemba 17, 2024 Taarifa ya kifo cha Msanii huyo...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Mwanamke aliyefungua mashtaka kuhusu wasanii maarufu Jay-Z na Sean "Diddy" Combs kumbaka alipokuwa na umri wa miaka 13 mwaka 2000, amefunguka kuwa sio nyuso zote anazikumbuka vizuri kwenye...
1 Reactions
6 Replies
532 Views
Msanii wa Bongo Records aitwae Daz Baba ambae alitoa nyimbo kali kama Nipe tano, umbo namba 8, wife nk. Alituletea album classic ya Elimu Dunia kinachosikitisha ni kwamba hajawai kufaidika na...
6 Reactions
20 Replies
3K Views
https://fb.watch/wsOtDrl5Cu/?mibextid=ff4enFATZKjxhjKN Msanii Mkongwe wa Muziki wa Rhumba Africa Mwana Mama Mbill Abel @mbilia.bel amewasili Tanzania kwaajili ya Tamasha la Bibi Titi Memorial...
10 Reactions
52 Replies
2K Views
Miaka kama minne iliyopita B-hits ilikuwa kati ya studio zilizokuwa zikitoa hits nyingi chini ya pancho latino mafia na hammy B. Mtakumbuka ngoma kama Bado nipo nipo - FA Dakika moja tu - FA ft AY...
4 Reactions
93 Replies
10K Views
Timu ya mawakili wa Lil Durk iliwasilisha ombi mahakamani, wakitaka rapa huyo apewe kifungo cha nyumbani. Timu hiyo ilitoa ofa ya dhamana yenye thamani ya $3.3 milioni (sawa na takriban Tsh...
1 Reactions
5 Replies
338 Views
Huyo mzungu ndiyo Dorotia mwenyewe, Kama uliwahi kusikia Ngoma ya Dorotia toka Kwa Jose Chameleon.Alikua Mpenzi wa Jose na walizaa mtoto mmoja aitwaye Ayla Mayanja Dr. Jose Chameleon aliivuruga...
11 Reactions
31 Replies
2K Views
Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka. Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake. Kwa bahati...
25 Reactions
122 Replies
8K Views
Back
Top Bottom