Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Naam Lupita nyong'o kutoka hapo juu tu paitwapo kenya ndiye mcheza filamu anayelipwa pesa nyingi zaidi kutokea upande huu wa East of afrika, na hakika hakuna anayeweza kupinga kua huyu dada anajua...
3 Reactions
104 Replies
13K Views
Huyu jamaa anamiliki utajiri wa zaidi ya dola milioni 5 sawa na bilioni 12 za kitanzania hapo akiwa na baba yake[emoji1313]
11 Reactions
58 Replies
9K Views
Wakuu naona Siku Hizi MC Pilipili naye Amekuwa Mchungaji Kama Alivyo Masanja Mkandamizaji, Ministry Yake Inaitwa Wonders Sunday Service, lipo Mbezi Beach Africana [emoji3][emoji3][emoji3]
9 Reactions
99 Replies
13K Views
Mabibi na Mabwana, msikilizeni Mr. Uchebe X Wake Shilole akiongea Kingereza. Kwa nini wanapenda kuongea Lugha ambayo Hawaiwezi?
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Exclusive kabisa Vanessa Mdee na Rotimi wapata mtoto wa kiume baada ya kuficha kwa miezi mingi. === Staa Vanessa Mdee na mchumba wake, Rotimi kupitia mitandao ya kijamii wa Instagram wameposti...
2 Reactions
50 Replies
10K Views
Ni Mwezi wa 6 Huu Tangu Rayvanny atangaze label yake ila hadi leo hakuna chochote kinachoendelea kwenye hiyo label Juzi kati ametubiga mkwara wa kutambulisha First born wa NLM hadi Leo holla...
2 Reactions
33 Replies
6K Views
Lavalava kitu kinachomkwamisha kutoendelea kimziki kwanza ana kaulimbukeni marafiki zake wanaomzunguka ni walamba midomo hawawezi kumshauri chochote zaidi ya mademu. Lavalava anatakiwa abadilike...
6 Reactions
28 Replies
5K Views
Ila wazeiaa dah mama J mkali wa kuchezea mike. Dah sio poaa Inabidi hawa madem zetu wakapewe somo na Mama J Jinsi ya kushika Koni na kuinyonyaa vile inavyo takiwaa. Asantee Mama J, leo ume Jua...
0 Reactions
1K Replies
209K Views
Mshindi wa tuzo ya Oscar kutoka Kenya Lupita Nyongo ametuma ujumbe wake katika mtandao wa Twitter akilalamika kufuatia hatua ya Jarida la Uingereza la Grazia kuhariri picha yake na kuufanya uso...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii...
11 Reactions
128 Replies
13K Views
Leo ni siku yako ya kuzaliwa na unaiadhimisha ukiwa jela kutokana na kupigania Uhuru wa Nchi yako. Mungu akupe maisha marefu
15 Reactions
63 Replies
5K Views
Naimani mko buheri marafiki, Naomba mwenye kuweza kuweka CV au taarifa za kina zitazofanya sisi wengine wa ukanda wa Afrika mashariki huku tumjue huyu bwana.Jamaa namfahamu kama msanii mwenye...
6 Reactions
45 Replies
7K Views
  • Closed
Wanabodi, msiba ni kuzika. Ninawaomba tukamzike mwenzetu, tukamzika vipi?kwa kushiriki ibada ya kumuaga pale kanisani Muhimbili saa 8 mchana. Je, tutaenda kuaga hivi hivi mikono mitupu hapana...
42 Reactions
186 Replies
34K Views
Makamba baada ya kuchemsha ndio sasa anagundua kumbe Tabata issue ni ya kijamii na si siasa, karudi ofisini kaagiza mahindi, maharagwe na tank la maji vipelekwe Tbt! How cheap!
1 Reactions
9 Replies
2K Views
DC wa Morogoro Albert Msando amesema anakatwa Tsh. Milioni 2.8 kila mwezi kutoka kwenye mshahara wake wa Tsh. Milioni 3.1 kama rejesho baada ya kukopa Benki kiasi cha Tsh. Milion 106 ili kujenga...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
COSOTA imesema wasanii watapata 70% na serikali itachukua 30% ya mirahaba itakayokusanywa kutoka kwenye vituo vya redio, TV na maeneo mengine yanayocheza nyimbo za wasanii kuanzia Desemba 2021...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Hivi unashabikiaje Konde Gang wakati wewe ni kabila tofauti na hilo Means hata kabila lako ulikubalii Then Me naona Jina Konde limekaa kikabila mno no swag at all Konde Gang ni special kwa...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Huku Meja kunta huku Tunda man Nani akitoa ngoma za Simba ngoma zake zinaenda sana mtaaani...?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
watanzania sasa wamekuwa na matumaini sana na wabunge wao kwa ujasiri waliounesha bungeni kwa kuweka maslahi ya taifa mbele bila ya kujari itikadi ya vyama,lakini ni jambo la kusikitisha kama...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…