Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hivi ni kwel ajali ndo ilikuwa chanzo cha kifo cha Princess Diana au Lady D? kuna mwandishi alishaileta habari kama hii hapa NILIPOSOMA makala katika gazeti RAI toleo la 689 yenye kichwa cha...
0 Reactions
124 Replies
70K Views
Zuchu ndani ya Yeezy. Amevaa boda boda mbili mguuni.
12 Reactions
123 Replies
13K Views
Wasafi wamezidi kuendelea kufanya usajili baada ya kuwasajili Kitenge, Edo Kumwembe na Ahmed Abdallah hawajaishia hapo baada hivi punde kumsajili mwanamama machachari na mwenye sauti ya kuvutia...
1 Reactions
37 Replies
14K Views
Maana nimecheck video ya wimbo wake mpya mle sidhani kama ndo sura yake kama sio makeup maana sio kujiweka vile, maana toka mwanzo najua the weekend ni mwimbaji flani hivi wa hip-hop music...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Omari Tambwe aka Lil Ommy kiukweli anacheza chini ya kiwango sana. Show za mchana zina taka presenter mwenye swaga ..mjanja mjanja. Omari siyo mbunifu.. Hajui hata kuvaa.. Anavaa utadhani yupo...
6 Reactions
69 Replies
8K Views
Prof Jay Ndani ya Microsoft kwa Gates Hapa akichukua mikoba toka kwenye makaburi ya BRUCE and BRANDON LEE Hapa akiperform and chilling with Seatle fans
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Kila mtu ana kipawa, talanta na kipaji chake , lakini kati ya hivyo vitatu kimoja ndio hujitokeza zaidi na kwa baadhi viwili ndio huonekana zaidi Talanta na kipawa hivi viko kiroho na kiimani...
33 Reactions
103 Replies
10K Views
Rayvanny, Vannboy aka chuiii, toka label nambari moja East and Central Africa ya WCB wasafi, kupitia account yake ya Instagram amemuomba msamaha Kajala.... Kwa tukio lililotokea hivi karibuni la...
10 Reactions
101 Replies
11K Views
Unaikumbuka Tears of the Sun na mtaalam Bruce willis, Cole na wakali wengine vipi kuhusu Olympus has follen 🙂🙂, Equalizer je? haya basi huyu hapa mwamba aliyeproducer na ku direct hyo mizigo...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Napenda kuanza kwa kuwapa hongera wasanii wetu kwa kazi nzuri inayoonekana . Hakika juhudi inalipa. Katika utoaji wa tuzo hizo za AFRIMMA jana usiku wasanii Diamond, Nandi na Zuchu wamechukua...
15 Reactions
55 Replies
7K Views
Wakuu kwema? Poleni na majukumu. Hivi kati ya Fireboy Na Joe Boy nani hatari zaidi kwenye muziki wa Afrika na Nigeria kwa ujumla. Nani anaflow nzuri zaidi,Lyrics kali,hits n.k. Fireboy vs Joe Boy
3 Reactions
15 Replies
3K Views
March 11 ndio siku ambayo msanii na CEO wa lebo ya KONDE gang music atamtambulisha mwanadada Anjella kama msanii mpya kwenye lebo hiyo, kwa utambulisho huo jumla wa wanamuziki ambao wapo chini ya...
8 Reactions
99 Replies
14K Views
Kupitia kituo cha ITV Leo tamthilia ya Isidingo the need imefikia tamati, kwa kumbukumbu sikumbuki ilianza lini hasa ninachokumbuka ni kitambo sana enzi hizo nyumba zenye televisions zilikuwa...
19 Reactions
101 Replies
12K Views
Mcheza filamu wa Bongo, Aunt Ezekiel, ambaye amekumbwa na kashfa ya kuwatumia email za mapenzi wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania, ameibuka na kuelezea ukweli kuhusu sakata la email hizo...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Siku kama ya Leo miaka kadhaa uko nyuma alizaliwa mfalme wa HIP HOP TANZANIA NIKKI MBISHI namtakakia heri katika siku yake hii Mungu ambariki. Ametamba na VIBAO kama Playboy , Sauti ya Jogoo...
4 Reactions
56 Replies
5K Views
Msanii mkali kama anavyojiita TID mnyama ,ameweka wazi kiasi alicholipwa kwenye movie mahiri miaka ya nyuma "Girlfriend" 'Walinilipa laki 5 kwenye movie ,ni pesa nyingi kwa kweli wakati huo...
11 Reactions
76 Replies
9K Views
Aman iwe juu yenu wakuu Kuna vijana wawili wakali kutoga Lagos KIIS Daniel na korede bello hawa wasanii wote ni wakali Wa na saut zao huwa ni noma sana Je nan ni mkali kuliko mwenzake Je...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Najua niwachache sana wanaomfahamu huyu jamaa nimefatilia mda mrefu alinikosha zaidi alipoandika nyimbo zake ambazo ni Tabia na mitihani kiukweli jamaa anaandika sana nashindwa kuelewa ni mziki wa...
0 Reactions
35 Replies
8K Views
Kwanza kabla hata sijasahau, hivi huyu msanii wa insta ameshamaliza kukarabati choo huko kijijini kwao? Maana kanavyojifanya kujitunisha hapa mjini wakati kujenga tu choo cha kisasa ameshindwa...
12 Reactions
105 Replies
14K Views
Back
Top Bottom