Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Jamani maoni yenu kuhusu hili dude, naliona. Lina matusi mno Haifai kwa watoto Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
4 Reactions
184 Replies
55K Views
Huu mzima? Kijana ambaye huonekana karibu sana na @rayvanny na mara nyingine huonekana akimpiga picha erismzava ameeleza ukaribu wake na Rayvanny na kueleza nafasi yake kwa @rayvanny na pia...
4 Reactions
51 Replies
6K Views
Kuna jina linatrend sana Instagram na YouTube CHIKUMBALAGA, huyu mwenye akaunt hiyo anajua kabisa Si uungwana kabisa kumrekodi Chikumbalaga na kumtumia kupata pesa wakati ukijua ni mgonjwa...
15 Reactions
79 Replies
10K Views
Soma hapa maelezo ya huyu mama eti ameact kama mzazi kumlimda mwanae Sent from my vivo 1820 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Naamini sasa hizi dini mwenye pesa haambiwi kitu, yani kuna muda huwa hata natamani kuslim maana hawa wenzetu wanazingatia sana maadili ya mwanamke hasa kwenye mavazi , hebu angalia hiyo picha...
19 Reactions
95 Replies
11K Views
Wazee wenzangu tumepata binti mwenye sauti real. Huyu Ajella nimefuatilia alivyokuwa akiimba cover na single yake aliyoitoa juzi. Kweli huyu binti sauti yake ipo vizuri. Mimi ninamsihi aendelee...
12 Reactions
27 Replies
5K Views
Wasanii maarufu wa Nigeria Burna Boy na Wizkid wameshinda tuzo za Grammy za mwaka huu wa 2021. Burna Boy ameshinda tuzo ya kipengele cha kuwa na Albamu bora ya muziki wakati Wizkid ameshinda...
5 Reactions
41 Replies
5K Views
Huyu Burna boy ninani? Au ndio huyo huyo Mr flavor? Mbona wanafanana?
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna uwezekano mkubwa bi Sandra kuwa ndiye anayechochea suala la udini ndani ya wasafi. Huwezi kuamini yani ,kisa Rayvan mkristo bi Sandra kaamua kumkataa kimtindo kwa kutomfollow ,na ukichunguza...
9 Reactions
75 Replies
9K Views
Nimemsikia Joseph Kusaga kwenye mahojiano fulani siku chache baada ya kifo cha Ruge, akisema sasa ataingia full na kutekeleza majukumu ya kuiongoza team ya CMG kama alivyokuwa akifanya Ruge Kauli...
12 Reactions
98 Replies
28K Views
Hey fellas, can someone explore or explain as why Breezy has interests in tech issues, stuff like parallel universe as portrayed in Instagram posts. From his collabo with Justin beiber in NEXT...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Huyu kijana kwa sasa ni mtayarishaji wa mziki ambaye ana run kwa sasa. Anajua na mziki wake unabadirika badirika. Baadhi ya ngoma alizogonga ni Solo - OMG Ona - Lulu Diva ft Rich Mavoko...
1 Reactions
65 Replies
14K Views
Mchekeshaji maarufu nchini Kenya Eric Omondi amekamatwa dakika chache zilizopita kwa kosa la kusambaza 'maudhui chafu' kwenye mitandao ya kijamii. Eric, ambaye awali, alikuwa amepewa onyo kali na...
3 Reactions
53 Replies
6K Views
Habari, Mvumbuzi wa kanda za kaseti Mholanzi, Lou Ottens amefariki wiki hii akiwa na umri wa miaka 94. Mabilioni ya kaseti zimeuzwa duniani tangu zilipobuniwa miaka ya 1960 Mtoto wa kike wa...
6 Reactions
61 Replies
5K Views
Kuna Mtu Mmoja mpo nae sana huko Serikalini na katika ile Ofisi yako nyingine ya UNOKO UMBEA pale Oysterbay mkabala na St. Peter's Church aliwahi kuniambia kuwa una Dharau na Kujisikia sana...
13 Reactions
114 Replies
9K Views
Jennifer Lopez Avalishwa Petei ya Dola mil 1 sawa na bilion zaidi ya 2 tshs na Mchumba Wake....., Hii Sasa ni mara ya Tano Kuvalishwa pete Tena na Wanaume Tofauti Cris Judd aliyekuwa dansa wake...
1 Reactions
62 Replies
9K Views
Hali ya Nandy kwenye muziki sio nzuri kwa kweli anahitaji sana support yetu. Haya mambo ya kushika keyboard na kumpa sifa za uongo hatumsaidii tumwambie ukweli graph yake inazidi kwenda chini siku...
27 Reactions
204 Replies
20K Views
Minneapolis, Minessota imekubali kuilipa familia ya marehemu George Floyd Dollar million 27 sawa na billioni 62 za kitanzania kama fidia ya mauaji ya George Floyd mikononi mwa polisi. Familia ya...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa ya Twiga wao wanamwita Tanzanian Sweetheart (japokuwa binafsi huwa sioni urembo wake). Binafsi yeye amesema kuwa ametimiza miaka 30 Ila wadaku wa mambo wanakuambia...
7 Reactions
63 Replies
13K Views
Habarini wanajamvi,kiukweli huyu Nandy currently Hamna kitu maana anaforce kunya kwa tembo na mwisho anapasuka...... Aliona Waah ya The African G O.A.T DIAMOND PLATINUMZ imevunja record ya Africa...
17 Reactions
159 Replies
16K Views
Back
Top Bottom