Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Aliyekuwa mshambuliaji nyota wa vilabu vya AC Milan, Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil Robinho, amehukumiwa kufungwa miaka 9 jela na mahakama ya rufaa ya nchini Italia, baada ya kukutwa na...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Mkali wa ‘Hot Boy’ Bobby Shmurda amehukumiwa kwenda jela miaka 7. Mwezi uliopita, Bobby alikubali mashataka yaliyokuwa yanamkabili ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, Japo alidai kuwa...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Priyanka Chopra(38) amesema yeye na mumewe Nick Jonas(28) bado hawana mtoto sababu yupo busy sana na kazi kutokana na mikataba aliyosaini hivyo inakuwa ngumu kwake kubeba mimba kwasasa lakini muda...
7 Reactions
61 Replies
8K Views
Dah ebhana sio poa. Naona King.kiba ameamua awe serious Sasa na mziki maana sio poa na hizi back to back songs Somebody is the one of the best song / best collabo of the month
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Getty ImagesCopyright: Getty Images Lady Gaga ametangaza donge nono kiasi cha dola za Marekani 500,000 kwa yeyote atakayewarejesha mbwa wake wawili baada ya mtu mmoja kuwaiba na kumpiga risasi mtu...
1 Reactions
1 Replies
910 Views
Sources: Most Influential Young Tanzanians
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Jennifer Gates, 24, is the eldest daughter of the billionaire philanthropists Bill and Melinda Gates She has two younger siblings, Rory and Phoebe. While their father might be famous for...
8 Reactions
73 Replies
7K Views
Yuulee star maarufu wa huko USA ambae umaarufu wake umetokana na sababu nyingi zikiwemo zile neema kubwa kubwa ametia nia mbele ya korti za Taifa hilo nambari moko akidai talaka kwa rapa mashuhuri...
2 Reactions
54 Replies
8K Views
Kuna mtangazaji,..wa abud fm nimemsikiliza kwa umakini mnoo ila nimeshindwa kumuelewa Ni DULA wa East Africa radio au sauti zinafanana tu...mwenye uelewa wa hili Jambo anijuze..
0 Reactions
80 Replies
13K Views
Msanii mkubwa kutoka Nigeria Mr Flavour amefunga mengi wakati anahojiwa na moja ya media kubwa ya Nigeria hapo Jana. Mr flavour amevilaumu vyombo vya vingi vya Nigeria kutosapoti vyakutosha sana...
21 Reactions
21 Replies
4K Views
Jamani huyu mwanamuziki yupo wapi kwa sasa, jamaa alikuwa na sauti nzuri sana enzi zake akiimba sambamba na Banza Stone pale TOT Plus. Mwenye taarifa alipo hivi sasa atujuze --- Waziri Sonyo ni...
0 Reactions
31 Replies
13K Views
Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena! sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu. Nimeona muda...
7 Reactions
65 Replies
6K Views
Sakata limetokea kwenye mitandao pendwa wa Instagram baada ya Bwana majizzo kupost mjengo mpya rasmi wa efm (piacha na maelezo ya majizzo pichani) Bibie lulu nae hakubaki nyuma akapost kumpongeza...
2 Reactions
195 Replies
18K Views
Akihojiwa kwenye kipindi cha "on point" kuhusu video ilisambaa akionekana binti akifanya mapenzi na kufanishwa na binti yake anaitwa Paula aliezaaa na msanii wa bongo movies, Kajala, Producer...
46 Reactions
175 Replies
43K Views
Tarehe 15.02. Ilikuwa ni happy birthday ya Birdman katimiza miaka 52. Tarehe 16.02 Ilikuwa happy birthday ya ICE T katimiza miaka 63. Emu wape neno hawa ma HipHopMogul uniambia ngoma gani...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Ile ndoa iliyosubiriwa sana na kusemewa maneno mengi hatimaye imefungwa. Lulu na Majizzo wameoana leo kanisa la mtakatifu Gasper na inasemekana wako Serena hotel hivi...
11 Reactions
130 Replies
23K Views
Alpha Blondy aliwahi kupewa jina la Bob Marley wa Afrika kutokana na umahiri wake katika muziki wa Reggae. Siku ya leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa ametimiza miaka 68 Baadhi ya...
11 Reactions
26 Replies
5K Views
Hakika dunia duara leo hii Mopao analetwa nchini na kupewa dili na mwanae? Tuheshimiane tu ndugu zangu dunia SI yetu
14 Reactions
75 Replies
13K Views
Hii bifu ilikuwa ya chini chini ila sasa inaenda kuwa kubwa sana baada ya Hamo kwenda kumfungulia Rayvanny kesi polisi. Hii scandal inayoendelea ni zuga tu ila watu wana bifu zao za kitambo...
11 Reactions
163 Replies
23K Views
Huu uzi, ni mfupi lakini ni ushindi mkubwa sana kwa ma Erudite wachache tuliobaki nchi hii. Otherwise tukiwachekeachekea hawa watu wanaoitwa mastaaa na wanasiasa kuna siku watakuja na mauongo...
4 Reactions
75 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…