Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano...
66 Reactions
493 Replies
30K Views
Jamani kama kuna mtu mwenye contacs zao hawa jamaa anirushie ni muhimu nawahitaji kwenye harusi yangu .
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Diamond ilitakiwa atulize kichwa katika uandishi wa mashairi, nchi za wenzetu wanapenda songs with content and well understandable lyrics, fluent language, Nasikitika sana kuona msanii wetu...
2 Reactions
6 Replies
660 Views
MC Gara B anasema ili aje afanye kazi nzuri kwenye sherehe yako basi ubaoni andaa Milioni 30. Kwako mwalimu kashasha…
4 Reactions
53 Replies
3K Views
Staa wa filamu na mfanyabiashara Hamisa Mobetto yupo Uwanja wa Azam Complex, aki-check mchezo wa Ligi Kuu kati ya Yanga na Tabora United kuanzia ulioanza saa 12:00 Jioni. Soma Pia: Yanga SC 0 -...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Hatimaye ugomvi wa ruge mutahaba na mh joseph mbilinyi(sugu) umekwisha baada ya kufanyika kwa vikao mbali mbali chini ya waziri wa habari ,chimbi na mbunge Tundu lisu source ni clouds fm Joseph...
2 Reactions
216 Replies
24K Views
Kwa uchungu mzito Zamaradi Mketema aomboleza msiba wa ghafla wa paka wake baada ya kushambuliwa na mbwa "Sijawahi kutegemea kama nitaumia hivi kwa kiumbe tofauti na mwanadamu, Paka wangu anaitwa...
9 Reactions
57 Replies
3K Views
Wakuu. Ni wazi kuwa tangu mwaka huu uanze Zuchu hana any solid projects kwenye catalogue. Nyimbo zote ambazo amekuwa akitoa, zinahit kidogo Tiktok, baada ya mwezi zinapotea. Hii taarifa yake...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Eti malegend, Ni kweli umaarufu na mvuto wa kukubalika wa Kanumba enzi za uhai wake huwezi linganisha na umaarufu wa Diamond, je ni kweli Kanumba alikuwa akikubalika sana na angekuwepo mpaka leo...
7 Reactions
77 Replies
2K Views
Zingatia swali "Je ni mwimbaji gani wa kike ambaye anaweza kupamabanishwa na "Whitney Houston"?" na akaleta upinzani mkali. Unachotakiwa kufanya: - Taja jina la Mwimbaji husika na wimbo wake japo...
8 Reactions
102 Replies
2K Views
Hii si habari nzuti kwa wale mabazazi wa mujini waliokuwa wanammendea Ivona watangazaji wa azam tv Ivona kamuntu na Ray nyamwihula kwa sasa ndio couple inayokimbiza kuanzia bongo na Africa kwa...
5 Reactions
43 Replies
18K Views
Dada/mama huyu amekuwa maarufu Sana kwenye mitandao ya kijamii Kama mfanyabiashara maarufu wa chakula na vinywaji, pia vipodozi. Wakati fulani alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana...
25 Reactions
885 Replies
147K Views
Avunja ndoa ya mkuu wa wilaya kwa kufanya mapenzi na mkewe Anafanya urafiki na mwenye mke kisha anamgeuzia kibao Source: Taifa Letu Mbunge wa ukoba vijijini ccm MH NAZIR KARAMAGI anatuhumiwa...
1 Reactions
48 Replies
14K Views
Salaam! Ndugu nawaletea ushuhuda wenye 100% ,mwaka jana katika pita pita za kutafuta maisha nikaamua nijiweke kwenye umeneja wa wanamziki ,nkazama mtaani nkaibua vipaji viwili ,ilikuwasapoti...
23 Reactions
76 Replies
4K Views
Kutokana na kwamba mwanangu Marquise hataka kuchukua biashara niliyompa yenye thamani ya almost $5 milioni, nimeamua kuacha kumpa $6700 ya matunzo ya kila mwezi. Nafikiri ni wakati mitaa...
23 Reactions
72 Replies
3K Views
Unajua hawa wasanii wanapokuwa celebrated na kuwa glorified inafika point wanajiona wao ni Mungu-mtu Sasa anadhani asipoenda kufanya show watakufa njaa?
4 Reactions
18 Replies
624 Views
WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho. Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance...
17 Reactions
162 Replies
5K Views
Hebu leo wanawake semeni nyie mnasukaje maana kila wiki mnaenda salon kusuka ila huyu Harmonize ni zaidi ya miezi 6 tangu asuke ila nywele zake zina ubora tofauti na nyie tatizo liko wapi...
7 Reactions
47 Replies
9K Views
Anaandika @stevenyerere2 “Nimekusikiliza mara 100 Sijakuelewa kabisa kabisa Kila saa Nasema hivi baada ya kutolewa baruti Simba Nani alikuokota Kitaaaaa Napata jibu Hers,.. Nikajiuliza Tena Hers...
6 Reactions
34 Replies
1K Views
Kuna chuo fulani huko majuu kimetoa list yake ya "The most beutiful women in the world" na list ya ndo hii...
14 Reactions
232 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…