Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Sote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama Kanumba katika sanaa ya maigizo. Samata katika sanaa ya mpira. Diamond katika sanaa ya mziki. Mbowe katika siasa Msanii Grace...
12 Reactions
160 Replies
8K Views
Check: ...Diamond aliendelea kuwajibika huku Wema akijaribu kumbembeleza Pesa alizokataa kuzichukua zikiwa zimetupwa
2 Reactions
197 Replies
33K Views
Diamond plutnumz amethubutu kusema kuwa ana ndoto ya kuwa tajiri namba moja Duniani, na Si Africa, Wala East Africa Wala Tanzania. Diamond anatengeneza pesa nyingi, lakini nadhani kwasababu ya...
43 Reactions
163 Replies
7K Views
Diddy ni nani na anatuhumiwa nini? Sean "Diddy" Combs kwenye hafla ya Met Gala ya 2017 huko New York 4 Oktoba 2024 Ni nguli wa muziki aliyefanikiwa sana, Sean "Diddy" Combs, lakini sasa...
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Davido, msanii maarufu wa Nigeria mwenye uraia pacha wa Marekani na Nigeria, amejikuta kikaangoni huko mitandaoni baada ya kushiriki zoezi la kupiga kura nchini Marekani na ku-share furaha yake...
5 Reactions
5 Replies
415 Views
Tofauti na mwanzoni alivyokuwa anavaa nguo nzuri sana na zinazomsitiri vema, hakika alikuwa anapendeza sana na nina uhakika ndicho kilichomuongezea umaarufu na kupendwa. Ila kwa sasa naona Nandy...
3 Reactions
4 Replies
589 Views
Mwanamuziki Rehema Chalamila maarufu kama ‘Ray C’ ameandika maneno yaliyowashangaza wengi huku yakiwaacha wengine vinywa wazi kwa ujumbe aliomwandikia Mkurugenzi wa Vipindi Clouds Media Ruge...
9 Reactions
42 Replies
11K Views
Quincy Jones amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 91. Alifariki usiku wa Jumapili nyumbani kwake Bel Air, Los Angeles, akiwa amezungukwa na familia yake. Quincy Jones alikuwa mtayarishaji...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimefuatilia sakata la Ney wa Mitego na BASATA toka limeanza sijaona kabisa Naibu Waziri akiwa na msada wowote kwa msanii husika. Nini shida, sheria gani aliyovuja Ney kwa wimbo wake wake Nitasema?
3 Reactions
52 Replies
1K Views
Mwili wa msanii, Grace Mapunda maarufu 'Tesa' umeagwa bila jeneza lake kufunuliwa. Huo ulikuwa ni utaratibu wa familia ambao ulitangaza kutofunua jeneza lenye mwili wa muigizaji huyo. Taarifa...
1 Reactions
2 Replies
592 Views
Najua huyu mnyarwanda Israel Mbonyi anapendwa sana na mashabiki wake na kama mnavyojua mapenzi upofu. Ila sio mzuri kwenye kuimba live ameshindwa kabisa kuonesha uwezo kwenye show yake mlimani...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Mega hitsong ya Juma Nature ni inaniuma sana. Kwenye ule wimbo nature ameelezea mapenzi yake na mwanamama Sinta. Kuna mstari anasema alikuja kwangu usiku. Usiku huo anaozungumzia Nature ni...
14 Reactions
106 Replies
6K Views
Prodyuza nguli na mtu wa muziki Bob Maneke ametuma ombi maalum kupitia Instagram akimuomba GOAT wa live shows za bongofleva Mbosso. Maneke akiwakilisha kilio cha watu wa muziki cha muda mrefu...
1 Reactions
24 Replies
831 Views
Msanii Mario na Abba meneja wake, mara baada ya kujichukulia fedha kwa njia ya utapeli wameukana mkataba huu wa makubaliano na Kismaty Media.
1 Reactions
8 Replies
692 Views
-Tupac Amaru Shakur, Yote aliyoyafanya ikumbukwe kuwa alifariki akiwa na miaka 25 tuu😃 -Michael Jackson akiwa na miaka 24 aliunda Album ya Thriller ambayo ndo albamu bora zaidi kwenye historia ya...
8 Reactions
51 Replies
1K Views
Serkali ipige marufuku wasanii hasa waislamu kuimba nyimbo zenye muelekeo wa kutunza sisi wakristo dini yenye idadi kubwa hapa nchini licha ya upole wetu (Vita yetu sio ya damu na nyama bali falme...
10 Reactions
73 Replies
4K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu Mm mpakwa mafuta wa Bwana nimeona niwashauri ili roho zenu zisiende jehanamu Mda huu mpka December mtubu kama unajua wewe n msanii January mpka March kama n...
4 Reactions
22 Replies
862 Views
Staa wa muziki Bongo, Diamond Platinumz leo amekutana na Ramadhani Kasawa maarufu Kama 'Mzee Makosa' ambaye alitamani Kukutana nae baada ya kutazama interview yake kwenye mitandao ya Kijamii...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Rasmi kampuni ya Adidas imetangaza kufikia makubaliano ya nje ya mahakama na rapper Ye kwa lengo la kumaliza mizozo yote ya kisheria iliyokuwepo baina yao. Kiongozi wa Adidas, Bjorn Gulden...
2 Reactions
13 Replies
892 Views
Rapa na Mfanyabiashara #YE na kampuni ya kuunda Mavazi ya #Adidas wanaripotiwa kufanya mazungumzo ya kurudisha ushirikiano ikiwa ni miezi michache tangu kuvunjika kwa mkataba wao baada ya Kanye...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…