Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Uongozi wa shirika letu pendwa siku ya leo wataongea na waandishi wa habari kuhusu yale yanayoendelea mitandaoni kuhusu hujuma zinazofanywa na baadhi ya watumishi kuruhusu uuzwaji wa ticket moja...
1 Reactions
92 Replies
15K Views
Hip hop hailipi kuna wimbo aliimba Madee miaka ya nyuma kidogo. Moja ya mistari mikali sana alichana kwa wana hip hop " wote wanaoshiriki bora waache wauze pipi, tucheki bongo fleva...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
"Bilnass hawezi kufanana na mimi, mara ya kwanza kusikia jina hilo nilijua ni mabasi mapya ya Mtwara. Hawezi kujiita staa wakati hata Kibaha hajulikani, yeye atulie tu kukiwa na 'birthday' za...
3 Reactions
14 Replies
37K Views
Nasikia kila siku wasanii wanapiga shoo ndio kipato wanachotegemea sana sasa nachojiuliza sijawahi kusikia kama hili jambo linaongelewa sana kuhusu wasanii wa bongo fleva kulipa kodi mana naona...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nadhani toka nchi ya Tanzania Imezaliwa mwaka 1961 hakujawahi kutokea album Kali ya Kundi la Hip hop Kama ile iliyokuwa na vichwa vitatu waliotengeneza Kundi linaitwa wachuja nafaka lakini pía...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kijana ameshaanza kukosa ubunifu nyimbo yake mpya ni sample ya beat ya bwana misosi mabinti wa kitanga
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Kuna kipindi Diamond aliwapa sana hamasa wasanii wenzake kujikita katika miradi ya biashara pale alipofanikiwa kupiga pesa ndefu alipopewa asilimia kadhaa ya biashara ya "diamond Karanga" yeye...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Alikiba ni msanii mkubwa sana ila sasa cha kushangaza nyimbo zake hazina lyrics kwenye platform kubwa kama app ya Musixmatch Mwana muziki yeyote duniani anayejielewa na kujua anafanya nini lazma...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Huyu dada nampenda sanaa ila historia yake siijui na kama anakashfa na scandel sijazisikia kwa wanaomjua vizuri hebu tupe habari zake ================ Taarifa zaidi na michango toka kwa...
5 Reactions
79 Replies
28K Views
Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...ila kwa sasa ameanza kulewa sifa.. 1. Amekuwa mvutaji wa sigara sana 2. Mtumiaji wa pombe sana 3. Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana...
8 Reactions
106 Replies
52K Views
Naamini mko piece,bien,wazima kabisa. Kwa walio wagonjwa poleni. Naomba tafadhalini sana kwa mwenya kuweza kunipatia namba ya simu ya mheshimiwa sana,mhenga Bibi Tabitha Siwale,nina shida nae. Asante.
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Staa kutoka kiwanda cha Nollywood , Regina Daniels , Ameshangaza ulimwengu kwa kitendo chake cha kuolewa na Mzee wa miaka 59 , huku yeye akiwa na miaka 18 tu ambayo alitimiza Mwaka jana october...
6 Reactions
107 Replies
17K Views
Hizi timu zitakuwa Kali Sana. Ni pale Harmonize atakapoamua kuitupa WCB na kuamua kujitegemea kimuziki, itakuwa patashika nguo kuchanika ukisingatia kuwa wore ni wakali wa Bongofleva na Mara...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Sitaki kuamini hii Ndo Mara ya kwanza young Dee anaingia USA, maana sio kwa kutupostia mpaka VISA , kweli ushamba mzigo , Sasa sijui Na huko kaenda kufanya show Au ndo baecation. Siku hizi naona...
12 Reactions
90 Replies
15K Views
Mm siyo shabiki wa huyu jamaa lakini mwenye hii ngoma salute sana kaua vibaya sana, huchoki kusikiliza. Akiendelea kutoa ngoma kama hii mfulululizo atakamata sana soko la mziki hapa bongo. Salute...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Steve Nyerere ameomba watu wasiwe na haraka kuhusu ratiba ya msiba wa mtoto PATI na atatoa ratiba nzima akifika Nairobi .Pumzika kwa amani mtoto Pati
6 Reactions
53 Replies
9K Views
Msanii nyota wa bongo fleva Vanessa Mdee wamewachana kituo Cha muziki Cha Muziki kwa kusema kimekuwa na upendeleo kwa muda mrefu kwa baadhi ya wasanii.Msanii Bilnass nae alimuunga mkono Vanessa...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Mzee konkii jaman katoa nyimbo mpya inaitw dude
0 Reactions
16 Replies
3K Views
1.Huanza kujikita kwenye dini. 2.Kujiweka karibu na washikaji. 3.Kupunguza kujidai (kujiona) 4.Kuongea vizuri na watu 5.Kutumia usafiri wa kawaida 6.Kuimba kama anaanza muziki 7.Kuwaponda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MWILI ni kitu muhimu sana kinachotakiwa kuthaminiwa na kila binadamu. Huwezi kuwa mtu kamili kama huna mwili, hata vitabu vya dini vinatufundisha kwamba mwili ni hekalu la Roho Mtakatifu hivyo...
0 Reactions
36 Replies
26K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…