Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nigerian musician Peter Okoye, popularly known as Mr P, has termed as “stupid” Diamond Platnumz’s allegations that Zari Hassan cheated on the Tanzanian artiste with him. Speaking on Nigeria’s...
7 Reactions
83 Replies
14K Views
According to trump “ wanawake watafanya kitu chochote unachotaka Kama ukiwa na pesa “ sigh agreement not my money
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Wakuu, Ila Kwa Story Nilizoziona na Zinaendelea Kusemwasemwa Hapa Mjini, Basi Mzee Mengi Atakuwa aliwadinya Sana Mabinti Wengi Wa Mjini [emoji187] Ila Kwa Hali Ya Sasa Imekuwa Tofauti, Vijana...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
What up, y'all. So it's 95, at the height of "West Coast v East Coast". Kimsingi ilikuwa Death Row v Bad Boy, Tupac v Biggie, Suge v Puffy, kwingineko ilikuwa all love (at least from the West...
0 Reactions
2 Replies
925 Views
Wanajamvi Aliyewahi kuwa Mshindi wa MAISHA PLUS anashikiliwa na Polisi wa Kituo cha Magomeni baada ya kuhusishwa na tukio la Mwanamke mmoja kukutwa amekufa kwa kutupwa Ghorofani katika moja ya...
3 Reactions
38 Replies
10K Views
Mwenzenu kaingia mazima huyoo Benpol and Anerlisa
7 Reactions
57 Replies
6K Views
Nampa bonge la support Ali kiba kwa kutofanya album review na hao presenters wa clouds fm. Hao jamaa ni mafisadi wakubwa kwenye game la mziki Tanzania na kutopeleka cd yake ni ujasiri...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimesikia kwamba mtangazaji Rehema Mwakangale kafariki dunia hii habari ina ukweli wowote?
0 Reactions
154 Replies
42K Views
Baada ya kuachana na mlimbwende Tunda sasa Mtangazaji Clouds TV, Casto Dickson amejikita kwa mtangazaji wa EATV, Suzie Benard ambaye kwa muda mrefu alikuwa mpweke hali iliyompelekea aanze kuongea...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku nzima. Bata mara moja...
57 Reactions
381 Replies
80K Views
Ijumaa hii kutoka rockstar Alikiba aliachia ngoma mpya iitwayo MBIO ikiwa sambamba na video yake... Usafini nako kutoka kwa Lavalava aliachia ngoma ijulikanayo kama HATUACHANI ikiwa ni audio...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Katika Ma comedian ambao wana kipaji cha kutisha, huyu jamaa ni namba moja , especially akiuvaa uhusika wa MAMA IMA, aiseh huwa navunjika mbavu kwa kweli , jamaa sijui anawazaga nini , yani...
7 Reactions
15 Replies
6K Views
Ikiwa ni siku mbili tu toka mwanamuziki Aly kiba atoe ngoma ya Mbio, ngoma hiyo kwa Mara ya kwanza imeshika namba 1 on trending
1 Reactions
37 Replies
5K Views
Kuna baadhi ya wasanii walitamka waziwazi na wengine kwa kificho kwamba aliekuwa mkuu wa vipindi na uzalishaji wa Clouds Media marehemu Ruge Mutahaba alikuwa kikwazo wao kushine na kupiga hatua...
9 Reactions
87 Replies
10K Views
Jamani nikimuangalia Lucy nakumbukaga tu lile balaa lake siku ya harusi na mzungu 🤣🤣🤣🤣. Wenyewe wameenda zao sijui mbudya wenyewe kuturusha roho wanazengo, wakapanda boti, shoga angu akawa busy...
5 Reactions
44 Replies
7K Views
Kumbe Pamoja na Umbufi ambao huyu jamaa alifanya kwenye historia ya Ottoman, kiasi cha juzi kusababisha vilio kwa wapenzi wa Tamthila inayogeza maisha yake ya Sultani inayorushwa AZAM TV, naona...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wiki kadhaa zimepita hamisa alikua na skendo ya kwenda kwa mganga, habari ikiwa ni kumloga mama dangote ili ampende na pia mzazi mwenzie wa pili diamond platinum ili amuoe na ampe nyumba kwani...
9 Reactions
426 Replies
38K Views
To be honest kuna watu mpaka wafe ndo utasikia flani alikuwa anajuwa sana kuimba. Akisha kufa sifa zake ndo zitasambaa mpaka utajiuliza walikuwa wapi kuaappreciate machango wake akiwa bado yupo...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Soulja Boy afungwa jela miezi nane, wezi nao wamtenda Rapa Soulja Boy amehukumiwa kifungo cha miezi nane jela na siku 265 za kufanya kazi za jamii kwa kosa la kuvunja masharti ya kipindi cha...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…