Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

1) Kapata forum mbele ya jeneza la mchaga, kuwashambulia wachaga kuwa ni wagumu sana kusaidia walemavu na wahitaji. 2) Kusambaa kwa video chafu ya ng'ono inayodaiwa ni ya hasimu wake mkuu Askofu...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Ndugu wanabodi kwanza nitangulize kuomba radhi kama nitakuwa nimemgusa mtu kwa namna moja au nyingine kwa maneno nitakayo yasema kuusu binti huyu Irene Uwoya Hivi karibuni binti huyu alifungua...
3 Reactions
155 Replies
16K Views
Achana na HUDDAH na VERA ambao they don't have any specific goals in life other than flying with emirate first class to dubai and around the globe wakishinda ku post pic and buying most expensive...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Mkuu wa mkoa wa Dar amerekodiwa akipewa mikono na baadhi ya wananchi sijui sehemu gani lakini kwa jinsi mazingira yalivyo ni maeneo ya Moshi, ukiangalia watu walioandaliwa kujifanya wanalia na...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mbali na matatajio ya wengi tulivyotarajia kuwa Gwajiboy angekiri kuwa ile kideo ilikuwa yake na pengine angeomba msamaha, ajiuzulu au kuelezea ilivuja vipi. Gwajiboy akachomoa kama walivyochomoa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kuna msemo wa kizungu usemao " Face is the mirror of mind" , kitu chochote kilicho ndani ya mioyo ya binadamu hudhihirika kupitia sura( macho). Ndio maana hata wana psychology na wapelelezi wengi...
8 Reactions
91 Replies
11K Views
The Golden Boy Oscar De La Hoya amtaka Errol Spence apande uzito ili amchallange Saul Arvarez (Canelo) .Oscar De La Hoya amesema mbona Mickey Garcia alikubali kupanda uzito ili apambane na yeye...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Prenup agreement ni kitu kizuri mno .its simple tunaoana kwa mapenzi pesa zangu Kabla ya ndoa haugusi .
3 Reactions
53 Replies
7K Views
Mume wa Flora Mbasha katikat ya mwaka huu baada ya kutifuana na mkewe alimnyoshea kidole Mchungaji Gwajima kuhusika na mkasa katika ndoa yake na mkewe Flora. Tuhuma nzito zilielekezwa kwa...
2 Reactions
58 Replies
13K Views
Huyu mama kimuonekano mtu akikuambia ana watoto watano unabisha.... anaonekana bado "binti mbichi" kabisa... Zari the bosslady ukimfananisha na mastaa wetu wa bongo ambao wana mtoto mmoja, wawili...
9 Reactions
80 Replies
23K Views
Aisee kipindi kilee Bashite ameshikiwa bango na Gwajima nilimuonea huruma sanaa japo nae yulee alikomaa maana anajikweza sanaa.. Yani Gwajiboy akaamua mpka kuprint matokeo ya Bashite akawagiwia...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Jee kuna jambo lolote ambalo umewahi kulishuhudia ama kulijua ambalo watu mashuhuri wa Tanzania wamewahi kulifanya kwa faida ya jamii? Enzi kina Mr Nice, TMK wanaume, Wema Sepetu na wengineo na...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Ndani ya muda mfupi kumekuwa na mchanganyiko wa matukio kadha na kadha, mara mc pili pili kawekwa ndani, hatujakaa sawa tupo kwenye simazi la kumpoteza tajiri na hii leo kumekua na kimbunga huko...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Nadhani mpaka sasa asilimia zaidi ya 50 ya watanzania washaiona video hiyo na zaidi ya asilimia themanini wameshasikia au kusimuliwa kuhusu tukio hilo. Mimi binafsi pia ni mmoja wa watu ambao...
12 Reactions
95 Replies
13K Views
Kiukweli alikiba amekua ni mfano wa kuigwa Tanzania, east africa na Africa kwa ujumla Zero scandal, zero disrespect of woman! Na anatoa nyimbo za nidhamu zenye ujumbe wa heshima na video kali...
10 Reactions
29 Replies
4K Views
Muigizaji Wema Sepetu ameonesha kuchukizwa na kitendo cha mchungaji kutaka kutumia jina lake kama sehemu ya kupata watu wengi watakao hudhuria ibadani kwake kwa kusema kuwa atamuombea. Wema...
5 Reactions
38 Replies
9K Views
Asante sana dada yetu kipenzi. Wajinga sie. Tusamehe haturudii tena. Asili >> https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1580679/
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Tusichukulie poa, mtanzania mwenzetu anapitia wakati mgumu. Asasi za kiraia pia zisaidie katika hili UPDATE: Ray C ametoa majibu kwa wale walioanza kumendea rambirambi zake...
9 Reactions
93 Replies
10K Views
"Nimekuita jamaa yangu kwani hali yangu kama unavyoiona. Rafiki zangu wote wamenikimbia, nimebaki na mama kama unavyoniona ila kumbuka nilikuwa mchezaji mkubwa, naomba jamii inisaidie. Maisha...
2 Reactions
12 Replies
7K Views
Mwanzoni mwa mwaka huu nilisafiri kwenda mkoani Mbeya na Songwe,katika pita pita zangu mara paap Diamond huyu hapa.
2 Reactions
26 Replies
6K Views
Back
Top Bottom