Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kwenu wadau hivi hivi hii style ya kujiangusha kutoka south Africa mmeipokeaje?? Nimeangalia hawa wanafunzi [emoji115] nikajiuliza tukiendelea hivihivi basi tutapokea mimba nyingi maana wanaana...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
uke uke ukeeeereweee,karibu kwetu ukereweee twala samaki mkia na kichwa ushindwe weweeeeeeee uke uke ukeeee ukereweeeee aisee vijana wa sasa hivi wana vipaji kwa kweliii
7 Reactions
39 Replies
4K Views
Hebu toa maoni yako maana mimi mwenyewe nimekutananyo huko YouTube
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Msanii Ali kiba amesema amepokea salamu kutoka wasafi na anashukuru kwa mwaliko japokuwa hataweza kushiriki. Akiandika katika akaunti yake ya Instagram msanii Ali kiba ametaja sababu ya...
2 Reactions
89 Replies
14K Views
Mshiriki Miss Utalii Vyuo Vikuu Kanda ya Kati Dodoma 2011 Irene Richard (CBE) akiwa na Gideon Chipungahelo, mwandaaji wa mashindano hayo.
1 Reactions
102 Replies
19K Views
Mwanamuziki wa kimataifa,kutoka WCB,Diamond platnumz ametoa shavu kwa wasanii wachanga kutunga wimbo mfupi na kuhusu Wasafi FM 88.9 washindi watano watapata nafasi ya kurekodi bure kwenye studio...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Hata yeye amewahi kukiri mpenzi wake lady jaydee amewahi mtuhumu na scandal ya ushoga Ila yeye akapotezea, now picha yake na shoga maarufu Nigeria , bob risk imesambaa ikiwaonyesha wawili hao...
2 Reactions
45 Replies
14K Views
Tukumbushane jamani zilizobamba wakati ule. Dudu baya Konki konki konki master oil chafu mamba. Katika wimbo wake wa napenda manundu.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Video kaliii..kutoka WCB wasafiiiii chama la wana Rayvanny ft diamond platnumz .. ngoma ina kwenda kwa jina la MWANZA.. ikiwa ime tumia LOCATION kutoka MWANZA ila tukaona sio mbaya tukiwaacha...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
habari za asubuhi ndugu wana jf, natumaini mu wazima wa afya, niende moja kwa moja kwene hoja asilimia kubwa wasanii wanaotoka mwanza ndio wanaopotea kwene game kiurahisi na sijui nini kina...
2 Reactions
30 Replies
12K Views
Salama wapendwa wangu. Naomba kuuliza kitu. Mbona hizi picha za wasanii kwenye mitandao ni weupe sana kama wazungu ila ukikutana nao live weusi kama mimi tu. Nimewakilisha baadhi ya wanaume...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kudadeiki WCB noma sana, Ni jiwe baada ya jiwe, ngomaa baada ya ngoma huku kukiwa pe ya Konki konki konki master kwa mbali, yaani ni full full hata wale waliobaniwa airtime,huku unamsikiliza...
17 Reactions
56 Replies
10K Views
Msanii Harmorapa amefunguka na kuingilia ishu ya Dudu Baya kuwataja mashoga katika mitandao ya kijamii. Harmorapa anasema kuwa kama Dudu baya anajifanya kupambana na Mange kimambi baada ya...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Hawa jamaa wameamua kuonyeshana ubabe kila mmoja anapita alipokanyaga mwenzake hii tunaita kufuta legacy,nani kuibuka mbabe?
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Baada ya kuwa katika upinzani wa muda mrefu, hatimaye wasanii nyota nchini Tanzania, Diamond Platinum na ALIKIBA wamekutana na kumaliza tofauti zao za muda mrefu. Hatua hiyo imepokelewa kwa...
3 Reactions
40 Replies
50K Views
Kiba ana roho mbaya , roho ya kukunja ndio maana kila jambo analolifanya hafanikiwi. Dharau kama hizi zitamponza.
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Amefanya unyama huo na kutokomea kusiko julikana, kampiga kisu cha sikio mamake na kuliacha sikio linaning'inia kisa eti anamroga ndio maana nyimbo hazivumi. source : clouds fm
4 Reactions
127 Replies
35K Views
Raha ya kuachwa jaribu kuchagua mpz ambaye hata ex wako akimuona au akimsikia roho inamuuma na sio kutafuta bwegeee.. Asilimia kubwa hilo hatulijui muumize ex wako kwa kutoka na mtu aliye juuu...
1 Reactions
99 Replies
10K Views
Kwanza: kabisa nianze na wasafi fm ambayo ipo nyuma ya Paul makonda, hawatoweza hata siku moja kuizima CLOUDS fm ingawa wana Matatizo Yao ikiwemo kuwanyonya wasanii watu wengi tuliamini E fm ndo...
5 Reactions
114 Replies
15K Views
Wentworth Miller, Maarufu zaidi kama Michael Scofield Mwigizaji Victor Garber Ricky Martin Adam Lambert Anne Burrell na patna wake Neil Patrick Harris na patna...
1 Reactions
89 Replies
50K Views
Back
Top Bottom