Mtoto kama huyu alitakiwa awe shule anasoma ikifika saa nne anaenda kunywa uji na wenzake. Lakini ona mambo anayofanya, kweli ana wazazi huyu mtoto?!
Au ndo wale mnasemaga watoto...
Brother Chibu/Simba/Dangote/Sukari ya Warembo/Rais wa WCB/Domo/ Mzee wa TUMEWASHA ngoja niishie hapo.
Sasaaaa hebu sawazishaaaa/Lipa kisasi cha Kiba na Samatta kwa jamii ya Watanzania ili nawe...
Huyu ni msanii kutokea kule kigoma amefanya ngoma kali miaka kadhaa iliyopita nyimbo ya mwisho kufanya vizuri ilikuw ile aliyemshirikisha diamond salima
ila sasa hiv mshkaji anajitahidi kurudi...
Watanzania wengi washamba sana.. Baba Nyerere angefufuka leo nadhani angewatia mboko asilimia 80 ya watanzania wote kwa akili zenu zilizojaa upupu. Mzee nyerere hakuacha taifa la majitu majinga...
Hii ni remix ya wimbo wa Ace Hood wa "ride" ambao model wa Kitanzania Cynthia Masasi ana cameo.....bonyeza hapa YouTube - ACE HOOD - RIDE REMIX (WORLD PREMIRE) RICK ROSS JUELZ TREY
Anaanza...
Beat iliyotumika kwenye nyimbo ya lavalava kilio ndo beat beat iliyotumika kwenye nyimbo ya diamond sijaona na mpoto nimwage radhi ft harmoniz
Jamaa ni producer mzuri isipokuwa ndo hivyo anakariri...
MWAKA 1990 akiwa na umri wa miaka tisa, msanii wa Muziki wa R&B alijiunga kwa mara ya kwanza katika shule ya awali ya Parker Elementary huko Houston, Marekani.
Akiwa shuleni hapo ambapo pia...
Yule zilipendwa wa sexy lady wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe aitwaye Ramadhan Abdallah Mtoro ' Dallas ' anadaiwa kukumbuka shuka kukiwa kumeshakucha ikielezwa kwamba eti...
Mwanamasumbwi wa Marekani Floyd Mayweather ametetea taji lake katika porodha ya Forbes ya wanamichezo wanaopata mapato ya juu zaidi duniani.
Alijipatia kipato cha $275m (£205m) katika mechi yake...
Hakika hata siku moja huwezi kuuficha moto, kwani moshi lazima utakuumbua tu. Baada ya kuumizwa na aliekuwa mpenzi wake Millard Ayo baada ya kumfumania live jiki Mwanza, Millard aliamua kukaa...
Ndugu wanajamvi msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mimi binafsi nimesikitishwa sana na kifo cha msanii Sam wa ukweli.
Kutokana na kifo hiki nimejifunza jambo moja tu ambalo ni kifo hakina huruma na...
1. Alikiba na Diamond
2. Joh makini na fid q
3. Nikki wa II na nikki mbishi
4. Harmonize na harmorapa
5. Godzilla na billnass
6. Q chilla na diamond
7. Mr blue na diamond
8. Izzo buzness na...
Tangu nimeanza kusikiliza Emcee kutoka Mwanza Farid Kubanda hajawahi kunichosha kumsikiliza kutokana na uwezo wake wa hali ya juu katika uchenguaji (kufoka)
Tukija kwenye swala la uandishi jamaa...
Msanii wa Bongo Fleva na muuza nyago kwenye video za wasanii, Amber Lulu, ametoboa siri ya Malkia wa filamu Bongo, Wema Sepetu na Mbongo Fleva, Aslay akidai kuwa waliwahi kuishi pamoja kinyumba...