Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Yuko wapi huyu jamaa. Na mwenzake huyu TopC na Pasha wako wapi? Kweli naelekea kuzeeka. Maisha yanaenda kasi sana.
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Leo nimeamka na mood, ya kusikiliza mziki mzuri, basi katika kusikiliza kwangu nikajikuta namsikiliza huyu gwiji wa Bongo fleva Q Chillah {Q Chief] jamani jamaa anajua, hachoshi masikioni mwako...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Rapa wa kike wa bongo Chemical 'mwana wa Lubao' amefunguka na kudai hawezi kujutia kutokuolewa na mwanaume ambae ametoa usichana wake 'bikra' kwa kuwa anawajua wanaume waliokuwa wengi hawana...
1 Reactions
57 Replies
15K Views
Ndugu wa marehemu Sam wa Ukweli wamemjia juu producer wa muziki ambaye alikuwa wa kwanza usiku wa jana kutoa taarifa za kifo cha ndugu yao kinyume na taratibu huku akitangaza kuwa marehemu alikuwa...
7 Reactions
104 Replies
22K Views
Tangu Clouds waamue kumchunia Diamond miezi minne iliyopita ndio kwaanza Diamond anazidi kusumbua kila kukicha na scandal ndio zinaongezeka kila kukicha Sasa hawa kaka zangu Soudy brown na Kwisa...
2 Reactions
30 Replies
7K Views
Habati za majukumu wanajamvi nmeona simu anayotumia Msukuma(mbunge wa Geita vijijini)nikasema ngoja tuone kwa pamoja na tujue maoni ya wengine... Namnukuu “Simu yangu naipenda sana maana ina...
2 Reactions
76 Replies
10K Views
Baada ya Uzalendo kumshinda Mama ake Hamisa, amevunja ukimya nakumuombea Msamaha mtoto wake Huyo Wa pekee .Kama kuna popote mwanae kakosea yeye Kama mzazi hafurahishwi kinachoendelea Kwa mwanae...
6 Reactions
560 Replies
25K Views
Habari wanajamvi..hapa bongo kuna wasanii ambao ukiwaangalia na kuwafikiria,unaweza ukajiuliza "hivi huyu asingekuwa msanii angekuwa anafanya kazi gani"??.sasa mimi binafsi ninao wasanii kadhaa...
6 Reactions
70 Replies
11K Views
Iko poa sana na Roma kavunja sana
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ningependa kupata historia fupi ya huyu dada hadi hapo alipofikia. CC:@warumi;@dinazarde nifah@evelynsalt geniveros
0 Reactions
92 Replies
25K Views
Ni hivi unapofanya ibada kama kusaidia yatima then unakwenda na makamera ili uonekane na public kimsingi dini yoyote ile haikubalini na sadaka za aina hii na ukweli hupati swawabu yoyote kwa...
4 Reactions
65 Replies
7K Views
Wasafi TV kupitia instagram account yao wamepost picha ya kwanza ikumuonesha Diamond Platinumz akiwa South Africa na wanae. Bila shaka hii ni habari njema mno kwa team Diamond na team Zari, na...
5 Reactions
35 Replies
7K Views
MSANII: HARMONIZE FT DIAMOND PLATNUMZ WIMBO: KWANGWARU UTANGULIZI Wimbo wa "Kwangwaru" ni wimbo ulioimbwa na Harmonize akishirikiana na Diamond Platnumz wote ni wasanii kutoka lebo ya WCB...
11 Reactions
41 Replies
16K Views
Kupitia ukurasa wake wa twitter mmoja wa wana hisa wa Jamii Media, Mike Mushi ameandika maneno mazito kwenye issue ya Diamond na Hamisa. Mike alikuwa akijibu habari iliyoandikwa na mtandao wa...
1 Reactions
87 Replies
9K Views
Katika ukurasa wa instagram wa tttrautouprades , wabunifu na waongeza vionjo vya shape za magari makali wameonyesha ndinga jipya la diamond platnumz [emoji116] [emoji91] Hongera sana kijana...
9 Reactions
191 Replies
38K Views
Wadau wa tasnia ya burudan ya bongofleva kwanza rejea kwny mada tajwa hapo juu. Kwny tasnia ya muziki wa hip hop tuna Faridi Kubanda aka Fid Q binafsi naona ni mtu ambae anapewa heshima sana na...
1 Reactions
47 Replies
9K Views
Habari Jf Aisee Msanii Q Chillah Anakipaji kikubwa sana ila Tatizo pombe zinamzidi nguvu....Kuna song moja amefanya na msanii anaitwa clicker nyimbo yenyewe inaitwa Sidimba yaani ...nibonge la...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakazi ameshindwa kuvumilia na kutoa ya moyoni kuhusu msanii was kike Rosa Ree, Wakazi Amefunguka kuwa baada ya Vanessa Mdee Msanii anayefuata kwa juhudi katika mziki ni Rosa Ree , Ameandika haya...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) ambaye pia ni msanii nguli na mkongwe kwenye game ya hip hop ya bongo, anatarajia kuachia kazi yake mpya hivi karibuni aliyoipa jina la namba yake ya...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Mkoa wa Mbeya ni mkoa uliojaliwa kuwa na vipaji sana. Leo naona tuwakumbuke kwa kuwataja hao watu wenye asili ya huko na waliouletea mkoa huu sifa kubwa ndani na nje ya Tanzania 1. Omary...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…