Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Infact huyu dogo anajitahidi sana kupambana wanao mchikia na kujifanya team kiba Hawana lolote Mimi nawapenda wote
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Penye ukweli lazima pasemwe, Maisha ya muziki yamebadilika sana ni tofauti na ya zamani. Huwa nahuzunika naposikia Interview ya msanii fulani wa zamani akisema "sahizi nipo mbioni narudi nina...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Masafa marefu na Tancut Almasi Orchestra live - YouTube
1 Reactions
21 Replies
9K Views
Msami Baby, aliewahi kua kiben10 cha UWOYA kabla ya janjaro asema maneno haya kwa Dogo janja
1 Reactions
54 Replies
8K Views
Hit maker wa ngoma ya bora iwe Rommy Jones ambaye amemshirikisha Baraka the prince mpenzi halali kabisa wa ex wa Mr Blue hapa namzungumzia Naj , Rommy Jones ameibua hisia za chuki kwa baadhi ya...
0 Reactions
46 Replies
10K Views
Taarifa za uhakika kabisa nilizopata toka kule madale ni kwamba hali sio shwari kwani msanii wetu mkubwa yuko katika ugomvi mkubwa na mamaye chanzo kikiwa ni mama mtoto wake Mobeto.Inasemekana...
11 Reactions
120 Replies
14K Views
Msanii Davido amemzawadia mpenzi wake Chioma zawadi ya gari aina ya Porsche katika maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa. Gari hiyo ina thamani ya takribani Naira Milioni 45 ambazo ni Shilingi...
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Jogo hapandi mtungi kitoto chakihindi kikajibu eti Omy dimpoji.
0 Reactions
1 Replies
843 Views
Msanii Jebby amefariki dunia leo akiwa nyumbani kwao Dodoma. Imeelezwa kwamba siku kadhaa zilizopita Jebby aliomba kurudi kwa Dodoma baada ya hali yake kuwa mbaya. Taarifa za awali zinasema...
4 Reactions
148 Replies
36K Views
Ni Abdi Banda anatarajia kufunga ndoa na dada ake Kiba, Zabibu baadae mwaka huu, hii ni baada ya kaka yake kufunga ndoa. Pongezi kwake Abdi Banda == Abdi Banda kwa sasa anachezea timu moja huko...
4 Reactions
79 Replies
20K Views
Wana Jf Wasalaam Wakati wa kuaga mwili wa Agness pale Leaders msanii Rammy Galis aliyewahi kuwa mpenzi wa Marehemu aliishiwa nguvu hadi kupelekea wasanii wenzie kumbeba lakini kilichoacha...
8 Reactions
154 Replies
30K Views
Wakati Rais Magufuli hushangaa Majaji kuwa na fedha za kutosha kumudu kwenda likizo nje ya nchi, Waziri wake Mh.Hamis Kigwangallah ametoa ahadi ya kulipia honeymoon ya wanandoa Ali Kiba na mkewe...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Huko kunako mtandao pendwa wa Instagram kumeibuka mfululizo wa picha za mwanadada murembooo wa haja anaekimbiza kweli kweli, nimejiuliza mara kadhaa huyu ni nani, ni mwanamitindo, ni video vixen...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Leo ndio ule usiku tuliokuwa tukiusubiria sisi mashabiki wa muziki mzuri. Maharusi washaingia ukumbini, kwa sasa First Lady Mstaafu, Bi Salma anawapa vijana mawaidha. Kuna watu maarufu wengi...
5 Reactions
124 Replies
19K Views
Wakuu hii trend ya nyimbo za mapenzi mapenzi mbona zimeshamiri sana ndio kusema burudani pekee ni kugegeda tu? Wasafi Alikiba Aslay Nawengine wote wekeni hata idea/story zingine basi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Najiuliza sana na kutafakari, Kwanini serikali ya Tanzania isitumie watu maarufu duniani(sio Tanzania) kama wachezaji mpira mfano Cr7, messi&neymar au wanamuziki na waigizaji maarufu zaidi...
1 Reactions
2 Replies
816 Views
Wakuu kampuni Kubwa ya muziki , AR na burudani Afrika (HQ Johannesburg South Africa and Lagos Nigeria) DFG Universal Music muda mchache uliopita wametoa top 10 ya wasanii wa Tanzania kupitia...
3 Reactions
38 Replies
5K Views
Ndugu wanabodi ikiwa ni masaa kadhaa toka Aslay aachie ngoma yake iitwayo KAITESI nao upande wa Wasafi wameachia ngoma yao kupitia harmonize iitwayo DM-Chick. Je ni kweli Wasafi walikuwa...
2 Reactions
30 Replies
8K Views
Habari wana MMU, Leo tar 27_04_2018 kwenye show ya Friday night pale eatv snura katimba na dancers wake watatu yan wana misambwanda aka mijitako ya haja yani kama wewe ni kibamia unaweza mwaga...
3 Reactions
98 Replies
19K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…