Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu amefunguka na kudai kuwa mwigizaji Van Vicker wa Ghana, alichania kwa kiasi flani, kupelekea aachane na aliekuwa mpenzi wake, Diamond. Kwamujibu wa...
0 Reactions
67 Replies
14K Views
Ni sheedah ! Pamoja na kukanusha kwa kutumia nguvu kubwa , nyuma ya ushosti wa mastaa grade one wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu ' Beautiful Onyinye ' na Aunty Ezekiel kuna siri nzito...
0 Reactions
80 Replies
24K Views
Supastaa wa Bongo, Wema Sepetu‘ madam' ameanika siri zilizojificha nyuma ya pazia kati yake na aliyekuwa mume wa mwanamuziki nyota wa Uganda, Zarina Hassan ' Zari ', Ivan Semwanga...
1 Reactions
89 Replies
22K Views
MWANADADA asiyeishiwa habari , Beautiful Onyinye , Wema Isaac Sepetu ' Madam' anadaiwa kujutia mimba yake aliyopachikwa na aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo , marehemu Steven...
0 Reactions
62 Replies
19K Views
JINA la Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na...
18 Reactions
269 Replies
48K Views
Lile gari jipya aina ya Nissan Murano la staa wa Bongo Fleva , Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz' alilompa aliyekuwa mwandani wake , Beautiful Onyinye , Wema Isaac Sepetu ' Madam'...
0 Reactions
47 Replies
8K Views
Mrembo na mwanamitindo ambae pia ni mwigizaji wa filamu na ujasiriamali, Jokate Mwegelo ‘Kidoti' amemrushia maneno makali aliyewahi kuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz'...
6 Reactions
162 Replies
29K Views
Diamond aliwafuma live wema na prezoo wakivunja amri ya sita, apo apo diamond akaamua kumtema wema..
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Miss Tanzania 2006/07 ambaye ni staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye', amevunja ukimya kwa kuamua kuanika kisa cha yeye kummwaga aliyekuwa mwandani wake, nyota...
4 Reactions
148 Replies
29K Views
Project ya Kijana wetu Diamond na Zari (the boss lady) ilifana sana kiasi kwamba iliacha kumbukumbu! Cha kujiuliza, hii project inaendelea? Kuna picha hapo chini inaonesha wakiwa wanaanza...
4 Reactions
643 Replies
92K Views
CHEREKO Chereko! Siku chache baada ya supastaa ' grade one' wa sinema za Bongo, Wema Sepetu ' madam' kummwaga King of Bongo Fleva , Nasibu Abdul ' Diamond ' , mama mzazi wa...
2 Reactions
190 Replies
29K Views
Safari hii ndiyo basi tena ! Pamoja na kujishaua mbele ya kamera za wanahabari na simu za kuteleza ( smart phones) kisha kutupia kwenye mitandao ya kijamii wakizuga wapo pamoja , habari ya mjini...
1 Reactions
87 Replies
15K Views
Jason Derulo na Jordin Sparks waliachana zaidi ya miaka 2 iliyopita. Tangu wakati huo Jordin ameshaolewa na anatarajia kupata mtoto wake wa kwanza. Ni wazi kabisa kwamba Jason bado anajutia...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Kisa kikidaiwa kuwa ni penzi la Miss Tanzania 2008, Jacqueline Chuwa ‘Jack’, muimbaji wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha ameitikisa ndoa ya Mchekeshaji Emmanuel Masanja ‘Mkandamizaji’ baada ya...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Diamond Platinum mm ni mtanzania mwenzio tuu ila sifuatilii sana mamiziki ila natoa ushauri kuwa Msaidie Baba yako mzazi ingali yupo hai. Asante. Nakushauri.....
21 Reactions
60 Replies
10K Views
Kabla ya kupata mtoto wa kike linah afunguka kuwa ashawahi kuchoropoa mimba mbili. Na hayo ndo yalikuwa majibu yake alipokuwa akiulizwa na Mtangazaji Soudy Brown >>> “Yah nisiwe muongo...
1 Reactions
79 Replies
14K Views
Mke wa AY ndio msichana mrembo zaidi kuliko wasichana wote Tanzania. Hakuna cha Jokate, Wema, Lulu, Tunda, Mimi Mars, Klynn, Faraja Kota wala Nancy Sumari. Nahisi yeye ndio Cleopatra aliesemwa...
13 Reactions
199 Replies
54K Views
Ni suala la muda tu. Sidhani kama kwa sasa anafurahishwa na yanayofanywa na "muuza Karanga" wake (Diamond Platnumz). Kumbuka kipindi kile maneno yaliyoandikwa na Diamond pale alipoona picha za...
12 Reactions
123 Replies
17K Views
Kinachonisikitisha kwa huyu Kijana ni kwamba kila ninapoona akifanyiwa Interview akiwa pamoja na Nandy naona Confidence ya Nandy ipo juu maradufu ya Aslay na kuna wakati navutiwa kumtizama na...
4 Reactions
64 Replies
10K Views
Back
Top Bottom