Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Siku ya February 10, 2018 imetolewa taarifa na Masoud Kaftany ambaye ni Afisa Habari, Uenezi , Mahusiano katika chama cha Waigizaji Kinondoni, kuhusu Muigizaji Wastara Juma taarifa hiyo inasema...
7 Reactions
115 Replies
16K Views
Baba mzazi wa msanii Diamond Platinumz, Mzee Abdul ameibuka na kuingilia kati malumbano kati ya wanawake wawili Zarinah Hassan na mwanamitindo Hamissa Mobeto waliozaa na mwanae Diamond Platinumz...
1 Reactions
40 Replies
7K Views
Hivyo inambidi avumilie Figisu za muuza Katanga maana hamna namna, kwa sababu yeye damu bado inachemka
1 Reactions
62 Replies
7K Views
Yaani ukitaka kumiliki vitu vizuri basi lazima ujipange kuvitunza na hii inadhihirishwa na Mwanamasumbwi, Floyd Mayweather ambaye ni moja ya wanamichezo wanaomiliki magari ya kifahari duniani...
4 Reactions
79 Replies
43K Views
STAA wa Muziki wa Injili, Emmanuel Mbasha ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa ameamua kuahirisha suala la kuoa tena na katika maisha yake ataishi kama ‘Yesu’ au Paulo kwani wote hao...
1 Reactions
56 Replies
8K Views
KISUTU: Mahakama imeifuta kesi ya madai ya matunzo ya mtoto iliyofunguliwa na Hamisa Mobeto dhidi ya mwanamuziki Diamond Platinumz baada ya wawili hao kupatana.
6 Reactions
43 Replies
9K Views
STAA wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kumtia matatani askari magereza mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, Ijumaa Wikienda lilishuhudia mkanda mzima. Ndani ya...
2 Reactions
48 Replies
8K Views
mbosso khan aka mshedede ametuletea kitu kipya chakuitwa Alele. balaa alilokuja nalo huyu mnyama ndio maana watu wamepagawa wanataka kukata umeme tishio jipya mjini mhind wa kusin
2 Reactions
47 Replies
21K Views
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu na muziki Bongo, Baby Madaha ameeleza kuwa katika maisha yake hakuna kitu kilichowahi kumtafuna na kumletea shida kwenye familia yake kama skendo ya kutumia...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wadau. Nipo benki Fulani napata huduma muda huu saa sita na dk 16 mchana. Wamefungulia clouds TV ila sauti hakuna. Kuna mgeni wa kike kavaa kigauni chekundu na viatu vya haja. Huyu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwanna Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Hapo kipindi cha nyuma ngosha the don alihusishwa kuwa na beef na john makin mwamba wa kaskazin Beef hilo...
7 Reactions
78 Replies
10K Views
Kiongozi wa Chama cha ACT – Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amesema kuwa jana jioni alikwenda Genk nchini Ubelgiji nyumbani kwa Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Na kwa sasa clouds wanampandisha Aslay achukue nafasi poleni sana wale wanazi wa kiba. Ni msanii Fulani mbovu mwenye nyodo anayeishi kwa kivuli cha diamond
2 Reactions
37 Replies
6K Views
Bodigadi wa Diamond, Mwarabu Seleman Mirundi, akifanya mazoezi ya kikomandoo kwenye msitu wa chuo kikuu kuhofia watu wasione mazoezi yake. Juu picha za wanajeshi wa Irani ambao pia ni...
9 Reactions
244 Replies
65K Views
East Africa radio wamegoma kucheza nyimbo za WCB lakini Leo hii nimewasikia wakipeperusha tangazo la Diamond Platnumz la Diamond Karanga huku wakilipa promo kubwa sana.. Pia na Clouds Fm radio...
1 Reactions
39 Replies
8K Views
halla jf... kama kawaida jumapili nipo nyumbani nimechill kuisindikiza weekend, kwa kawaida mara nyingi mm sio mdau wa clouds radio/tv, kwa hiyo top 20 huwa sisikilizi sana, badala yake huwa...
1 Reactions
47 Replies
7K Views
Jamaa anafanya tour kwenye redio zisizo na nguvu kabisa tena vya mikoani kabla hata za Dar esa salaaam hajazimaliza mara abood fm rasi fm maisha fm tatizo ni nini hivo ivi redio havina impact...
0 Reactions
48 Replies
8K Views
Kwa wapenda ubuyu, Mange kaliamsha dude huko.. Part 1. Mimi Tena nilete janja janja ya Sallam toka lini?? . . Story iko hivi. Mnaonijua toka enzi za uturn I think mtakuwa mnakumbuka kuwa...
20 Reactions
225 Replies
44K Views
Hawa clouds ni wazi bwana makonda ana kila haki ya kutowaomba msamaha na kubaki na msimamo wao Clouds ni chombo cha habar cha kuchunga sana,ni kama kakundi Fulani kakujenga fitna na kuongeza...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Toka asubuhi mambo huko insta yamekuwa wanaita ...hiviiiiiii ...Maana mwanadada anakuja na list ya wanawake waliotembea na mmoja ya viongozi wakubwa kidini tena akidai anawala mkundy bila ajizi...
19 Reactions
242 Replies
28K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…