Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Magangsters wengi huwa hatupendi show off sijui kumkiss demu wako hadharani, sherehe kama harusi na birthdays, kulishana keki, kumpigia mwanamke magoti, kucheza mziki na mwanamke hadharani, mzee...
8 Reactions
51 Replies
9K Views
Leo hii, ulimwengu wa muziki umepata pigo kubwa sana kwa kifo cha Mandojo, msanii maarufu aliyejulikana kwa umahiri wake wa kuimba na kupiga gitaa. Mandojo, ambaye jina lake kamili ni Joseph...
10 Reactions
54 Replies
4K Views
Niliwahi kuongea kitu kinachotaka kufanana na hiki miaka ya nyuma na leo nimekutana na mwandishi ambae amelifanyia jambo hili utafiti wa kina. Ni mwandishi / mtafiti ambae ni mtaalamu wa...
7 Reactions
35 Replies
2K Views
Nmefarijika sana leo baada ya kumuona Mandojo Kariakoo akiwa kwenye duka la viatu vya kike simple akichangamka na kuuzia wadadaB. Baada ya kudadisi nikaambiwa lile duka ni lake nilifurahi ikabidi...
19 Reactions
40 Replies
6K Views
Joaquin Guzman Loera a.k.a El Chapo mzaliwa wa mexico na mfanyabiashara mkubwa wa madawa ya kulevya anayetafutwa na Marekani na Mexico kwa udi na uvumba, leo nimeamua kushare na nyinyi wanaJF...
4 Reactions
27 Replies
12K Views
Wakuu, Rais Mwinyi amjibu aliyehoji kapata wapi hela za kufanya harusi ya kifahali hivyo. Ila hili nalo lilikuwa jambo la kuaddress kwenye Mkutano wa CCM, au ndio kiki apate kuongelewa kipindi...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Rapa kutoka marekani Kendrick Lamar amevunja rekodi iliyowekwa na marehemu Tupac kupitia wimbo wake wa (not like us) . wimbo wa Tupac Shakur (Hit em up) ulikua ndio wimbo bora wa DISS TRACK kwa...
0 Reactions
10 Replies
466 Views
Kwa taarifa zilizorushwa na kituo cha redio Clouds FM ni kwamba mwanamuziki Albert Mangwea amefariki dunia akiwa south Africa. Taarifa zaidi zitafuatia. ------ Albert Mangwea maarufu kama...
3 Reactions
440 Replies
85K Views
Marcus Jordan Mtoto wa Legend wa mpira wa kikapu duniani na gwiji wa NBA Michael Jordan, ameingia kwenye skendo kubwa na ya aibu baada ya kupigwa picha akiwa anatumia madawa ya kulevywa aina ya...
8 Reactions
39 Replies
3K Views
I think I was so quite and I didn’t wanted to post this but sometimes you can respect someone that don’t deserve that respect , Look this whole leader who is texting me dirty messages everytime...
8 Reactions
159 Replies
14K Views
Millard Ayo amekaa na mwanadada Klynn au Jacqueline Ntuyabaliwe na kuzungumzia tweet maarufu aliyoiweka wiki iliyopita. Fuatilia mahojiano: Millard: Ulikutanaje na Reginald Mengi? JNM: Mara ya...
52 Reactions
876 Replies
97K Views
Wakuu katika harakati zangu za kutafuta chakula cha macho mara nakutana na Rashida Wanjara. She is still looking young and energetic, kumbe wakuu kujitunza muhimu Maana Dada zetu wengine...
6 Reactions
52 Replies
3K Views
Wakuu poleni na majukumu.Niende moja Kwa Moja Kwa mada.Ukweli usio kwepeka huyu mwanadada kutokea Nigeria amekuwa mwenye mvuto kila aendako. Kina Drake Burnaboy na Justin Bieber wamekuwa...
5 Reactions
7 Replies
734 Views
Sisi Wachaga waishio DSM tumeweka kikao na kuwaita wazazi wake na binti waje wa tueleze kama wanafurahishwa na anachokifanya Mwijaku kwa kwa bint Alice Kitendo cha kumuweka bondi bint yetu ni...
4 Reactions
13 Replies
958 Views
Christian Gregory, who created the character "Chakubanga," published in UHURU from 1967 onwards. Chakubanga is a barefoot, urban dweller, street smart and knowledgeable about the problems that...
3 Reactions
27 Replies
15K Views
Habari. Siongei kwa ubaya ni nani anayemuelewa Pastor Tony Kapola juu ya. ° Uvaaji wake ° mahubiri yake hasa Yale ya kusema anataka kufanya collaboration na diamond ° usela usela uhuni mwingi...
11 Reactions
75 Replies
6K Views
Naandika haya baada ya kuibukia huko Arusha kwa kiongozi mmoja wa dini mwenye utata mwingi akitafuta kuombewa kwakuwa anajihisi ana mikosi, mambo yake hayaendi na pengine kuna watu wamemsagia...
13 Reactions
21 Replies
2K Views
Harmonize katika show ya yanga ilikuaje akatumia huu msamiati wa kijamaika wenye maana ya Mother ***** BOMBOCLAT
4 Reactions
53 Replies
8K Views
Hivi huyu Manguruwe ni nani na katokea wapi? lengo lake nini? Leo kakutana na kipondo cha Dudu baya kwa madai ya kumkashifu. --- Siku chache baada ya mfanyabiashara na mmiliki wa mradi wa...
14 Reactions
49 Replies
9K Views
Wazee wa makoti hawasikiki kabisa Mara ya mwisho nilisikia wamekula shavu Unyaman Simba mara sijui wamechukuliwa na Majizo. But ninachojua NI kwamba sijawasikia muda Sana. Vip Kwa sasa wanatamba...
9 Reactions
41 Replies
2K Views
Back
Top Bottom