Tunahitaji wasanii wa muziki bongo flavior na hip hop nafasi tano zitashindaniwa kwa kucoment na kulike kwa kuacha song yako ulio record au melody kama hujarecod na namba yako ya simu au email...
Katika tasnia ya habri hasa watangazaji ambao sauti zao zinanipa shauku ya kuendelea kuwasikilza wakiwa wanatangaza ni hawa
1.Mabere Makubi ITV
2.Chase Hillary Azam TV
Tupia na wa kwako ambao...
Lazima nikiri kuwa nimekuwa shabiki wako tangu unatoa wimbo wa mtoto wa uswazi ila baadae ukamua kuacha rap na kuamua kuimba niliendelea kukusikiliza lakini sikuvutiwa na style yako mpya...
Mbunge wa Geita, Musukuma Kasheku amesema anafurahia kutumia simu yake ya mkononi ya zamani iliyofungwa na rubber band.
Sababu ni kwamba hataki ulimbukeni,
si fisadi na hapelekwi na mihemko ya...
Personal simfahamu lulu Jana nilisoma habari kafungwa miaka 2 .Today nikasema ngoja niangalie video kwa kweli Ili iliniumiza mno. the abuse of a human right was beyond my imagination .Walivyokuwa...
Wanajamvi,
Jana mama mzazi wa Marehem Steven Kanumba amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mahakama imetenda haki" kwa kumhukumu kifungo cha miaka miwili kwa kuua bila kukusudia Elizabeth...
Ndio kwanza anatimiza masaa 24, kifungoni gerezani... Bado masaa mengi sana ukizidisha mara miezi 24... Wote hatujui hali aliyonayo japo tunaweza kukisia.... Lakini ni vema roho yake ikubaliane na...
MSANII wa fi lamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ atapaswa kutumikia theluthi ya kifungo chake ambacho ni miezi mitano gerezani kabla ya mchakato wa rufaa dhidi ya kifungo chake.
Lulu alianza...
Habari weekend wakuu.
Kumekuwa na changamoto anazopambana nazo kwa sasa mwanamuziki baraka da prince kwenye ngoma yake mpya ya sometimes kuwa ngoma yake inapatika youtube mara inapotea yani...
Mcheza sinema za bongo Movie Elizabeth Michael ‘LULU' amekiri kuteswa na jini mahaba ndiyo maana amekuwa akishinda kujizuia kulala bila kufanya ngono hali ambayo anatamani kuiacha lakini...
Siwezi muita mama Lulu mama lulu kwani mimi nilimjua kwa jina la shikana wakati huo mama yake akiishi na mtoto huyo mbagala Rangi tatu.
Nakumbuka tulivyoishi nae mama akiwa mtu wa tungi ile...
Habarini wajamvi,
Leo nimeona tuone mchango unaotelewa na Coke Studio Katika Muziki wetu hapa Afrika. Coke Studio Africa imejitahidi sana kuleta na kuwakutanisha wasanii wengi barani Africa na...
Mama mzazi wa Marehemu Stephen Kanumba, Flora Mtegoa baada ya hukumu ya Lulu ambae amehukumiwa kwa kifo cha mwanae ameonekana na furaha mpaka kujawa machozi.
Mama Kanumba amesema anamshukuru...
Diamond: Mwenyez Mungu ameamua kukupa mtihani huu wewe kwa sababu anaamini wewe ni Shujaa na Imara.....pia anaamini wewe ndio msichana pekee unaeweza kuuhimili mtihani huu.... hivyo Usisononeke...
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu', Lucresia Karugila ‘Mama Lulu' ametoa...
Baada ya Hukumu ya Miaka miwili nini hatima ya Mkataba wa Lulu na Azam,,,,,..... Au
------
Chaneli ya Sinema Zetu inayopatikana katika Televisheni ya Azam, leo imetangaza rasmi uzinduzi wa...
Aslay ana kipaji kikubwa sana.
Kwanza ameweza kutoa hit songs mfululizo na zote zikapendwa yani akipanda jukwaani mashabiki wanaimba wenyewe.
Ila tatizo ninaloona mbeleni linaweza kumuathiri, ni...
Kwema wana,
Yule mwanamziki pekee wa kimataifa panapo ardhi ya Nyerere, Diamond Platnumz yupo jikoni akiaanda ngoma nyingine na mkali kunako ardhi ya Trump, USA Baby.
Mtakumbuka kama wiki mbili...
KITENDO cha muigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, kutoa maneno ya kumtusi mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, ni dalili za msichana huyo kuitafuta laana.
Hivi...
Leo nataka tukate mzizi wa fitina kati ya Tunda na Elizabeth Michael Lulu nani kisu zaidi kuliko mwingine
Picha ya pamoja Tunda na Lulu
Lulu
Tunda
Lulu akiwa kitandani
Tunda akiwa kitandani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.