Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Msanii Diamond Platnumz yupo nchini Uingereza wa ajili ya ziara ya vyombo vya habari,ambapo leo alikuwa akihojiwa na mtangazaji Salim Kikeke wa BBC Swahili Diamond kwenye mahojiano hayo alisema...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Hii video ilikuwa published oct 26 2011 ni baada ya birthday yake ya miaka 18. lengo langu sio kumkandia aozeee lupango ila naweka kumbukumbu sawa.
10 Reactions
31 Replies
5K Views
Diamond Platnumz haishi kutuamsha na habari kubwa zinazohusiana na nyimbo zake kila kukicha. Baada ya kuachia wimbo wake mpya ‘Hallelujah’ ambao amewashirikisha Morgan Heritage kuweka rekodi...
5 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza kama yanayosemwa na watu wengi kuwa kucha husababisha "k" kutema.. kuna picha mbali mbali Zari ameonekana na kucha ndefu, swali. Ni je kucha ndefu ndio chanzo cha...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Leo Novemba 10, 2017 inatarajia kutoa uamuzi dhidi ya kesi ya matunzo ya mtoto iliyofunguliwa na mwanamitindo Hamisa Mobeto dhidi ya msanii maarufu nchini, Nassib...
1 Reactions
152 Replies
19K Views
Nimeshindwa kujizuia nimeona nitie neno kidogo kuhusu huyu dogo baada ya kusikiliza mapini yake non-stop. Kwanza kabisa hakuna kitu kizuri kama kufanya kitu unachokipenda na uwe unakijua, huyu...
18 Reactions
34 Replies
12K Views
Bado ...yule mdada mrembo aliyeolewa na proffesional footballer harusi kubwa ya kifahali ati ameolewa tena na bw mdogo yule?kwa lipi hasa?amekosa nini mrembo yule? Bado siamini huenda ni movie...
3 Reactions
20 Replies
6K Views
Kadri siku zinavyozidi kuyoyoma, jina la hamisa mobetto linazidi kuruka anga za kimataifa. Scandal ya kuzaa na diamond na bifu lake na Zari boss lady limemuweka mrembo huyo kwenye ramani nzuri ya...
7 Reactions
86 Replies
14K Views
Habari za ijumaa wakuu na wadau wa jukwaa hili wasalam Kuna hii tabia ya baadhi ya wasanii wa Tanzania hasa wa zamani kung'ang'ania kurudi kwenye game wakati mda wao umeshapita. Kila kitu na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Uislaam unasemaje juu ya hili.
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Yule Kijana mdogo kwenye Tasnia ya Bongo fleva Abdulazizi Chande 'Dogo janja' ambaye wiki kazaa zilizopita amejikaza ubongo na kuamua kufunga ndoa na Diva kwenye tasnia ya BongoMovie mwanadada...
11 Reactions
156 Replies
33K Views
Baada ya Rose Muhando kupotea kwa muda mrefu kwenye ulimwengu wa muziki wa injili, aliyekuwa meneja wake, Alex Msama amefunguka kumrudisha kwenye chati kama zamani kwani hivi sasa amebadilika...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ndoa ya Irene Uwoya na Dogo Janja yabainika kuwa reel na sio real, Uwoya ampora Wema dili la million 400 toka kituo kikubwa cha TV barani Afrika ! Nyuma ya sarakasi ya kile kinachosemekana ni...
4 Reactions
65 Replies
13K Views
Mwanamitindo Flaviana matata amelalamika kuna watu wameanza kuwangia biashara yake ya rangi za kucha. Maneno hayo kayatoa kupitia mtandao wa twitter
2 Reactions
72 Replies
12K Views
Baada ya kutafuta mtoto kwa kipindi kirefu hatimaye, mwanamitindo happiness magese maarufu kama ladivamillen amepata mtoto wa kiume aitwae kairo. Hongera sana Millen Mungu ni mwema na wakati wa...
17 Reactions
226 Replies
48K Views
kusema ukweli huyu mtangzaji wa power break fast yuko vizuri sana I think IQ yake na emotional intelligence yake iko juu sana compared to her colleagues......Big Up Mdada
3 Reactions
83 Replies
44K Views
Nani mbabe & nani mrembo kwa hawa watu watatu 1. Kalapina huyu mshikaji anafahamika kwa ukorofi lani nguvu jiwe.. ona video hapo chini alivyo mfanyaga chidbeenz maisha club Mzee wa kikosi...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Siku za hivi karibuni msanii Joti aliweka mtandaoni picha akiwa na binti yake. Watu wengi walidhani huyo binti ni mtoto wa joti na mkewe ila mchekeshaji steve nyerere kwa kukurupuka kaandika...
4 Reactions
35 Replies
11K Views
Back
Top Bottom