Michael Jackson sued by Arab sheikh in UK court
11/17/2008 4:00 PM, AP
The son of an Arab monarch took the King of Pop to court Monday, charging that Michael Jackson took $7 million as an...
MTANGAZAJI maarufu wa televisheni Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ ambaye hivi sasa ni mjamzito, amesema atapenda siku yake ya kujifungua ikifi ka, awe mubashara katika Mtandao wa Kijamii wa Instagram...
Diamond Platnumz ni mwanadamu ana madhaifu yake kama alivyo binadamu yeyote yule. Lakini katika picha kubwa na kimuziki huyu ndugu yetu anaiwakilisha nchi vyema sana huko nje.
Nadhani hili ndilo...
Na kweli wewe ni star mpaka inatokea watu zaid ya kumi kukuzungumzia ndani ya muda mmoja sehemu tofauti tofauti.mpaka mimi kukuanzishia thread na kuna thread kibao kuhusu wewe ndani ya week hizi...
Habari za kunyapianyapia kutoka katika viunga vya mitaa ya kariakoo zinasema msanii huyo anayeamini kuwa yeye ndio bora yupo mbioni kuachia collabo lake na msanii huyo wa kutoka huko duniani...
Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya: "Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa...
Habar zenu wanajamvi
Nimekua nikijiuliza sana bila majibu mbona Beka flavour hayupo katika tamasha hili la fiesta,
Kwa anayeweza kufahamu sababu tunaomba atusaidie kutujuza kinachoendelea...
Ni leo hii kupitia akaunt zao za instagram wamerushiana maneno makali huku kisa ni kikiwa ray c kuingilia penz la ruge mutahaba na zamaradi ambao kwa pamoja wamefanikiwa kupata mtoto mmoja wa...
Mtangazaji wa Kipindi cha Take One, kinachorushwa kupitia Clouds TV, Zamaradi Mketema Zama amefunguka kuwa , ataongeza tena watoto kwani tangu amejifungua mtoto wa pili ameona nyumba imekuwa...
Akihojiwa katika kipindi cha E News cha EATV Msanii wa bongo movie na bongo fleva Hemed amesema anawatoto zaidi ya sita lakini amekuwa akimpost mmoja kwenye mitandao ya kijamii
Nimeona ni muda sasa mange kimangi amekuwa front line kwa kumkosanisha diamond na mashabiki,
imefikia kipindi naona siyo hates kama shabiki bali naona kama kuna kitu kimejificha ambacho kwa sisi...
huwa namuadmire sana mzee wa mafursa hapa nchini ruge wa clouds.naomba mwenye namba yake anisaidie kuna bonge la fursa nataka nikae nae tulijadili.
pia kama yupo humu anipm
Hii video chini inaonesha maisha halisi ya Yusuph Salim Bakhresa , Na Mali anazomiliki ndani.
Magari ya kifahari zaidi ya 20 ndani, Na mengine jionee
Pamoja na hayo aliwahi kusomeshwa namba na...
Aman iwe nanyi wakuu katika bwana
Kwanza nikili waz kuwa huyu dada grace anajua mziki na anajua anchokifanya, mimi kama shabiki mkubwa wa grace nimeamua nije kuanzisha uwanja wa wale wote...
1. Diddy - $130 million
2. Drake - $94 million
3. JAY Z - $42 million
4. Dr. Dre - $34.5 million
5. Chance the Rapper - $33 million
6. Kendrick Lamar - $30 million
7. Wiz Khalifa - $28 million
8...
Huwezi ukaamini ndugu yangu kumbe Lowassa alianza haya mambo siku nyingi na ndio sabab Nyerere alikuwa hamtaki. Inasemekana Lowassa aliagiza transformer iweke pale PPF Tower pasipo ridhaa ya wenye...
Njiwa atua kwenye meza ya wagombea na kuzua tafrani
AMINA KINGAZI, KOROGWE
KATIKA hali isiyo ya kawaida njiwa amezusha tafrani ya aina yake, baada ya kuvamia ukumbi wa uchaguzi wa...
Habari mbaya kwa wapenzi wa country musics ni kwamba yule mkongwe wa nyimbo hizo ajulikanaye kama Don Williams amefariki Dunia. Don amefariki baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Allifanya kazi yake...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Yule rapa mkal na mtata kunago game la hiphop anayetokea pande za state kule anakoish mshikaji wangu nyan ngabu...