Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mama Diamond amemmind Soudy Brown baada ya kumuuliza habari za diamond kumpa mimba Hamisa Mobeto na kubaki kujiumauma
3 Reactions
50 Replies
9K Views
Tarehe SIKU kama KESHO 12th june miaka takribani hamsini na minne iliyopita dunia ilipata bahati ya kupokea mwili na roho hai ya mtumishi wa mungu KULE nchi moja ya Afrika magharibi ENDELEA...
5 Reactions
7 Replies
4K Views
Upigaji kura ushaanza rasmi Tuzo za BETAWARDA-2017. Mpigie kura Rayvanny kama "International Viewer's Choice Awards' 2017. JINSI YA KUPIGA KURA KWA MSHIRIKI. Kazi ni moja tu unapost picha ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Huyu jamaa naona keshashindikana....hizi mbio nilijua atachemka alianza vibaya sana lakini hapo kati kawakata wenzake kama walikua wamesimama. HATARI SANA.
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Baada ya msiba zari ameonekana akipost yupo kwenye mjengo wao wa SA na familia yake yote, Mungu awape nguvu machungu ya msiba yapite aanze kupambana kuijenga familia yake. diamond safi sana kwa...
7 Reactions
127 Replies
23K Views
Mwanamuziki tecno toka nigeria aacha gumzo mitandaoni baada ya kuwasilisha ujumbe wa kuupromoti wimbo wake mpya kwa lugha ya kiswahili
2 Reactions
21 Replies
7K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mwana hiphop tajiri duniani. Mc mwenye package iliyokamilika ya hiphop. Huyu ni mmoja kati ya wasanii wa hiphop waliofanya niipende sana hiphop na muziki wa rap kwa...
3 Reactions
121 Replies
15K Views
Kwa muda mrefu kumekua na mijadala ikiendelea mitaaani, watu wengi wakilinganisha magwiji wawili wa musik wa bongo flava, kila mtu amekua na lake la kusema. ukweli ni kwamba nimefanya tafiti...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wakuu, Tangu huu wimbo umetoka umekua ukipata airtime ya kuvente na ni ngoma ambayo ni nzuri kwa kuisikiliza. What caught my attention ni pale mwishoni mavoko anapoimba 'wanangu wa panya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Zile kiki za Hamorapa zimepotea Ule umaarufu uliokuwa unakuja kwa kasi umekufa kifo cha mende Muda si mrefu atarudi kwenye kazi yake ya kuzungusha urembo mitaani
3 Reactions
29 Replies
4K Views
Niaje watu wa ukweli wapenda music uwe wa rap au rnb au music wowote ule Huyu jamaa sasa kaamua kuja kwa namna tofaut na ile ya mwanzo na aina hii ya mziki inahatalisha sana soko la yule jamaa...
2 Reactions
57 Replies
6K Views
Label ya sony imekuwa ikilalamikiwa jinsi inavyotreat wasanii mbalimbali wanaotokea Africa, pia imekuwa ikihusishwa na uuaji wa vipaji vingi barani hapa Baada ya mwaka jana, Msanii Davido...
7 Reactions
54 Replies
8K Views
Ni vigumu msanii aliyepotea kwenye game kurejea kwa kishindo kile kile. Hii ipo ata kwenye msemo wa kiingeereza – “Golden Chance Never Comes Twice,” – yaani bahati haijirudii mara mbili. Hata...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Kwa story za kunyapia nyapia zinadai kuwa harmonize na wolper gambe washabwagana na kila mtu kachukua 50 zake na kwa ubuyu unaosambaa mjini unadai kuwa Dogo kapata mtt mkaliii wa kitaliano...
6 Reactions
145 Replies
44K Views
Star wa pop Nigeria, Wizkid alizungumza kuwa hana hofu kwa sababu anajua alichokifanya na kazi yake kupenda na watu....Gtv in Nigeria
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mapenzi kati ya mastaa na mastaa hua inakua na mwisho mbaya hasa kwa wabongo. wengi wanaishi kikiki na kupendana kikiki. Wanasahau mapenzi ni baina ya watu wawili na kutunziana siri. Tazama...
2 Reactions
54 Replies
8K Views
Jamani habari ya kwenu natumai ni wazima, dah nimekuwa nikisikiliza nyimbo za huyu dada Saida Karoli nikashikwa na hamu ya kujua alipo na je ameacha mziki? naona kama bado taifa tunahitaji wasanii...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Steve kakanusha kuhusika na uigizaji wa sauti za mtongozo zilizovuma baina ya watu wanaodaiwa kuwa ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mrembo Wema Sepetu wa Bongo Movie.. “Kwanza mimi toka...
11 Reactions
46 Replies
6K Views
Kweli maisha ni kama kamari toka Zali la mentali hadi kuwa Mbunge wa CHADEMA Bravo to you: PROFESSA JAY
4 Reactions
50 Replies
7K Views
Yaani taarab qwishney toka mfalme aache habari ni kuwa sasa hivi hakuna jipya tena Mashabiki walivunjika moyo mno kiasi kwamba wengi wakaanza kupoteza mood kbs Huyu isha mashauzi naye hana jipya...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…