Habarini Wadau,
Sio siri huwa ninampenda sana Hoyce Temu aliyekuwa Miss Tanzania nafikiri wa mwaka 1999.
Huyu dada amekuwa akionesha roho safi na upendo wa dhati kabisa kwa wasiojiweza na hasa...
Msanii Lina alikuwa akihojiwa FNL ya EATV na alipoulizwa swali ni kwa nini ametupia picha akiwa amevaa hivyo alisema sio yeye wa kwanza kufanya hivyo kuna watu kibao wanafanya na watu...
Mlimbwende, Agnes Gerald maarufu kama Masogange (28) amejisalimisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Kabla ya Masogange kujisalimisha mahakama ilitoa hati ya kumkamata baada ya kushindwa...
Ukifuatilia katika wale watu Mashuhuri na Waimbaji Hakika utakubaliana na Mimi kuwa Bob Marley Bado yu hai.. Kila sehemu bado anaheshimika na Kazi zake bado zinapendwa Duniani Kote....
Singeli master and one of the oldest singer of Singeli music ‘Sholo Mwamba’ has debuted his new song named ‘Ghetto’, ‘Sholo Mwamba’ who is well known for his popular song like ‘Panya, Sembe...
Mwanamuziki anayependelea kusafiria nyota ya Diamond Platnumz kwa kugeza ideas zake na kuzibadili kidogo, sasa anapanga kuzindua 'brand' ya nguo zake za KingaKiba (Jeans, Viatu, Tshirts) pia...
Mond mimi ni ndugu yako kabisa na moja wa mashabiki zako..
Naomba tu upunguze hilo neno kwenye interview zako za siriazi maana ukiongea kidogo tu tayari linaingia...mfano...tunashoot video na vitu...
Msanii wa rnb Rama Dee wakati akihojiwa kwenye kikaangoni eatv, ametoa ushauri kwa Lowassa juu ya uhusikaji wake kwenye siasa,
"Lowasa anapaswa apumzike awaachie watu wafanye Nazi, kwa kawaida...
Ni miezi mbili tu iliyopita ambapo Diamond alienda kwa makao makuu ya Mamlaka ya Mapato TRA baada ya kuitwa ili alelezee namna anavyopata mapato yake na namna gani analipa kodi ya serikali...
Huyu demu a lite shirk kishka na Rayvanny kwenye wimbo Wa Zezeta ni mshambamshamba kiasi kwamba ameshindwa kuuvaa uhusika na hivyo kusababisha wimbo mzima kuonekana Wa ovyo kabisa.
Kama kuna...
Jamaa kajichubua siku hizi ,anahojiwa eti anasingizia kwamba siku hizi anaoga vizuri,ana drive ,ana maisha mazuri kwa hiyo weusi umemkimbia.
Hakyamungu,these idiots,type za Kina ray aliyedai...
Nimekuwa nikifuatilia sana uongeaji wa hawa akina Dada wawili mmoja akiwa ni kutoka ' Majuu ' ( Marekani ) nikimaanisha Mwanamuziki Nick Minaj na mwingine akiwa anatoka ' Uswahilini ' ( Tanzania )...
Wakuu
imetangazwa leo msanii mwenye kupenda kiki hapa jijini kuliko kazi ataachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la "Nundu" humo amemshirikisha mkongwe aliyepotea kwa muda sasa CPWAA
sina...
Ngoma mpya ya darassa hasara roho ina mstari huo hapo juu,japo hajamtaja lakini nahisi anamdis yule mkali wa zamani wa tongwe ngome kongwe,wewe je unahic Nani ametuectia zaidi ya baba Ivan.