Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

*Mwanaume wa Arusha kakaa mahabusu miezi minne anatoka huku anacheka, mwanaume wa Dar kaambiwa aonyeshe vyeti tu analia. [Wanaume wa Dar Bwana].*
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Usiku wa March 3 huko Las Vegas nchini Marekani waimbaji wa Bongo fleva Alikiba na Ommy Dimpoz walipiga show katika ukumbi wa Sky Beach Club Marekani kwenye Tour yao. Binafsi bado sijaridhiswa na...
4 Reactions
16 Replies
7K Views
On Friday, March 4, 2017. The Grammy-winning singer Adele almost fell off stage during her first performance in Brisbane, Australia. When she was performing "Hello" while trying to run up a set of...
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Msanii chipukizi Harmorapa amefunguka hayo alipokuwa anahojiwa na EATV, pia amesema hana mpango wa kubadilisha jina japo ana bifu na WCB
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Msanii Ali Kiba amekiri hajui kuongea kiingereza vizuri, lakini hata hivyo amedai kiingereza sio ishu na kwa kuwa ameimba Kiswahili na amepiga hela na kuchukua tuzo mingi. Pia amesema Wanaosemwa...
3 Reactions
183 Replies
15K Views
Hapa bongo tuna mastaa mbalimbali wa fani tofauti,, lakini mastaa hao wamekuwa na mambo ya kuchekesha kama sio kuudhi, mastaa wa bongo wanapenda kuonekana kwenye magazeti, kiki zisizo na msingi...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Kutajwa kote huku kwa Mkuu wa MKoa wa Dar es salaam hajafikia viwango cha kuwa Celebrity? Maana hata kwa sisi wa mikoa ya huku upenuni tunafuatilia kinachojiri huko Dar es salaam kuhusu Makonda...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kundi la WCB WASAFI wamekuja na website yao itakayouza kazi zao mitandaoni. wasafi. com
2 Reactions
52 Replies
5K Views
Huyu jamaa ni mbunifu sana, anakipaji na hutoa vitu ambavyo ni tofauti sana na wasanii wengine! Ni stand up comedy mzuri na pia kwenye nyanja nyingine za sanaa yupo vizuri! Hii ni video yake...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Najaribu kufikiria tu,itakuwaje 2030 kama hali sasa ndio hii!Wadada mungu anawaona,ila style hiyo ya Minaj ukiwa na lapa huwezi ifanya!Wale wa kupiga jeki hii haiwahusu kabisa
0 Reactions
0 Replies
664 Views
Mwanamuki kutokea hukooo mji kasoro bahari, Dayna Nyange alizua gumzo na vipicha vya nusu uchi anavyotupiaga mtandaoni ila alipoulizwa na mtangazaji wa EATV alidai picha hizo zinamsaidia sana...
1 Reactions
36 Replies
15K Views
Heshima kwenu wana jamvi wenzangu..Kwanza nianze na masikitiko makubwa niliyonayo juu ya Kamati nzima ya Miss Tanzania,Waziri wa Habari na Michezo mh Nape Nnauye,kiukweli munatuumiza sana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni aibu kwa mwanamuziki mkubwa kama Diamond kukosa website,zaman alikuwa na blog lakini nayo kww sasa imekufa, Inabidi atengeneze website nzuri iwe yake binafsi ama hata ya wcbwasafi,ambapo humo...
7 Reactions
25 Replies
3K Views
Nani zaidi wadau Dan cooper ama Stunter P.s Dan cooper kumbe uko ilala mchikichini
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Zari kama mwenyewe anavyojiita bosslady wiki aliopita alisaini mkataba wa kuwa Brand ambassador wa GSM mall zilizopo Pugu na Msasani. Tayari ameshafanya tangazo bado kutoka tu, pia jana alikuwa...
19 Reactions
176 Replies
26K Views
Hivi mmesikia huu wimbo mpya wa linah unaitwa kosa sina? Aiseeh ni shigidaa, linah Ana sauti mubashara, dah ile Sauti sio ya nchi hii hakyamungu, mtoto anaweza mpaka anaboa, hongera sana linah...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Msanii wa Bongo Movie baada ya mumewe Chid Mapenz kuswekwa lupango kwa tuhuma za madawa ya kulevya , msanii huyo amedai misuko suko kwenye ndoa ipo na alishaonywa kuwa ndoa inakuwa haijanyooka...
2 Reactions
15 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…