Taarifa mbaya ya kusikitisha kutoka kwa staa wa nyimbo za Injili, ROSE MUHANDO zinadai kuwa, mwimbaji huyo anasakwa na uongozi wa Sober House ya Pederef ili waweze kumwokoa kwenye matumizi ya...
Wasanii wa kwetu hapa ni wa ajabu sana yaani waliwekwa ndani wakina TID na wenginao ila hapakuwa na hata mmoja aliekuwa akipost picha zao na kuwapa maneno ya faraja ila sasa kawekwa Vanessa Mdee...
"Mchungaji ...yapata kama wiki mbili zilizopita nilihoji kupitia vyombo vya habari juu ya utajiri' wa ghafla wa mkewangu Mara baada ya mgogoro kutokea kati yangu na yeye, bila kupoteza muda...
Jarida la Forbes la nchini marekani limetoa wasanii matajiri zaidi duniani ,Africa na kanda mbali mbali ambapo kwa upande wa Africa mashariki.
Diamond platinum ameongoza kwa kuwa na utajiri wa...
Kweli milango ikifunguka hakuna namna.Hamorapa kusindikizwa na P Majan studio?.kama IPO IPO tu
==============================================
Nucky Thompson, post:
Mkongwe katika gemu ya Bongo...
Msanii mkongwe wa nyimbo za Injili nchini Rose Muhando amekanusha taarifa ambazo zilizagaa mitandaoni ikiwemo hapa JF kuwa ameingia katika matumizi ya Madawa ya kulevya.
Muimbaji huyo alidai...
Ilikuwa ni kwenye sherehe za Ali Kiba kupata tuzo ya MTV Ema na Ali Kiba alipoulizwa kuhusu mahusiano yake na Jokate alimkana kabisa na kusema pale yupo kama wageni wengine, mama yake Ali Kiba...
After several days of radio silence in her war with Remy Ma, the wait for Nicki Minaj’s official response is over.
Nicki Minaj has finally addressed Remy Ma’s“SHETHER” diss track, which many...
Kwa kutambua thamani yake serikali ya afrika ya kusini kupitia kitengo cha utalii kimempatia kandarasi nono msanii diamond kutangaza maeneo yao ya utalii hayo diamond alifunguka baada ya shabiki...
Kupitia ukurasa wake wa instagram,Diamond platnumz ameweka wazi kua plaform yake ya kuuza na kununulia kazi za wasanii iitwayo,wasafidotcom ipo tayari kwa matumizi pande zote yaani wasanii...
Today marks the 20th anniversary of Biggie's death. Regarded as one of the best rappers to ever did it, I've decided to stretch(don't really know much) 20 things I know or have heard about the...
Nadhan huu ilikua wakati muafaka kwa wizara ya maliasili na utalii kutumia ziara ya nguli huyu kutangaza malisili zetu yani mbuga na mlima Kilimanjaro hata Tanzanite zetu.
Maana kwa upande wa muziki wasanii wetu huwa hawapotezi bahati inapotokea anakuja msaani wa nje watafanya juu chini mpaka wapate collabo kama ilivyo kuwa kwa ndgu yetu Diamond alivyopiga collabo...
Salam wakuu.
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu background ya ndg yangu, kaka yangu Mrisho Mpoto. Amezaliwa wapi, amesoma wapi na n kabila gank huyu mtu.
Uvaaje wake wa magunia source yake n...
"Remy Ma has come out swinging in a new diss track targeting Nicki Minaj ... and with lyrics that include, "f*** Nicki Minaj," she's definitely not hiding any feelings.
Internet speculation grew...
mwendelezo wa Maangamizi yz Burudani ,Hii sasa Kubwa kuliko kutoka kwa Rapper aaliyepata Umaarufu wa haraka anaitwa Hamorapa, amezungumza kwamba ujio huu sio wa kubahatisha na kwa wale wanaomsema...
hivi huyu ni mtoto wa Tausi au wa mdugu yake?maana najiuliza mtu mfupi hivi anaweza beba mimba? Na akajifungua salama kabisa? Sijawaj ona mtu mfupi namna hii kabeba ujauzito,,au ni mim tu mnieleweshee
wengiene hawataki kuamini kwamba hakuna social media hapa bongo bila this young man aitwaye william aka Billy aka sauti ya umeme,sukari ya warembo,le baharaia himself.katupia vi icons vyote vya...
The America singer Nicki Minaj, showing off her boobs at Paris Fashion Week. The look her face sported while sitting in the front row during a Paris Fashion Week show on March 4 was updated for...
Mashabiki wa Tanzania wanaongoza kwa kuendeshwa na mihemko na matusi tele bila kutoa sapoti yoyote kwa kununua kazi za msanii wampendae. Wapo tayari kuchangishana pesa ya kigodoro kwenda kumsunta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.